Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

Haujui waandish wa haabar haswa wa huko magaribi ni wanafki, hua wanafurahia vita machafuko duniani ili wapate views na content sasa ukikata kichwa cha nyoka mkuu, unatgemea nini tena hapo hamna vita , hao wengine wafuasi watauliwa ndani ya siku tu
Hatari sana hii vita imeisha maana IDF Wana control Beirut international airport na ndio wanaamuru ndege gani itue na ipi isitue
Pia nasikia viongozi wengi wa Lebanon wamefurahi jamaa kupigwa missile
 
Screenshot_20240928_052222_Samsung Internet.jpg
 
Wazayuni ni shida aisee! Wameshusha bomu zito huyo bwana wataokota vipande vya nyama tuu na penyewe kwa DNA. Hawatapata mwili wa kuzika. Inaogopesha aisee
 
Kwa aina ya yale mabomu yaliyotumika jana ilikuwa ngumu kwa jamaa kusurvive. Yale yanatindua hadi miamba inageukageuka na kupasuka
Yanaitwa Bunker Buster, hata ujifiche kwenye handaki la urefu gani, limejengewa na zege ya umeme gani bomu linapenya Tu.....zimezuiwa na "Geneva Convention" kutumika kwenye maneno yenye msongamano WA Watu ila mayahudi huwa wapo juu ya sheria!
 
Bado Hezbollah hawajathibitisha taariza hii. Lakini hili nilijua tu litatokea baada ya mashambulizi mawili ya kwanza kufanywa na Israel.

Yemen wajiandae sasa, wao ndio wanaofuatia.
Hakuna wakuwaokoa hapo middle east.
Babu netanyahu amesema kuwa middle east yote imo mikononi mwao. Atakaye wapiga atapigwa vibaya. Watu walijua ni mkwara.
 
Kwenye uzi huu sasa kuna raia wanataka kuleta ukristo na uislamu hawa ni wa kuwaogopa
Waislam wapo upande wa utu wakati wakristu wanasukumwa na chuki dhidi ya waislam hivyo wanakua upande wa zayuni
 
Ndio na tunaona fahari. Hongera wewe jitu jeusi unaeliabudu Jiwe moja jeusi mliolipa uungu kujiamini ukifa kwenye uislamu utabadilika kuwa liarabu.

NETANYAHU SASA HIVI NI MUNGU WA WAISLAM

NETANYAHU AKBAR
Sasa hapo si myahudi ndio anapambana nyie haiwahusu. 😀 😀 😀 Nyie mnatemewa mate na mayahudi
 
Back
Top Bottom