ZVI ZAMIR
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 921
- 2,163
Wamechelewa na ndo maana unaona waandamanaji wameingia mitaani wanashangilia. Hii ni picha kuwa serikali haitokubali kuingia vitani.Lakini tusubiri tamko rasmi kutoka kwa Hezbollah wakiri kama ni kweli Nasrallah kafariki.
Kama ni kweli, nadhani Hezbollah haitoisikiliza serikali ya Lebanon kuhusu kuingia vitani na Israel, itakuwa deadly war...