Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Intelligence...Hawa Waisraeli wanajuaje kuwa adui yuko eneo hilo kwa wakati huo? View attachment 3109240
Kweli kabisa. Na Mwamba amepania kweli kweli. Cjui leo anaondoka na nani au yupi manake anawakula sambamba HAMAS na Hezbollah simultaneously.Netanyahu aliwaambianjana kwenye hotuba yake pale UN janankuwa hakuna wa kumzuia mpaka atimize lengo. Yule hata USA anajionea huruma kumgusa maana ashapandwa na mzuka. Mpaka awale vishundu wote wahuni wale
Washangaa hao magaidi ya Israel,kumuua huyo,walimpiga Yesu,wakamvalisha nepi,wakamsulubu,wakamuua,Yesu aliyekuja kwa ajili ya kuwakomboa wao waIsrael,na mpaka leo wanamwita mtoto wa nje ya ndoa.Jeshi la Israel limethibitisha kuuliwa kwa GS wa Hezbollah Hassan Nasrallah baada ya mashambulizi ya jana.
Hapo mwanzo ilisemekana ni mzima ila Israel ilisubiri kuthibitisha kuuliwa kwake.
Yasemekana kuwa ndani ya eneo hilo hakuna chochote kilichobaki kizima, na huenda mwili wa Nasrallah usipatikane
Full @IDF statement on its elimination of Hezbollah chief Hassan Nasrallah:
“The IDF announces that yesterday (Friday), September 27th, 2024, Hassan Nasrallah, the leader of the Hezbollah terrorist organization and one of its founders, was eliminated by the IDF, together with Ali Karki, the Commander of Hezbollah’s Southern Front, and additional Hezbollah commanders.
Following precise intelligence from the IDF and Israeli security establishment, IAF fighter jets conducted a targeted strike on the Central Headquarters of the Hezbollah terrorist organization, which was located underground embedded under a residential building in the area of Dahieh in Beirut. The strike was conducted while Hezbollah’s senior chain of command were operating from the headquarters and advancing terrorist activities against the citizens of the State of Israel.
During Hassan Nastallah’s 32-year reign as the Secretary-General of Hezbollah, he was responsible for the murder of many Israeli civilians and soldiers, and the planning and execution of thousands of terrorist activities. He was responsible for directing and executing terrorist attacks around the world in which civilians of various nationalities were murdered. Nasrallah was the central decision-maker and the strategic leader of the organization.
The Hezbollah terrorist organization, headed by Hassan Nasrallah, joined the Hamas terrorist organization in its war against the State of Israel on October 8th. Since then, Hezbollah has been continuing its ongoing and unprovoked attacks on the citizens of the State of Israel, dragging the State of Lebanon and the entire region into a wider escalation.
The IDF will continue operating against anyone who promotes and engages in terrorism against the State of Israel and its people.”
Pigo kubwa kwa Iran....Sote kwa pamoja tuseme takbiiiir.
Lilikuwa swala la muda tu hata yule Al Karaki naye kaliwa kichwa kiufupi safu nzima ya uongozi wa Hizbullah tunavyoongea muda huu wanakula kitimoto, wanaogelea kwenye mito ya pombe na na kutandika bikra kwenda mbele nahisi kimoyomoyo wanawashukuru IDF huko kuzimu waliko.
Int... + Satelite + DNA tracking.Intelligence...
Nimekumbuka quote kutoka movie ya munich (2005)Hata mtangulizi wa Nasrallah, aliuawa pia, hakuna jipya hapo. Kwahiyo hawa watu ni replaceable. Kama vile kaondoka Haniyeh, kaingia Sinwar, wakimuondoa mmoja anaingia mwingine. Hata bongo, alivyoondoka mpendwa watu Jiwe, akaingia Chura Kiziwi. Hakuna binadamu ambaye siyo replaceable.
Kikubwa ni kuwa Hezboullah wajitathimini sana, wana snitches miongoni mwao na walikuwa wamejisahau sana, walikuwa wanaishi kimazoea.
Nasrallah naye alikuwa anaongea sana, kama speech yake ya mwisho juzi, hakutakiwa kuongea, Israel forced his hand, akaingia kingi! Katikati ya speech kuna ndege za kivita za Israel zilipita na ile wanaita “sonic boom,” Nasrallah akastuka flani na kuyeyusha kama vile siyo big deal, nikajua tayari muheshimiwa achomoki safari hii.
Ila tusubiri uthibitisho toka kwa Hezboullah.
Hezibullah walishawekwa mkononi, kuna mapandikizi mengi sana. Na Kwa sababu za kiuchumi nadhani mapandikizi ni zaidi ya kawaida.
Muda huu sikiliza Al Jazeera, CNN au BBC wanatangaza habari hiyoAcha upumbavu weka proof
Wasaliti siku zote huwa watu wa karibu, hasa ndugu zake katika Imani wasiompenda.Kwenye usaliti huo hawakosekani walebanon wakiristo
Huyu gaidi Israel,alimpiga,akamvalisha nepi,akamsulubu Yesu,na mpaka leo wanamuita mtoto wa nje ya ndoa,Yesu aliyekuja kuwakomboa wana Israel,ije kuwa wengine;ambao hawakutumwa na Mungu,kuwakomboa.Kweli kabisa. Na Mwamba amepania kweli kweli. Cjui leo anaondoka na nani au yupi manake anawakula sambamba HAMAS na Hezbollah simultaneously.
Ila uzuri ni kwamba alisema na kutoa ONYO na hata jana 27/09/204 kule UNGA (UN) alisisitiza tena hilo japo kuwa hao vichwa-maji walitoka nje.
Nanukuu: "Tungoje tuone Iran itachukua hatua gani".Pigo kubwa kwa Iran....
Tungoje tuone Iran itachukua hatua gani.
We ndo usipotoshe watu kwa uongo wako, sio wayahudi wote hawamwamini yesu, Paulo aliyesambaza Injili sehemu nyingi za hapo Middle East alikuwa sio myahudi?? Wanafunzi wa Yesu 12 hawakuwa wayahudi?? Wayahudi ndo walikuwa watu wa kwanza kumkubali yesu na kusambaza injili na haohao ndo wa kwanza kumkataa yesu.Wayahudi hawamwamini Yesu usipotoshe. Mwokozi wao hajashuka
Maarabu kwa Myahudi ni mende tupu na Myahudi mzuka umeshampanda dadeki maextreme islamists hapo middle east yapafurahi mwaka huu.Se
Sema, la ilaha ila Allah.
Kama ilipoishambulia Israel kwa maelfu ya drone na missiles baada ya ubalozi wao huko Syria kushambuliwa.Nanukuu: "Tungoje tuone Iran itachukua hatua gani".
Kama lini kwa mfano ambapo Iran ilichukua hatua.