Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

Kumbe na wao wananumagaribi,alikuwa anapelekewa keki.Mi nilidhani mambo ya keki ni mambo ya makafiri tu.
 
To be honest this hesbollah has to work on its improvement first. Hawana kabisa uwezo wa kupambana na IDF kwa sasa sijui kwanini wanakuwa praised tu hamn kitu
 
Sawa katika harakati za kukabiliana nao lazima hayo uyasemayo yatokee lengo ni kuisambaratisha Hizbollah.
Israel hana ubavu wa kuisambaratisha Hizbollah labda huu ni mwisho wa taifa la bandia liitwalo Israel, usiandikie mate
 
Israel hana ubavu wa kuisambaratisha Hizbollah labda huu ni mwisho wa taifa la bandia liitwalo Israel, usiandikie mate
Kwa maneno yako haiwezekani labda ukajitoe mhanga pamoja nao kwenye uwanja wa mapambano ulipwe Pepo ya Allah.
 
Ngoja nikumbukie mashairi kidogo

HOdi hooooodi twaingia kobazi kuashiriaaa, hakika yahudi balaa kakiwaasha pale pale shimoniii,

Madeeeevu kutawanyikaaa Nasraaah hatunae ,salamu twatuma toka kwa shekhe kundechaa,

Hapaa twafikiriaaa naaaani kuchaguliwaaaa kila mmoooja auguliwaaa nafsi kukaangiwa ,

.jamani msiombeee lile booomu la chokoleti hakika tulisikia mara ghafla kobazi zikazagaaa,


Umojaa uingiliee kobaaazi tutaishaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…