Mafriji yao hayagandii kabisa hawa waarabu..Kinachonwaathiri hao waarabu ni usaliti wa ndani. Intelijensia yao ipo weak na inavuja mno. Mipango wanapanga usiku. Baada ya dakika chache inakuwa mezani kwa yahood na marekani wakati watu wanapata a cup of coffee. Wakimaliza hapo ni kutuma mabomu tu kunaliza kazi.
Mods ni wajinga sanaaaJana jioni Niliweka Uzi hapa " Hassan Nassralla kwaheri" ukafutwa na mods!!!
Kama ni kula, basi jamaa wameanzia chini kabisa kwenye unyayo all the way mpaka kichwaJeshi la Israel limethibitisha kuuliwa kwa GS wa Hezbollah Hassan Nasrallah baada ya mashambulizi ya jana.
Hapo mwanzo ilisemekana ni mzima ila Israel ilisubiri kuthibitisha kuuliwa kwake.
Yasemekana kuwa ndani ya eneo hilo hakuna chochote kilichobaki kizima, na huenda mwili wa Nasrallah usipatikane
Inteligensia ya israel ni ya kiwango cha juu sana inatishaHawa Waisraeli wanajuaje kuwa adui yuko eneo hilo kwa wakati huo? View attachment 3109240
JamiiForums haiendeshwi kwa kufuata hisiaJana jioni Niliweka Uzi hapa " Hassan Nassralla kwaheri" ukafutwa na mods!!!
Hawa jamaa wana roho mbaya mno, ujasusi ni habari nyingine kabisa. Unaweza kuwa vizuri kwenye intelligence lakini ukakosa roho mbaya kama ya hawa Mazayuni, hawa jamaa hawafai.Wayahudi ni watu wengine kwenye hii dunia,ujesusi wao ni wa hatari sana
Unaakili timamu kweli wewe usubiri Hezbollah watasemaje wakati wapo kaburini mda huu yaani unasubiri maiti inaongeaNgoja tusubiri Hezbollah watasemaje...
Haujui waandish wa haabar haswa wa huko magaribi ni wanafki, hua wanafurahia vita machafuko duniani ili wapate views na content sasa ukikata kichwa cha nyoka mkuu, unatgemea nini tena hapo hamna vita , hao wengine wafuasi watauliwa ndani ya siku tuHadi mtangazaji anashangaa inawezekana vipi viongozi wakuu wanaliwa kirahisi hivi!?
Sisi tunasubiri tamko la Hezbollah wakiri kama ni kweli...Unaakili timamu kweli wewe usubiri Hezbollah watasemaje wakati wapo kaburini mda huu yaani unasubiri maiti iongee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tamko Gani wakati Hezbollah wote maiti unaakili timamu kweli wewe hivi maiti waga inaongea🤣🤣🤣🤣🤣Sisi tunasubiri tamko la Hezbollah wakiri kama ni kweli...
Usije kushangaa Nasrallah anahutubia mkajificha 🤣😂