Jana jioni Niliweka Uzi hapa " Hassan Nassralla kwaheri" ukafutwa na mods!!
Inawezekana Scanning ya maana imeshafanyika kwenye maficho yao yote hao magaidi na jamaa hajaonekana. Ndo maana wamesema anaweza hataasionekane wapate kumzika.Sisi tunasubiri tamko la Hezbollah wakiri kama ni kweli...
Usije kushangaa Nasrallah anahutubia mkajificha π€£π
Pia wa Lebanon SunnisKwenye usaliti huo hawakosekani walebanon wakiristo
Wew umesha ambiwa kuna intelijensia ya hali ya juu si ajab hata apo ulipo wana jua una fanya nn weweHawa Waisraeli wanajuaje kuwa adui yuko eneo hilo kwa wakati huo? View attachment 3109240
He reap what he sowJeshi la Israel limethibitisha kuuliwa kwa GS wa Hezbollah Hassan Nasrallah baada ya mashambulizi ya jana.
Hapo mwanzo ilisemekana ni mzima ila Israel ilisubiri kuthibitisha kuuliwa kwake.
Yasemekana kuwa ndani ya eneo hilo hakuna chochote kilichobaki kizima, na huenda mwili wa Nasrallah usipatikane
Full @IDF statement on its elimination of Hezbollah chief Hassan Nasrallah:
βThe IDF announces that yesterday (Friday), September 27th, 2024, Hassan Nasrallah, the leader of the Hezbollah terrorist organization and one of its founders, was eliminated by the IDF, together with Ali Karki, the Commander of Hezbollahβs Southern Front, and additional Hezbollah commanders.
Following precise intelligence from the IDF and Israeli security establishment, IAF fighter jets conducted a targeted strike on the Central Headquarters of the Hezbollah terrorist organization, which was located underground embedded under a residential building in the area of Dahieh in Beirut. The strike was conducted while Hezbollahβs senior chain of command were operating from the headquarters and advancing terrorist activities against the citizens of the State of Israel.
During Hassan Nastallahβs 32-year reign as the Secretary-General of Hezbollah, he was responsible for the murder of many Israeli civilians and soldiers, and the planning and execution of thousands of terrorist activities. He was responsible for directing and executing terrorist attacks around the world in which civilians of various nationalities were murdered. Nasrallah was the central decision-maker and the strategic leader of the organization.
The Hezbollah terrorist organization, headed by Hassan Nasrallah, joined the Hamas terrorist organization in its war against the State of Israel on October 8th. Since then, Hezbollah has been continuing its ongoing and unprovoked attacks on the citizens of the State of Israel, dragging the State of Lebanon and the entire region into a wider escalation.
The IDF will continue operating against anyone who promotes and engages in terrorism against the State of Israel and its people.β
Kwani vijana wa Munyazimungu wanasemaje?Mtoto kautaka wembe
Acha makasiriko mkuu. Mnawaita wanamgambo wa Israeli. Sasa wanamgambo wamefanya yao. Bomu lililomuua linauwezo wa kupenya ardhini zaidi ya mita 30..Acha kukariri weka proof
Wewe mkristo uchwara 100 others kwanini ung'ang'anie kusoma magazeti yetu matakatifu na teule? Basi usiishie kusoma hayo tu soma pia Jerusalem Post na Haaretz sawa? ππ€£ππΏππΏππΏTimes of Israel nimeona dkk 3 zilizopita wanasema Nasrallah kauawa...
Ngoja tusubiri confirmation.
Mimi niko upande wao hao wana mgamboAcha makasiriko mkuu. Mnawaita wanamgambo wa Israeli.
Lakini tusubiri tamko rasmi kutoka kwa Hezbollah wakiri kama ni kweli Nasrallah kafariki.Inawezekana Scanning ya maana imeshafanyika kwenye maficho yao yote hao magaidi na jamaa hajaonekana. Ndo maana wamesema anaweza hataasionekane wapate kumzika.
π kwahiyo ndo wanaandika terrorize the world..!
Mkuu sema "kiongozi mkuu wa Hezbollah Gaidi H. Nasrallah" kwisha habari yake.Ni taarifa rasmi kutoka BBC
Kiongozi Mkuu wa Hezbollah mh Nasrallah kauwawa kwa bomu la maangizi Beirut - Lebanon
Nimeogopa sana πΌ
Kabisa..He reap what he sow
Hilo tamko lisubiri peke yako sisi tunajua gaidi kauwawa na taifa teuleLakini tusubiri tamko rasmi kutoka kwa Hezbollah wakiri kama ni kweli Nasrallah kafariki.
Kama ni kweli, nadhani Hezbollah haitoisikiliza serikali ya Lebanon kuhusu kuingia vitani na Israel, itakuwa deadly war...
Aisee kumbe na wewe ni myahudi?Wewe mkristo uchwara 100 others kwanini ung'ang'anie kusoma magazeti yetu matakatifu na teule? Basi usiishie kusoma hayo tu soma pia Jerusalem Post na Haaretz sawa? ππ€£ππΏππΏππΏ
Cc brother Maghayo na The Stress Challengerr
Yeah; hii ni ili kuonesha kiwango cha juu cha tishio la ugaidi aliokuwa nao na pia iwe ni fundisho kwa Magaidi wenzake.π kwahiyo ndo wanaandika terrorize the world..!
Wayahudi hawamwamini Yesu usipotoshe. Mwokozi wao hajashukaMUNGU wa Israel anaitwa BWANA MUNGU wa majeshi na KRISTO ndo masiha wake zaburi ya 2 soma yote hiyo zaburi upate chochote
Ndio mkuu mimi maghayo na the stress challenger wote ni ndugu na wayahudi.Aisee kumbe na wewe ni myahudi?