Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu inafuata seize fire siyo!?
Kwenye usaliti huo hawakosekani walebanon wakiristoKinachonwaathiri hao waarabu ni usaliti wa ndani. Intelijensia yao ipo weak na inavuja mno. Mipango wanapanga usiku. Baada ya dakika chache inakuwa mezani kwa yahood na marekani wakati watu wanapata a cup of coffee. Wakimaliza hapo ni kutuma mabonu tu kunaliza kazi.
Safi sanaJeshi la Israel limethibitisha kuuliwa kwa GS wa Hezbollah Hassan Nasrallah baada ya mashambulizi ya jana.
Hapo mwanzo ilisemekana ni mzima ila Israel ilisubiri kuthibitisha kuuliwa kwake.
Yasemekana kuwa ndani ya eneo hilo hakuna chochote kilichobaki kizima, na huenda mwili wa Nasrallah usipatikane
Na wayood wanaoishi IRAN na LEBANONKwenye usaliti huo hawakosekani walebanon wakiristo
Halafu wanapewa silaha na marekani,ulaya nk,yaani silaha na misaada ya kifedhaHawa jamaa akili zao si za binadam wa kawaida!
Ukijiimarisha kwenye intelijensia hakuna litakalo kushinda. INFORMATION ARE BOUGHT. ukipata watu sahihi wanaokupa taarifa wewe ni kumaliza kazi mapema sanaHawa jamaa akili zao si za binadam wa kawaida!
Hawa Waisraeli wanajuaje kuwa adui yuko eneo hilo kwa wakati huo? View attachment 3109240
vibaraka,kazi ya mashushushu halafu inapenyezwa na shekeli ama pesa au udambwi au kichele wengine huita kibunda kilichonona!.Hawa Waisraeli wanajuaje kuwa adui yuko eneo hilo kwa wakati huo? View attachment 3109240
Kwahyo unashauri nini mufti?Kwenye usaliti huo hawakosekani walebanon wakiristo
Acha upumbavu weka proof
Jana jioni Niliweka Uzi hapa " Hassan Nassralla kwaheri" ukafutwa na mods!!!Jeshi la Israel limethibitisha kuuliwa kwa GS wa Hezbollah Hassan Nasrallah baada ya mashambulizi ya jana.
Hapo mwanzo ilisemekana ni mzima ila Israel ilisubiri kuthibitisha kuuliwa kwake.
Yasemekana kuwa ndani ya eneo hilo hakuna chochote kilichobaki kizima, na huenda mwili wa Nasrallah usipatikane
Ndipo ile aya msiwafanye wandani wayahudi na wakiristo inapoingia,hata crusade ya kwanza ni mkristu aliyekua zamu getini ndiye aliyewafungulia lango jeshi la crusadeNa wayood wanaoishi IRAN na LEBANON
Penye hudhia penyeza rupia wanasalitiana hao..shia na sunni
Ushaanza kuwashwa washwa na Wakristu, kwani wapo kwenye uongozi wa Hezbollah? huko Gaza, Iran na Syria nako ni Wakristu wanachomesha?Kwenye usaliti huo hawakosekani walebanon wakiristo