Israel yaua viongozi 11 wa jeshi la Iran, nchini Syria

Israel yaua viongozi 11 wa jeshi la Iran, nchini Syria

Jibu swali basi mpaka Sasa kati ya palestina na Israeli wapi wamepatwa na madhara makubwa?
Hujajibu swali bado kama israhel waliweza kuwapiga mataifa ya kiarabu ndani ya siku sita
Wanashindwa ama wameshindwa wapi kuwapiga hamas ndani ya masaa mawili
Tena wakiwa wapo hapo hapo barazani kwao
 
Waisraeli ni wayahudi sio wakristu,ukisema ianze vita vya wakristu na waislam,waislam watapukutika maana wakristo ni wengi kwa idadi,Wana nguvu kiuchumi na technology kubwa,mfano wa nchi za kikristu ni USA,UK,FRANCE,GERMAN,CANADA na nyingine
Na Mungu ni mwaminifu kweli. Akaona nguvu kubwa ya kiuchumi ikae kwa wakristo au mataifa nje ya uislamu kama china nk. Kama uchumi ungeshikiliwa na wafuasi wa mungu wa kiarabu allah, aise dunia ingewaka moto. Maana allah anapenda kuwachonganisha watu ili wauane.
 
Labda wewe ndio hujui kama iran anaunga mkono wanaipambania uhuru
Iran ndio taifa pekee kusema hadharani kama inaunga mkono kilicho fanywa na hamas October 7 ilisema kweupeee
Iran inasema na inajulikana kama inafadhili houthi Hizbullah na pia inafadhili hamas kupitia jihadul Islamic ya hapo ghaza
Imeunga mkoni wazi wazi inachofanya houthi dhidi ya meli za wazayuni
Sasa sijui iran ipi unayosema wewe kwamba inajificha
Iran mara zote hua inaunga mkono wanaoonewa tena hua haijifichi kabisa kwenye hilo
Iran inaunga mkono yanayofanywa na hayo makundi ya jihad lakini inakana kuwa haiwasaidii kuwapa mafunzo, intelinsia na silaha. Hivyo ni kweli inajificha kwa kupugana vita kupitia hayo makundi (proxy war)

Akipigana yeye waziwazi atakabiliana na mataifa ya magharibi, na huwezi sema kirahisi tu eti ana uwezo wa kupigana nao akashinda
 
Na Mungu ni mwaminifu kweli. Akaona nguvu kubwa ya kiuchumi ikae kwa wakristo au mataifa nje ya uislamu kama china nk. Kama uchumi ungeshikiliwa na wafuasi wa mungu wa kiarabu allah, aise dunia ingewaka moto. Maana allah anapenda kuwachonganisha watu ili wauane.
😅😅❤️
 
Iran inaunga mkono yanayofanywa na hayo makundi ya jihad lakini inakana kuwa haiwasaidii kuwapa mafunzo, intelinsia na silaha. Hivyo ni kweli inajificha kwa kupugana vita kupitia hayo makundi (proxy war)

Akipigana yeye waziwazi atakabiliana na mataifa ya magharibi, na huwezi sema kirahisi tu eti ana uwezo wa kupigana nao akashinda
Hakuna sehem iran kakana kuisaidia Hizbullah kama ipo lete tuione
Hakuna sehem iran kakana kuisaidia jihadul islam
Hakuna sehem iran kakana kuisaidia houth
Iran anakana kuhusika na tukio la October 7 pekee
Ila kuhusiana na hayo makundi anakua wazi sana nandio maana hata kutembelea huko viongozi wake rasmi wanatembelea baadhi ya maeneo yanayomilikiwa na hayo makundi tajwa hapo juu
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu! Palestina waendelee kuwaficha Hamas ili waendelee kugawana maumivu
 
Wanadanganywa sana hawa watu
Kwa hio huko kwa Allah wao wao ni Uzinzi tu na hao mabikira 😀😄😄

Yani uzinzi ukafanyike huko peponi kwao 😄😀😄
Hatar sana mkuu!! imagine Allah kakutunuku vitoto vibichiii bikra kabisa viko 72 yaani ww kazi Yako ni kuvipelekea moto tu daah 😄😄

Kama Kuna Ustadh namuomba aje anisilimishe PM tafadhali, I can't miss this opportunity.
 
Mpaka Allah aishiwe bikira huko aliko ndo atajiuliza na kuelewa madhara ya ugaidi duniani.
Sasa itakuwaje bikira wakisha? Nauliza tena hao bikira huko peponi niwa race gani? Au ukiwa gaidi la kitanzania unapewa bikira Mtanzania? Au kina Osama bin laden wanajisevia dada zetu watamu wakiafrika
 
Hatar sana mkuu!! imagine Allah kakutunuku vitoto vibichiii bikra kabisa viko 72 yaani ww kazi Yako ni kuvipelekea moto tu daah 😄😄

Kama Kuna Ustadh namuomba aje anisilimishe PM tafadhali, I can't miss this opportunity.
Jidanganye! Angalia usije ukasilimu then ukaenda kawe kuvamia madhabahu ya Mwamposa ili upigwe ufe ukajibebishe na mabikira 72 peponi
 
View attachment 2857439
Wameanza kuchanganyikiwa sasa na bado

Mbona hiyo kawaida sana vitani, yaani mnachekesha sana...
Hapa lazima pafanywe pasafi

3257805170761984946-jpg-png.2843958
 
Israel bana, wana nguvu, wana uwezo, wanayo nia. Na wanatekeleza.

=======

Eleven leaders of the Iranian Revolutionary Guard Corps (IRGC) were killed in an airstrike targeting Damascus International Airport on Thursday evening, Saudi media reported the following morning.

The commander of the Revolutionary Guards in eastern Syria, Nur Rashid, was injured in the airstrike, Saudi media channel Al-Hadath reported.

IRGC commanders were reportedly at the airport to meet with high-ranking delegates.

Source: Jerusalem Post

Shambulio la anga la Israel kwenye uwanja wa ndege wa Damascus Alhamisi usiku liliwaangamiza makamanda kadhaa wa Iran.

Wakati huo huo, huko Lebanon, Vikosi vya Ulinzi vya Israeli vinaendelea kushambulia vikaragosi vya Hezbollah ambao ni mawakala wa ugaidi wa Iran .

Maswali yanakuja, Huku mambo yakizidi kupamba moto nchini Syria na Lebanon, je vita kuu ya kaskazini iko karibu kuanza? Pia, wakati vita vinavyoendelea kusini mwa Gaza, Hamas inaweza kuendeleza mapambano ya kweli hadi lini?

View: https://m.youtube.com/watch?v=Vb2aYXctRes

Did an Israeli airstrike on Damascus airport Thursday night eliminate several Iranian commanders? Meanwhile, in Lebanon, the Israel Defense Forces continue to pound Iranian terror proxy Hezbollah. With things heating up in both Syria and Lebanon, is the great northern war about to begin? Also, as the war rages on down south in Gaza, how much longer can Hamas put up a genuine fight?
 
Back
Top Bottom