Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
...the hand of God"...kwa watu wanaofuga wahuni?Binafsi ninapo kumbuka kuwa hao wa Palestina ni just innocent civilian like me,wanauwawa kila siku huku Dunia mzima inaangalia bila kufanya chochote,Huwa najisemea life is meaningless.
I don't even see the hand of God there helping them.
Wanauwa wenzenu huko, wewe unasema wameshindwa vita.Kitendo cha Israel kupeleka ndege na kuua watu wanaokaribia kufa kwa njaa wakisubiri chakula ni tangazo la wazi la kushindwa vita kwa taifa hilo la kiyahudi.
Ukiondoa ukimya wa mataifa ya kifalme ya kiarabu yanayoongozwa na watu kama mwanamfalme wa Saudia waliokaa kimya,viongozi wa nchi nyingi wamelaani kitendo hicho.
Jumla ya watu 112 tayari wametangazwa kufa katika shambulio hilo la ndege kaskazini ya Gaza.Watu wengine karibu 1000 wameumia vibaya katika shambulio hilo.
Idadi hiyo ya watu ilikuwa imejikushanya karibu na malori machache ya misaada wakati ndege za kivita ziliporuka juu yao na kuanza kuwadondoshea mabomu mazito juu yao.
View attachment 2920933
Israeli massacre of Palestinians waiting for Gaza aid trucks
Israeli forces have killed more than 100 people waiting to collect desperately needed food aid in northern Gaza.www.aljazeera.com
Mliwaita vidume walipoishambulia Israel Oct 7 kwahiyo hayo ndio matunda ya Al aqsa floods.Kitendo cha Israel kupeleka ndege na kuua watu wanaokaribia kufa kwa njaa wakisubiri chakula ni tangazo la wazi la kushindwa vita kwa taifa hilo la kiyahudi.
Ukiondoa ukimya wa mataifa ya kifalme ya kiarabu yanayoongozwa na watu kama mwanamfalme wa Saudia waliokaa kimya,viongozi wa nchi nyingi wamelaani kitendo hicho.
Jumla ya watu 112 tayari wametangazwa kufa katika shambulio hilo la ndege kaskazini ya Gaza.Watu wengine karibu 1000 wameumia vibaya katika shambulio hilo.
Idadi hiyo ya watu ilikuwa imejikushanya karibu na malori machache ya misaada wakati ndege za kivita ziliporuka juu yao na kuanza kuwadondoshea mabomu mazito juu yao.
View attachment 2920933
Israeli massacre of Palestinians waiting for Gaza aid trucks
Israeli forces have killed more than 100 people waiting to collect desperately needed food aid in northern Gaza.www.aljazeera.com
Kama kawaida yao, ukishazoea kuua utaendelea kuua tu.
Wale wanaoitwa Taifa teule wameendelea na kazi yao ya kufanya wanachoweza kwa ufanisi mkubwa. Leo wameua wapalestina masikini 100, wasio na silaha, ambao wana njaa wakati wakisubiri msaada wa chakula. Wanajeshi wa Israel limefyatulia kundi la watu risasi na kuua wapalestina 100.
Haya yakiwa yanafanyika kuna watu wanafurahi, wanapenda, wanachekelea na wanatamani hawa wapalestina wasio na hatia wanedelee kuuawa
Taarifa za hilo tukio unaweza kuipata hapa:
View: https://www.youtube.com/watch?v=geGQHEiHZPw
Kwa nini Gaza iliishambulia Israeli na kuteka baadhi ya Wayahudi na hawataki kuwaachia?
Ni ujinga kuandika habari za kuegemea upande bila kuzitaja sababu za kwa nini mauwaji yanaendelea kati ya Palestine na Israel
My heart inahuzunika kwa wote waliopoteza maisha kwenye hii vita. I mean upande wa Israel, Palestina na mataifa waliopoteza raia wao ktk hii vitaKama kawaida yao, ukishazoea kuua utaendelea kuua tu.
Wale wanaoitwa Taifa teule wameendelea na kazi yao ya kufanya wanachoweza kwa ufanisi mkubwa. Leo wameua wapalestina masikini 100, wasio na silaha, ambao wana njaa wakati wakisubiri msaada wa chakula. Wanajeshi wa Israel limefyatulia kundi la watu risasi na kuua wapalestina 100.
Haya yakiwa yanafanyika kuna watu wanafurahi, wanapenda, wanachekelea na wanatamani hawa wapalestina wasio na hatia wanedelee kuuawa
Taarifa za hilo tukio unaweza kuipata hapa:
View: https://www.youtube.com/watch?v=geGQHEiHZPw
Israel hajaanza leo kuuwa elewa hivyo na acheni ushabikiKama ulifurahia walicho fanya hamas mwaka jana basi hauna haki ya kukemea kinacho fanywa na Israel hata kama ni makosa wanacho fanya, hata hivyo vita ni vyao watajuana wao kwa wao
Sasa hao al shabab wakikimbilia Mogadishu unafikiri tutaenda kulipua wapi? Watakapokimbilia ni kulipua tu iwe hospital shuleni ama popote tu...Hamas ilishambulia sio Gaza, ni sawa na Al shabaab watulipue hapa Dar alafu eti twende Mogadishu tulipue mahospitali na mashule true watoto na wamama!! Sasa inahusiana nini?
Gaza kichapo kiendelee hadi waachie mateka na kukubali wameshindwa vita. Kama hawafanyi hayo wapigike tuuuuuKitendo cha Israel kupeleka ndege na kuua watu wanaokaribia kufa kwa njaa wakisubiri chakula ni tangazo la wazi la kushindwa vita kwa taifa hilo la kiyahudi.
Ukiondoa ukimya wa mataifa ya kifalme ya kiarabu yanayoongozwa na watu kama mwanamfalme wa Saudia waliokaa kimya,viongozi wa nchi nyingi wamelaani kitendo hicho.
Jumla ya watu 112 tayari wametangazwa kufa katika shambulio hilo la ndege kaskazini ya Gaza.Watu wengine karibu 1000 wameumia vibaya katika shambulio hilo.
Idadi hiyo ya watu ilikuwa imejikushanya karibu na malori machache ya misaada wakati ndege za kivita ziliporuka juu yao na kuanza kuwadondoshea mabomu mazito juu yao.
View attachment 2920933
Israeli massacre of Palestinians waiting for Gaza aid trucks
Israeli forces have killed more than 100 people waiting to collect desperately needed food aid in northern Gaza.www.aljazeera.com
Hamas ilishambulia sio Gaza, ni sawa na Al shabaab watulipue hapa Dar alafu eti twende Mogadishu tulipue mahospitali na mashule true watoto na wamama!! Sasa inahusiana nini?
Kwani October 07 na nyie si mlikua mnaandamana mitaani gaza city mnashangilia kuua wayahudi au????Kama kawaida yao, ukishazoea kuua utaendelea kuua tu.
Wale wanaoitwa Taifa teule wameendelea na kazi yao ya kufanya wanachoweza kwa ufanisi mkubwa. Leo wameua wapalestina masikini 100, wasio na silaha, ambao wana njaa wakati wakisubiri msaada wa chakula. Wanajeshi wa Israel limefyatulia kundi la watu risasi na kuua wapalestina 100.
Haya yakiwa yanafanyika kuna watu wanafurahi, wanapenda, wanachekelea na wanatamani hawa wapalestina wasio na hatia wanedelee kuuawa
Taarifa za hilo tukio unaweza kuipata hapa:
Islam and arabs mindset or state of mind......!!!Uchokozi gani kupigania mipaka yako? Ni sawa na kusema Nyerere alikua mchokozi kumfukuza Idd Amin kagera?
Sasa mkuu....Kikundi cha hamas si hao hao waarabu wa palestina ambao hawavai sare za kijeshi na wanajificha kwa raia baada ya kichapo kuwazidia na October 07 walikua wanashangilia???Hamas ilishambulia sio Gaza, ni sawa na Al shabaab watulipue hapa Dar alafu eti twende Mogadishu tulipue mahospitali na mashule true watoto na wamama!! Sasa inahusiana nini?