Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
HamasHiyo maana inafaa kwa nani zaidi kati ya Palestina na Israel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HamasHiyo maana inafaa kwa nani zaidi kati ya Palestina na Israel
Bikra 72 kwa waislam. Ingia ktk uislam ukafaidi. Usibaki huko ukifa unaingia ktk Shimo la motoSasa mbona mnalia mzayuni akiwashughulikia wakati mkifa mnaenda moja kwa moja peponi kuzawadiwa mabikira 72 wenye macho kama vikombe pamoja na mito ya
Sema Palestina useseme Hamas. Wanaouliwa ni waislam wa Palestina ambao waislam wote duniani tupo naoHamas
mbona allah hakuwaficha kwamba Wafuasi wake woote na majeen mtaenda motoni!Muislam akimua yahudi ktk hivi vita kwake furaha na yeye akiuliwa kwa sababu ya kulinda utukufu wa masjid Aqswa Anafurahi. Tofauti na nyinyi. Mkiua moto na mkifa moto
Hitler alikuwa dikteta na wala hakuwa gaidi. Watanzania walio wengi hawaelimiki kwa sababu hawajielimishi. Ukiwemo weweAdolf Hitler nae alikuwa muislam?
Kile kitabu kupigwa ban duniani!Uislam ni jamii ya kijinga sana yani imezidiwa ustarabu hadi na wamasai.
Eti ban? Na nani? Kwanza zueni kifo kisikufikieni ktk maisha yenu.Kile kitabu kupigwa ban duniani!
Angekuwa muislamu mfano wa Hitler angeitwa dikteta. Mfano mzuri ni Iddy Amin Dada. Huyu alikuwa muislamu akatawala pasipo kufuata sheria wala haki za binadamu. Watawala wa aina hii huwa wanaitwa madikteta na siyo magaidiangekuwa muislam ungemuita gaidi?
Hamas ni kikundi cha magaidi kinachotawala ukanda wa gaza.Sema Palestina useseme Hamas. Wanaouliwa ni waislam wa Palestina ambao waislam wote duniani tupo nao
magaidi ni maikiristo yenye kupanga vijinjamanjama na kuwapachikia waislamu na kutaka kuungwa mkono na usipo waunga mkono unakutana na vikwazoMagaidi yote ni Waislam, lakini si Waislam wote ni Magaidi
Ssa kama Hamas kweli wameuwa watu hao mbona wao wameshauwa raia 5000 na hawajaonesha Hamas waliyemuuwa.Si ndio ugaidi zaidi huo.Hamas ni kikundi cha magaidi kinachotawala ukanda wa gaza.
October 7 kimeshambulia Israeli na kuua raia zaidi ya 1300 pamoja na kuteka wanawake na kisha kuwabaka na pia walichinja na kuwachoma watoto wadogo, sasa huu sio ugaidi kweli?!
Na ulitegemea Waisraeli wafanye nini baada ya kuvamiwa?
kuuwawa kwa wapalestina ni sawa kwa maana israel ni taifa teule la baba aliehai jinga kabisaHamas ni kikundi cha magaidi kinachotawala ukanda wa gaza.
October 7 kimeshambulia Israeli na kuua raia zaidi ya 1300 pamoja na kuteka wanawake na kisha kuwabaka na pia walichinja na kuwachoma watoto wadogo, sasa huu sio ugaidi kweli?!
Na ulitegemea Waisraeli wafanye nini baada ya kuvamiwa?
Sasa kama Hamas mbona mayahudi wanawaua mpaka kwa Mahmoud Abass. Hivi ni vita vya kidini dhidi ya Palestina waislam . Waislam wote duniani tunajua hivyo. Hizo zenu ni propaganda tuHamas ni kikundi cha magaidi kinachotawala ukanda wa gaza.
October 7 kimeshambulia Israeli na kuua raia zaidi ya 1300 pamoja na kuteka wanawake na kisha kuwabaka na pia walichinja na kuwachoma watoto wadogo, sasa huu sio ugaidi kweli?!
Na ulitegemea Waisraeli wafanye nini baada ya kuvamiwa?
Raia wa wa Palestina washa tangaziwa waondoke kupisha vita. Sawa wiliobaki ni wapiganaji ,wafia dini, wazee wasiojiweza. Vita. Kibaya zaidi Hamas anajichanya na hao
Sasa kama Hamas mbona mayahudi wanawaua mpaka kwa Mahmoud Abass. Hivi ni vita vya kidini dhidi ya Palestina waislam . Waislam wote duniani tunajua hivyo. Hizo zenu ni propaganda tuClick to expand...
Hamas ni kikundi cha magaidi kinachotawala ukanda wa gaza.
October 7 kimeshambulia Israeli na kuua raia zaidi ya 1300 pamoja na kuteka wanawake na kisha kuwabaka na pia walichinja na kuwachoma watoto wadogo, sasa huu sio ugaidi kweli?!
Na ulitegemea Waisraeli wafanye nini baada ya kuvamiwa?
Sasa kama Hamas mbona mayahudi wanawaua mpaka kwa Mahmoud Abass. Hivi ni vita vya kidini dhidi ya Palestina waislam . Waislam wote duniani tunajua hivyo. Hizo zenu ni propaganda tuClick to expand...
Kumbe ni Muislam ndiye anayepigania ardhi wala si tena Mpalestina ambamo pia yupo Mkristo?Eti familia na sio mwenyewe. Mtabaki kukamata watoto wachanga.
Muislam harudi nyuma kwa hili kupigania ardhi yake
Vile ni kuwaondoa mayahudi ktk masjid AqswaKumbe ni Muislam ndiye anayepigania ardhi wala si tena Mpalestina ambamo pia yupo Mkristo?
Dini zingine bhana daaah...[emoji119][emoji848]
Hii ndiyo chemsha bongo yaani, magaidi wote hapa Afrika toka Nigeria mpaka Somalia na Msumbiji ni Waislam, hapa tatizo ni nini?Magaidi yote ni Waislam, lakini si Waislam wote ni Magaidi