Mbona Hamas hakuwachelewesha aliwapiga ndani ya 24 hrs tu na kuingiza jeshi Gaza.Watu mna papara sana. Hamna subira hata kidogo.
Israel naamini inafuata timetable yake yenyewe. Haifuati timetables za watu wa mitandaoni.
Naamini itajibu kwa kufuata muda wake yenyewe.
Just watch this space….
Pole sana ikiwa Hamas na Hezbullah wanawatia wehu hebu ona kondoo wanavyo tapa tapaWatu mna papara sana. Hamna subira hata kidogo.
Israel naamini inafuata timetable yake yenyewe. Haifuati timetables za watu wa mitandaoni.
Naamini itajibu kwa kufuata muda wake yenyewe.
Just watch this space….
Usitutishe tuna gesiSuala la kushambulia vinu vya Nyuklia na visima vya mafuta siyo jambo jepesi. Siku Israel akifanya huo ujinga hadi wakazi wa bonyokwa mtatembea kwa miguu kwa crisis ya mafuta itakayotokea duniani.
Hamas ipi? Israel imeshachinja hadi vitukuu vya hamas, sasa hivi ipo beirut inamalizia usafi, the next ni iran,kila kitu kinaenda sawia.Israel wanajichanganya kwenda kusumbuana na Iran, huo muziki hawatouweza. Wapambane na Hamas tu.
Tatizo we akili zako hata kuku wanakushinda, Israel ni kwenye picture ndio anaye pigana. Ukweli ni US na Nato ndio wanao pigana na warabu, hao mashoga wamewekwa pale kama chambo tu ili US na UK maslaha yao yapatikane 😄Alipigana na warabu wote na alishinda labda unajisahaulisha,waarabu na waislamu walivyo wabaguzi Israeli ungekuwa dhaifu ingeshafutwa,Hakuna nchi ya kiarabu inaweza pigana na wayahudi never .....Huwa sipati picha nchi ya kiarabu ingekuwa super powe kama USA , UK and etc wote tungelazimishwa ku slimu...
Hizi nyimbo kawadan'gan'ye kanisani 😄yaani hata wakipigana hawatusaidii chochote, zaidi sana wataongeza ugumu wa ,maisha baada ya mafuta kupanda. Iran amekuwa gentleman sana kwenye suala hili, baada ya kupiga, ilikuwa ni kama watoto wawili walikuwa wamechokozana akajirudishia akampigia marekani kumwambia nimejirudishia na sina nia ya kuendelea na ugomvi, marekani hakupokea simu, kaenda Qatar ambaye akipiga simu tu marekani anapokea kwa sababu kuna base yake pale, akamwambia naomba mwambie marekani mimi nimeshajirudishia sitaki ugomvi uendelee, of course quatar inaonekana alifikisha meseji, Iran hakuishia hapo, akatuma watu India, ambayo ni rafiki wa Israel akawaambia waishauri israel isijirudishie kwa sababu yeye amejirudishia na hataki waendelee kupigana.
ukweli ni kwamba, nchi zote mbili ni imara sana. iran amechimbia chini ya mahandaki silaha zake nyingi ambazo myahudi anaweza asizilipue hadi aende ground invasion jambo ambalo ni baadaye sana. pia iran alishajipanga kwa mahandaki mengi kupigana na marekani hivyo israel akienda miundombinu ile waliandaa kupigana na marekani itatumika kupigana na israel, na israel itapata shida kumpiga, kwa sababu silaha anazo nyingi. hata vitu vya nuclear vipo ardhini.
iran anaogopa sana kulipuliwa kwa visima vyake vya mafuta, mitambo yake ya kufua umeme na radar zake ambavyo vitambarimu sana, kwa sababu Iran sio taifa tajiri, ni middle income, bado anajikokota hata kama ana mafuta mengi na gas lakini bado sio nchi ya ulimwengu wa kwanza. hivyo hataki kurudishwa nyuma. ila kama wakiingia vita akaamua kujitoa mhanga, ataisumbua sana israel, na hayupo tayari kujitoa mhanga kwa sababu ana uhakika with time israel atampiga tu.
Marekani ana mabom makubwa sana hata ya bunker za kupiga kitu kikiwa chini ya ardhi, na ameweka base nyingi kuizunguka iran, hataiacha salama. labda vita visianze, vikianza tu havitaisha hadi iran iwe Gaza, ndio hofu ya iran. ikianza tu uso kwa uso havita isha hadi iran iwe gaza kwasababu UK, Ufaransa, Ujerumani, NATO yote, Israel, Marekani wataungana na kupigana bila uchumi wao kuteketea ila uchumi wa irani utakuwa unateketea and with time atashindwa hata kuhudumia wanajeshi wake mishahara. ndicho anachoogopa.
kama ni vita ya siku moja au miezi sita, iran anaweza kustahimili, ila vita vya muda mrefu, uchumi wake hauruhusu.
Jipeni moyoo, mmekamatika.Time will tell. Let’s wait and see
Amka ndotoniyaani hata wakipigana hawatusaidii chochote, zaidi sana wataongeza ugumu wa ,maisha baada ya mafuta kupanda. Iran amekuwa gentleman sana kwenye suala hili, baada ya kupiga, ilikuwa ni kama watoto wawili walikuwa wamechokozana akajirudishia akampigia marekani kumwambia nimejirudishia na sina nia ya kuendelea na ugomvi, marekani hakupokea simu, kaenda Qatar ambaye akipiga simu tu marekani anapokea kwa sababu kuna base yake pale, akamwambia naomba mwambie marekani mimi nimeshajirudishia sitaki ugomvi uendelee, of course quatar inaonekana alifikisha meseji, Iran hakuishia hapo, akatuma watu India, ambayo ni rafiki wa Israel akawaambia waishauri israel isijirudishie kwa sababu yeye amejirudishia na hataki waendelee kupigana.
ukweli ni kwamba, nchi zote mbili ni imara sana. iran amechimbia chini ya mahandaki silaha zake nyingi ambazo myahudi anaweza asizilipue hadi aende ground invasion jambo ambalo ni baadaye sana. pia iran alishajipanga kwa mahandaki mengi kupigana na marekani hivyo israel akienda miundombinu ile waliandaa kupigana na marekani itatumika kupigana na israel, na israel itapata shida kumpiga, kwa sababu silaha anazo nyingi. hata vitu vya nuclear vipo ardhini.
iran anaogopa sana kulipuliwa kwa visima vyake vya mafuta, mitambo yake ya kufua umeme na radar zake ambavyo vitambarimu sana, kwa sababu Iran sio taifa tajiri, ni middle income, bado anajikokota hata kama ana mafuta mengi na gas lakini bado sio nchi ya ulimwengu wa kwanza. hivyo hataki kurudishwa nyuma. ila kama wakiingia vita akaamua kujitoa mhanga, ataisumbua sana israel, na hayupo tayari kujitoa mhanga kwa sababu ana uhakika with time israel atampiga tu.
Marekani ana mabom makubwa sana hata ya bunker za kupiga kitu kikiwa chini ya ardhi, na ameweka base nyingi kuizunguka iran, hataiacha salama. labda vita visianze, vikianza tu havitaisha hadi iran iwe Gaza, ndio hofu ya iran. ikianza tu uso kwa uso havita isha hadi iran iwe gaza kwasababu UK, Ufaransa, Ujerumani, NATO yote, Israel, Marekani wataungana na kupigana bila uchumi wao kuteketea ila uchumi wa irani utakuwa unateketea and with time atashindwa hata kuhudumia wanajeshi wake mishahara. ndicho anachoogopa.
kama ni vita ya siku moja au miezi sita, iran anaweza kustahimili, ila vita vya muda mrefu, uchumi wake hauruhusu.
Hatuna gesi sisi. Gesi ya Mtwara ina wenyewe na mafuta yakipanda tu Bei na hiyo gesi haitashikikaUsitutishe tuna gesi
Nakubali sheikh!Wewe lala mwenzako napata habari kabla ya CNN na Aljazeera. Mimi nimeitoa hio habari mchana sa we katune Aljazeera na CNN utasikia US anasema hatutaki vita viwe vikubwa mda sio mrefu haha.
US atatangaza mda si mrefu. Hio ni kuondoa aibu kama Israel sio yeye ka backdown, ni kwa sabubu ya kuwasikiliza US na US ndio kawazuia hahaha, wakati wao ndio walisema mwanza Israel ina haki ya kulipa kisasi na wao wako naye.
Wameona moto huko si mchezo.
Kilichokuwa kinamlinda Israel ni propaganda ya kuwa yeye ni invincible na sio kumtegemea Marekani, japokuwa yupo nyuma yake...ndio maana ameua wapalestina wengi kwa miaka mingi bila kuwajibishwa na yeyote hapo Middle East...Vita vya Gaza vimemuweka uchi, kwanza ground troops zake sio disciplined enough na yenye uwezo kama ilivyodhaniwa, pili Israeli amepigana vita kwa ukatili mkubwa kwa kuua hadi watoto wachanga, kupiga shule, misikiti, kambi za misaada za UN, n.k. Upigaji wa mabomu ovyo ovyo kabla ya kuingiza ground troops ni ishara ya uwoga... halafu ukiongelea nchi za NATO, ongelea Marekani tu hao wengine wako hoi kiuchumi...mchambuzi mmoja anasema kuwa kusingekuwa na vita vya Ukraine, fursa hii Marekani asingeiacha...Ila kwa sasa Marekani anao uwezo wa kupigana na Irani na kumpiga kabisa ila hayupo tayari kulipa gharama yake...na gharama yake ni kupoteza ushawishi wake hapo mashariki ya kati na labda kutoweka kwa taifa linaloitwa Israel...kumbuka kuwa Qatar na Saudi Arabia wamezidi kuwa na strategic influence Kwa foreign policy ya Marekani hapo Middle East na hivyo Marekani hataki kabisa kugombana na hao jamaa na wao wanamlinda Marekani kwa kujifanya hawaoni yanayotokea hapo Middle East, ila nao wana mipaka...Kwa kifupi ni kuwa Dunia kwa sasa ipo tofauti na tunavyoiona, toto tundu sasa kapata saizi yake, nae imebidi asite kidogo...kombora moja kupiga kabisa na Mossad HQ lazima ajitathmini kuwa adui kabahatisha au alidhamiria iwe ivyo...marekani kuna wayahudi 8m, ni wengi kuliko wale walioko Israel. na wengi wameshika serikali mfukono ukijumlisha matajiri. hata secretary of state huyo anayejifanya kwenda israel mara kwa mara, baba yake na mama yake ni wayahudi walihajia toka Hungary miaka ya holocost. kwahiyo ukisema Israel inapigana, jua sio israel peke yake, ni Israel +Marekani+UK na nchi za NATO. Iran kwa miezi michache atapigana na kuleta madhara, ila with time uchumi wake utayuba atashindwa hata kulipa mishahara wanajeshi wake, na wanajeshi hata kama wapo royal kwako namna gani ukiona mpunga haupo, wanakusaliti asubuhi kabisa. tofautisha na Urusi ambaye anapigana ila bado ana nchi anafanya nao biashara na uchumi wake hauyumbi, NATO waliisukuma ukrain ikapigane naye wakitegemea with time uchumi utashuka na atashindwa kuhudumia vita, lakini uchumi wa russia haushuki ndio maana anaendelea kupigana hadi leo. haitakuwa hivyo kwa Iran, iran yupo vulnarable zaidi, ukigusa kituo cha umeme, visima vya mafuta na rada za kuongozea ndege, inakuwa failed state hata mwaka mrefu. atanyoosha mikono na nchi itakuwa kam ilivyo iraq sasaivi. iran anajua hilo ndio maana pamoja na kufanya retaliation, anaonekana ana hofu san ana vita hiyo kwa sababu anajua with time watamshinda tu.
vita ni pesa, wale wanajeshi wana familia, wana watoto wanasoma, wana wake zao wanahitaji mpunga, ukipigana vita uchumi ukasimama wale wale wanajeshi wako wanakupindua.
Watu wanakupa na ushahidi we bado unaminyana tu, watu wa Liverpool ndio maana notingham wakawashughulikia pale pale nyumbani,Hamna kitu hapo we bibi hamas hawapo kwenye uso wa dunia wameshaisha
Waoga sana Israel. Anapigana na vikundi vya wanamgambo anajiita mbabe.
Haya kajitokeza mbabe wa kweli kamshambulia mara mbili nyumbani kwake bila majibu.
Iran ni taifa kubwa lenye silaha hatari zisizozuilika na mfumo wowote wa anga ndiyo maana karusha makombora lakini hayajazuiliwa na nchi kadhaa licha ya jitihada za kuyazuia.
Mtaalamu jamaa yako Gachagua vipi?!WHERE ARE YOU ALLAH?
UPO WAPI ALLAH?View attachment 3117734
iran makombora yake mengi yamezuiwaWaoga sana Israel. Anapigana na vikundi vya wanamgambo anajiita mbabe.
Haya kajitokeza mbabe wa kweli kamshambulia mara mbili nyumbani kwake bila majibu.
Iran ni taifa kubwa lenye silaha hatari zisizozuilika na mfumo wowote wa anga ndiyo maana karusha makombora lakini hayajazuiliwa na nchi kadhaa licha ya jitihada za kuyazuia.
Kwani hamas si Iran pia au ujui Kama ni kundi lake alilolipandikiza palestinaIsrael wanajichanganya kwenda kusumbuana na Iran, huo muziki hawatouweza. Wapambane na Hamas tu.
Hivi vita havita isha kamwe mpaka upande mmoja uangamizwe wote. Itakuwa ni vita ya visasi vizazi hata vizazi.WHERE ARE YOU ALLAH?
UPO WAPI ALLAH?View attachment 3117734
Atarudi kufanya show ya kibabeWaoga sana Israel. Anapigana na vikundi vya wanamgambo anajiita mbabe.
Haya kajitokeza mbabe wa kweli kamshambulia mara mbili nyumbani kwake bila majibu.
Iran ni taifa kubwa lenye silaha hatari zisizozuilika na mfumo wowote wa anga ndiyo maana karusha makombora lakini hayajazuiliwa na nchi kadhaa licha ya jitihada za kuyazuia.