View attachment 2091277
Kwani uchifu ni utamaduni wetu? Makabila mengi hawakuwa na wachifu. Waliwekwa na wakoloni kwa maslahi yao (km Wazanaki). Uchifu ulipigwa marufuku na sheria mnamo 1962. Machifu waliyokuwepo (km Adam Sapi, Fundikira, Kunambi nk) waliingizwa Serikalini katika nyadhifa mbalimbali.
Ufutaji wa uchifu ulitusaidia sana kujenga umoja wa kitaifa. Nchi zingine Za Afrika (kmNigeria, Ghana nk) wamepata shida kujenga umoja wa kitaifa. Sababu mojawapo ni machifu kulinda himaya zao kwa kukuuza ukabila badala ya utaifa. Tunachotakiwa kusisitiza ni utamaduni wa kitaifa.
Issa G. Shivji ni mwanasheria nchini Tanzania na mwandishi wa Vitabu, pia ni mmoja wa wataalamu bingwa katika Afrika wa sheria na masuala ya maendeleo.
Pia amewahi kufundisha na kufanya kazi katika vyuo vikuu mbalimbali duniani kote.
Kati wa wasomi wachache ambao taifa hili limebarikiwa kuwa nao, huyu Prof. ni miongoni mwa wasomi adimu waliobaki hapa nchini Isome hii tweet yake, linganisha na Hali halisi ya nchi yetu kwa Sasa. ==== SAMAKI NYAVUNI samaki nyavuni uhuru gerezani akili pinguni matumaini rehani hoja...
Wataalam hebu mtudadavulie alikuwa anamaanisha nini huyu msomi. Mara nalia mara nacheka, mara nahuzunika mara nafarajika, mara naota mara nawaza, mara nafurahi mara najuta, mara nashangiliwa mara nazomewa, wahenga mnisaidie niko wapi, nchi gani baharini au barani ardhini au mbinguni, wahenga...
Kama Bunge lilikaa na kutunga sheria kisha rais akaipitisha na kuondoa kabisa shughuli za machifu. Nini nyuma ya pazia Chief Hangaya awag'ag'anie. Kuna kitu juu hii kitu. Huku ni kuvunja sheria.
Kama Bunge lilikaa na kutunga sheria kisha rais akaipitisha na kuondoa kabisa shughuli za machifu. Nini nyuma ya pazia Chief Hangaya awag'ag'anie. Kuna kitu juu hii kitu. Huku ni kuvunja sheria.View attachment 2091707
MaCCM ndivyo yalivyo akili zao hazina akili.
MaCCM yanapotafuta kukubalika, uwacha uharibifu mkubwa.
Samia anajua CCM ni Chama maiti,
Anachofanya ni liwalo na liwe., CCM mbele kwa mbele.
Hili mimi sikubaliani nalo ni siasa tu,hebu angalia hizi nchi jirani yetu,Zambia,Namibia,Botswana,SA etc etc bado zina viongozi wao wa asili na zipo na umoja na kimaendeleo wapo mbali mno kuliganisha na sisi,tuacheni maneno maneno tujenge nchi kwa misingi ya kisheria,fumua na ondoa KATIBA hii na tutengeneze KATIBA ya wananchi SIO politicians.
Hutakiwi kuwa na nchi inayojisema kwamba ni Jamhuri yenye watu sawa, halafu bado ukawa na vyeo vya uchifu vya kurithimishana.
Ama ukubali kwamba watu si sawa, na kuna wengine wako juu ya wengine kwa kuzaliwa tu kwenye familia za kichifu, ama ukubali kwamba watu ni sawa na uchifu hauna maana kubwa ufutwe.
Nyerere alichagua kuunda nchi inayodhamiria kuwa na watu wote sawa.
Hili pia lilisaidia sana kuua ukabila na kujenga umoja wa kitaifa.
Kwa sasa naona tumeamua kurudisha uchifu kwa mlango wa nyuma.
View attachment 2091277
Kwani uchifu ni utamaduni wetu? Makabila mengi hawakuwa na wachifu. Waliwekwa na wakoloni kwa maslahi yao (km Wazanaki). Uchifu ulipigwa marufuku na sheria mnamo 1962. Machifu waliyokuwepo (km Adam Sapi, Fundikira, Kunambi nk) waliingizwa Serikalini katika nyadhifa mbalimbali.
Ufutaji wa uchifu ulitusaidia sana kujenga umoja wa kitaifa. Nchi zingine Za Afrika (kmNigeria, Ghana nk) wamepata shida kujenga umoja wa kitaifa. Sababu mojawapo ni machifu kulinda himaya zao kwa kukuuza ukabila badala ya utaifa. Tunachotakiwa kusisitiza ni utamaduni wa kitaifa.
Issa G. Shivji ni mwanasheria nchini Tanzania na mwandishi wa Vitabu, pia ni mmoja wa wataalamu bingwa katika Afrika wa sheria na masuala ya maendeleo.
Pia amewahi kufundisha na kufanya kazi katika vyuo vikuu mbalimbali duniani kote. View attachment 2091732
Kati wa wasomi wachache ambao taifa hili limebarikiwa kuwa nao, huyu Prof. ni miongoni mwa wasomi adimu waliobaki hapa nchini Isome hii tweet yake, linganisha na Hali halisi ya nchi yetu kwa Sasa. ==== SAMAKI NYAVUNI samaki nyavuni uhuru gerezani akili pinguni matumaini rehani hoja...
Wataalam hebu mtudadavulie alikuwa anamaanisha nini huyu msomi. Mara nalia mara nacheka, mara nahuzunika mara nafarajika, mara naota mara nawaza, mara nafurahi mara najuta, mara nashangiliwa mara nazomewa, wahenga mnisaidie niko wapi, nchi gani baharini au barani ardhini au mbinguni, wahenga...
Hili mimi sikubaliani nalo ni siasa tu,hebu angalia hizi nchi jirani yetu,Zambia,Namibia,Botswana,SA etc etc bado zina viongozi wao wa asili na zipo na umoja na kimaendeleo wapo mbali mno kuliganisha na sisi,tuacheni maneno maneno tujenge nchi kwa misingi ya kisheria,fumua na ondoa KATIBA hii na tutengeneze KATIBA ya wananchi SIO politicians.
Hili mimi sikubaliani nalo ni siasa tu,hebu angalia hizi nchi jirani yetu,Zambia,Namibia,Botswana,SA etc etc bado zina viongozi wao wa asili na zipo na umoja na kimaendeleo wapo mbali mno kuliganisha na sisi,tuacheni maneno maneno tujenge nchi kwa misingi ya kisheria,fumua na ondoa KATIBA hii na tutengeneze KATIBA ya wananchi SIO politicians.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.