Itashangaza Dunia kama Waziri wa Afya na Naibu wake hawatafukuzwa kazi ya uwaziri

Mollel ni Dentist, hawezi kujua masuala ya pneumonia. Mwenzake ni MD Russia, hana shule. Sijui wanaosoma Udaktari Urusi huwa wanasoma vitu gani.
 

Mkuu sidhani hiyo vita tunaweza kuishinda kwa kufanya mambo ambayo hatuwezi kuithibitishia dunia yanazuia au kuponya huu ugonjwa wa Corona. Kumbuka hili gonjwa ni la kidunia na effort zinazofanyika sasa hivi ni kuhakikisha kila Taifa linafanya taratibu ambazo zinakubalika kimataifa bila kuliacha Taifa lolote nyuma kwani likiachwa tu litakuja kuwa kitovu cha maambukizi. Na hakuna Taifa limebuni chanjo ikakataliwa baada ya kuthibitika kisayansi.
 
Napendekeza utimuliwe ccm , sera ya chama ni nyungu wewe unataka kuleta mambo ya mabeberu hapa ?
 
Mollel ni Dentist, hawezi kujua masuala ya pneumonia. Mwenzake ni MD Russia, hana shule. Sijui wanaosoma Udaktari Urusi huwa wanasoma vitu gani.
lengo kuu la kusoma Russia ni masuala ya maofisa kipenyo , huo udaktari ulikuwa ni zuga tu
 
Hivi nyungu inasaidia? Kama haisaidii waziri wa Afya na wizara yake wawe held accountable for misleading the nation, then waweke proper guidelines za kufuata kama nchi nyingine.
Huyu Mungu atamfukuza wala tusisumbuke ni swala la muda
 
Hivi we dogo una general knoweledge ya kubishana na mimi juu ya suala lolote? Au unatafuta umaarufu?
Eeenh, ninakukandamiza sana!

Badala ya kujiona unakandamizwa, chukua fursa kujifunza na achana kabisa na ulaghai.

Huwa sina simile na wanafiki hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…