Itashangaza Dunia kama Waziri wa Afya na Naibu wake hawatafukuzwa kazi ya uwaziri

vp umejiweka lockdown tayar?
Mwenzako huyo anavyo ropoka na mkamshangilia na kumpongeza kama amasema maneno ya busara kumbe ni ulevi wa madaraka .https://www.instagram.com/p/CLazp5gDQ9A/?igshid=x4v65qng0brb
 
Leo hii unamkana mwenezi wako kwa maneno mliyo yaona ya busara na kuyapongeza?
 
Tatizo dikteta amekamata mifumo yote
 
Na atakayewatumbua na yeye atajitumbua ? Unajua kabisa kinachotokea sasa ni kufuata maelekezo
 
Hapana bado ila nachukua tahadhari ,huku nikiendelea na mishe zangu.
Nalog off

then wacheni cheap politics, mnajua kabisa lock down is impossible sasa kelele za nn? unataka serikali ifanye nn? hata magufuli akismama akasema watu wamekufa na corona then whats next?
 
Mwenzako huyo anavyo ropoka na mkamshangilia na kumpongeza kama amasema maneno ya busara kumbe ni ulevi wa madaraka .https://www.instagram.com/p/CLazp5gDQ9A/?igshid=x4v65qng0brb

swali nlilokuuliza umelielewa lakini?
 
Wakuu (ukiwemo chagu wa malunde) ninaomba nakala ya kiapo cha uwaziri na unaibu waziri tafadhali.

Hongera Mkuu Chagu kwa kulisema hili .......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…