stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Mungu wetu mpendwa chukua wote wanaosema Tz hakuna covid-19
Nalog off
vp umejiweka lockdown tayar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wetu mpendwa chukua wote wanaosema Tz hakuna covid-19
Nalog off
Mimi siyo vuvuzela, nafuata maelekezo yoote ya wataalam wa Afya,vp umejiweka lockdown tayar?
Hapana bado ila nachukua tahadhari ,huku nikiendelea na mishe zangu.vp umejiweka lockdown tayar?
Mwenzako huyo anavyo ropoka na mkamshangilia na kumpongeza kama amasema maneno ya busara kumbe ni ulevi wa madaraka .https://www.instagram.com/p/CLazp5gDQ9A/?igshid=x4v65qng0brbvp umejiweka lockdown tayar?
Leo hii unamkana mwenezi wako kwa maneno mliyo yaona ya busara na kuyapongeza?Wana Jf kwa jinsi tulivyo katika kipindi kigumu ambacho kimezua hofu kwa kila mtu ni wazi kuwa Waziri wa afya na naibu wake hawastahili kuwepo kwenye hii nafasi mpaka sasa.
Mwaka jana bila kupepesa macho Dk Faustine Ndugulile alieleza ukweli umma wa Watanzania kuwa kujifukisha hakuwezi kuua wadudu wa Covid 19, hii ni sababu hawa virus wakiingia kwa binadamu huingia moja kwa moja kwenye mfumo wa kupumua( mapafu) hivyo hata ukijifukiza ni ngumu kuwaua huko ndani ya mapafu.
Mwaka huu baada ya dalili kuwa hili janga limerudi Tanzania kwa namna nyingine,maana inadaiwa sasa hivi kirusi cha korona kimejibadili. Tumeshuhudia madaktari wawili ambao wanasimamia wizara ya afya wakisisitiza watu kujifukiza. Je hawa watu kwa nini hawakutoa ushauri wa kitaalamu unaozingatia taaluma yao kama Faustine Ndugulile?
Leo hii toka watoe demostrantion namna ya kujifukiza hali inaonekana kuwa mbaya. Maana vifo vya vigogo mpaka makabwela vinazidi kupamba moto. Na tatizo ni hilo la kukosa uwezo wa kupumua.
Karne ya ishirini na moja kuongozwa na wasomi ambao hawezi kusimamia taaluma yao na kumshauri rais namna ya kukabiliana na magonjwa kisayansi ni aibu kubwa. Mawaziri hawa wawili wasisubiri vifo vya watanzania iwe sababu ya wao kujiuzulu.
Tatizo dikteta amekamata mifumo yoteHongera kwa Mara nyingine tena chagu wa malunde kwa kuwa mkweli. Mimi ni mkosoaji wako mkuu katika mambo mengi lakini unaposimamia ukweli lazima nikupe heko zako.
Kweli Katibu Mkuu Prof Mchembe ndiyo chanzo cha tatizo. Yeye ndiye aliyepeleka sampuli za oil chafu na mapapai kule National Health Lab.
Ni ajabu wasomi wa hali ya juu wanasaliti usomi wao kumfurahisha Meko
Hao ndiyo wazalendo wa diktetaNa atakayewatumbua na yeye atajitumbua ? Unajua kabisa kinachotokea sasa ni kufuata maelekezo
Wanataka watanzania wafe kwa wingi ili WHO iwapatie pesa nyingi wapate kuzitumia kujenga SGR ambayo ujenzi wake unasuasua kutokana na ukataAchana na watu wanaohangaikia ugali wao hawajali afya za wengine. Uzuri Kovidi haichagui cheo wala rangi inakwenda tu.
Mimi siyo vuvuzela, nafuata maelekezo yoote ya wataalam wa Afya,
Siwezi kudanganywa kama makopo
Hapana bado ila nachukua tahadhari ,huku nikiendelea na mishe zangu.
Nalog off
Mwenzako huyo anavyo ropoka na mkamshangilia na kumpongeza kama amasema maneno ya busara kumbe ni ulevi wa madaraka .https://www.instagram.com/p/CLazp5gDQ9A/?igshid=x4v65qng0brb
Leo hii unamkana mwenezi wako kwa maneno mliyo yaona ya busara na kuyapongeza?
Mpuuzi huyu hawezi kukuelewa.swali nlilokuuliza umelielewa lakini?
??? Upo sawa kiakili?Wanataka watanzania wafe kwa wingi ili WHO iwapatie pesa nyingi wapate kuzitumia kujenga SGR ambayo ujenzi wake unasuasua kutokana na ukata
Bila shakaKiwango chako cha kuelewa mambo unakifahamu?
Utakuta wewe kwanza maana inawatafuta wanao ibeza na kuidharaujibu swali upo lock down? ama ndo siasa zenu za corona znaendelea
Huna akili ya kukuwezesha kuniuliza swaliswali nlilokuuliza umelielewa lakini?