Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu zungumza kidogo kuhusu hayaChuki Mbaya sana
Na Bahati hiyo Hatoipata Ataishia kutumika tu kama Kaptula
Wengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Mtakoma mwaka huu. LISSU KAJA KIVINGINELissu mwenyewe Manamba wa Mababeru, Leo hii anachukia watu kufanywa manamba?
Na wewe Mwenyewe manamba.
Wewe ndio unabwabwaja kule jpm analala na viatu kila siku.Naona Lisu kaishiwa sasa anatafuta alishwe maneno ya kuongea kwenye kampeni za lala salama baada ya kugundua kuwa mikutano yote aliyofanya hajawagusa wananchi na kitu cha kueleweka
LISU ni mgombea pekee wa uraisi ambaye anamaliza ngwe yake bila kunadi sera za CHAMA CHAKE
SwadaktaKuondoa kesi za kubambikiza na kuwaaachia wafungwa wa kisiasa
Hana lolote mtu wenu, subiri utarudi hapa 28/10/2020 kulialia.Mtakoma mwaka huu. LISSU KAJA KIVINGINE
Auze ndege zibaki nne tu, drimlaina, boingi na bombadia mbili.Wengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Wewe zombie unajifariji, Magufuri mwenyewe anajua kwamba anaweza kushindwa, fuatilia kwa makini kauli anazozitoa, sasa nyie viroboto ndio mmekomaa kwamba hawezi kushindwa, mngekaa kimya mkasubiri siku ya kutolewa matokeo ya uchaguziUmewauliza swali gumu sana Vibendera
Na ngojea uone kama kuna mwenye jambo la Maana toafuti na Ukibendera wao tu
Yaani Magufuli Ashindwe na Lisu kabisa Hizo ni Ndoto za Kichaa
Lissu amteue magufuli kuwa waziri wa mkuu wa wilaya ya chatoWengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Hana lolote mtu wenu, subiri utarudi hapa 28/10/2020 kulialia.
Atakuwa anavunja sheria ambacho ni kiashiria cha udikteta.Amfunge Magufuli jela miaka 50 halafu baada ya mwaka ampe msamaha wa Rais iwe fundisho
Ndege zote ziuzwe nakama kungekuwa nauwezokano alipe pesa yauwanja chato ilinguvu zote ziende kwenye umeme na rell pia wavuvi walipwe mali zao uonezi mkubwa walifanyiwa bila kusahau ajira na katiba mpya asanteWengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
kwamba iondolewe?Board ya Mikopo ya Elimu ya Juu.
Kama ingekuwa ni mtihani tungeshafeli wengi. Jamaa kasema " vya kuondoa". Sio kurekebisha wala kuongoza.AUNDE TUME ITEGUE KITENDAWILI TUJUE WASIOJULIKANA N BINADAMU AU MARUHANI MAJINI?
Je AZORY GWANDA,BEN SAA NANE WAKO WAPI?
NAN ALIMSHAMBULIA TUndu LISSU
NI KINA NAN WAlIGAWANA BILION MOJA YA MO?
NAN ALIMTEKA ROMA MKATOLIKI
WASANII NA VIONGOZ WA DINI WASIRUHUSIWE KUSHIRIK MIKUTANO YA SIASA?
MCHAKATO WA KATIBA MPYA UANZE MARA MOJA