Uchaguzi 2020 Itokee Lissu akashinda Urais, akakupa nafasi ya kutoa pendekezo, ni kitu gani alichofanya Magufuli utamwomba akiondoe mara moja?

Uchaguzi 2020 Itokee Lissu akashinda Urais, akakupa nafasi ya kutoa pendekezo, ni kitu gani alichofanya Magufuli utamwomba akiondoe mara moja?

suma jkt warudishwe kambini kuendelea kufanya kazi za kijeshi
 
Wengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.

Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?

Yote yasiyofaa automatic hujiondoa na kujifuta yenyewe kwa sababu hayafai..

Kutofaa kwa kitu siyo lazima uambiwe hapa. Sio lazima utamkiwe na mtu..

Chakula kilichoharibika, kilichooza unahitaji kuambiwa na mtu kuwa chakula hiki kimeoza?

Jambo moja kubwa ambalo ndilo jibu la jumla la hoja yako ni hili..

Tundu Lissu kasema na ndivyo itakavyokuwa, kwamba, mara atakapomaliza kura kiapo, jambo muhimu na la kwanza ni kuanza mchakato wa kuufanyia "overhauling" mifumo yetu ya kiutawala ambao ndiyo kikwazo kikubwa cha maendeleo ya watu ya haraka ktk nchi yetu..

Hili Magufuli na CCM wameshindwa na hawatakuja kuweza hata wapewe miaka 100 tena..!!
 
Naona Lisu kaishiwa sasa anatafuta alishwe maneno ya kuongea kwenye kampeni za lala salama baada ya kugundua kuwa mikutano yote aliyofanya hajawagusa wananchi na kitu cha kueleweka

LISU ni mgombea pekee wa uraisi ambaye anamaliza ngwe yake bila kunadi sera za CHAMA CHAKE
Wewe ndio unabwabwaja kule jpm analala na viatu kila siku.
 
Marejesho ya mkopo wa elimu ya juu. Afute sheria inayotaka wanufaika wa mkopo wakatwe 15% toka kwenye mishahara yao na irudi 8% ya mwanzo au chini zaidi.
 
Wengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.

Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Auze ndege zibaki nne tu, drimlaina, boingi na bombadia mbili.
 
Umewauliza swali gumu sana Vibendera
Na ngojea uone kama kuna mwenye jambo la Maana toafuti na Ukibendera wao tu
Yaani Magufuli Ashindwe na Lisu kabisa Hizo ni Ndoto za Kichaa
Wewe zombie unajifariji, Magufuri mwenyewe anajua kwamba anaweza kushindwa, fuatilia kwa makini kauli anazozitoa, sasa nyie viroboto ndio mmekomaa kwamba hawezi kushindwa, mngekaa kimya mkasubiri siku ya kutolewa matokeo ya uchaguzi
 
Huo ni uzembe wa mgombea ubunge na madiwani wake wanashidwa hata kukodi gari la mtangazo hata siku mbili kabla ya mkutano.
 
Wengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.

Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Lissu amteue magufuli kuwa waziri wa mkuu wa wilaya ya chato
 
Wengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.

Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Ndege zote ziuzwe nakama kungekuwa nauwezokano alipe pesa yauwanja chato ilinguvu zote ziende kwenye umeme na rell pia wavuvi walipwe mali zao uonezi mkubwa walifanyiwa bila kusahau ajira na katiba mpya asante
 
Huyo Lissu si alikuja JF last week akasema tuandike maswali atajibu? Kilichomshinda nn hadi Leo kaingia mitini. Ajibu kwanza maswali yetu
 
AUNDE TUME ITEGUE KITENDAWILI TUJUE WASIOJULIKANA N BINADAMU AU MARUHANI MAJINI?
Je AZORY GWANDA,BEN SAA NANE WAKO WAPI?
NAN ALIMSHAMBULIA TUndu LISSU
NI KINA NAN WAlIGAWANA BILION MOJA YA MO?
NAN ALIMTEKA ROMA MKATOLIKI
WASANII NA VIONGOZ WA DINI WASIRUHUSIWE KUSHIRIK MIKUTANO YA SIASA?
MCHAKATO WA KATIBA MPYA UANZE MARA MOJA
Kama ingekuwa ni mtihani tungeshafeli wengi. Jamaa kasema " vya kuondoa". Sio kurekebisha wala kuongoza.
 
Back
Top Bottom