Jk12
JF-Expert Member
- Feb 24, 2019
- 702
- 1,134
NASHUKURU CONCEPT UMEIPATA MKUU...MANA UMEJUA NILICHOMAANISHAKama ingekuwa ni mtihani tungeshafeli wengi. Jamaa kasema " vya kuondoa". Sio kurekebisha wala kuongoza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NASHUKURU CONCEPT UMEIPATA MKUU...MANA UMEJUA NILICHOMAANISHAKama ingekuwa ni mtihani tungeshafeli wengi. Jamaa kasema " vya kuondoa". Sio kurekebisha wala kuongoza.
Sheria yake ipitiwe upya.Hasa maswala ya marejesho.kwamba iondolewe?
Faraja jipya LA Salenda,Kigongo-Busisi,Burigi Chato National Park,Uwanja wa michezo Chato,Wakurugenzi wa Halmashauri,ma DC,RC ambao makada wa CCM, kikokotoo kipya mafao ya wafanyakazi,kurudisha fao LA kujitoa,kurejesha watumishi waliofukuzwa kazi kinyume cha sheria/kuwalipa stahili zao na fidia ya usumbufu,kuwalipa waliobomolewa nyumbani/makazi,asilimia ya mikopo ya elimu ya juu/kufuta mikopo,kuwafidia wavuvi,wafugaji waliofilisiwa/kuporwa nyav na mifugo yao na Kuendeleza Mchakato wa Katiba Mpya ya Tanzania.Wengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Aondoe vyama vya ushirika? Magufuli ndio alianzisha vyama vya ushirika na ushuru wa mazao?1.Vitambulisho vya mjasiriamali
2.Ushuru wa mazao
3.Vyama vya ushirika
Unamaanisha Raisi, Makamu wa Raisi, Waziri Mkuu na Spika?Sheria ya kutoshitakiwa viongozi wa umma
YapUnamaanisha Raisi, Makamu wa Raisi, Waziri Mkuu na Spika?
Heheheheh!Chato airport ifutwe.
Liwe shamba na ipandwe bangi ili kusaidia Wana chato.
Magenge ya WASIOJULIKANA, huyu bwana utawala wake umekua wa HOFU na mashaka makubwa. Watu hatuna amani na wala uhakika wa kuiona kesho yetu.Wengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
mradi wa bwawa la umeme austopishe kwanza, amflisi magufuli na kumfunga HAPO MOYO WANGU UTAKUWA N.A. MATUMAINI TENAWengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Shekhe, safari hii hakuna bao la mkono. Tutapiga kura na KUZILINDA, hizo kura zenu fake mtaziingizia kwenye kituo gani cha kupigia kura?Chuki Mbaya sana
Na Bahati hiyo Hatoipata Ataishia kutumika tu kama Kaptula
Tutampigia Lisu kura za kishindo, hamtoamini macho yenu.Hakuna wa kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu
Tatizo ni kwamba atawapa moderators kazi kubwa sana. KUmbuka wauliza maswali wasingekuwa watu wa Chadema, ambao kwao ameshakubalika. Sanasana angepokea idadi sawa ya kejeli, matusi na maswali ya kipuuzi kutoka watu ambao wanashabikia upande wa pili. Kwa hiyo unapaswa kuelewa hili.Huyo Lissu si alikuja JF last week akasema tuandike maswali atajibu? Kilichomshinda nn hadi Leo kaingia mitini. Ajibu kwanza maswali yetu
Ngoja niitunze post hii hadi 29/10 maana ile poll station ya uhakika itakuwa imesha toa matokeo ya uhakika kusubiri Confirmation ya NEC tuuUmewauliza swali gumu sana Vibendera
Na ngojea uone kama kuna mwenye jambo la Maana toafuti na Ukibendera wao tu
Yaani Magufuli Ashindwe na Lisu kabisa Hizo ni Ndoto za Kichaa
Hii ni Siasa chafu. Maendeleo hayaletewi chuki kama hivi.Chato airport ifutwe.
Liwe shamba na ipandwe bangi ili kusaidia Wana chato.
Hana uwezo wa kujadili haya huyo ZombiMkuu zungumza kidogo kuhusu haya
1.Fao la kujitoa
2.Kikokoto
3.Nyongeza za mishahara
4.Malipo ya 15% bodi ya mikopo
5.Mikopo kwa wanafunzi
Sera ya Viwanda iliishia wapi?Naona Lisu kaishiwa sasa anatafuta alishwe maneno ya kuongea kwenye kampeni za lala salama baada ya kugundua kuwa mikutano yote aliyofanya hajawagusa wananchi na kitu cha kueleweka
LISU ni mgombea pekee wa uraisi ambaye anamaliza ngwe yake bila kunadi sera za CHAMA CHAKE
Nayo ifutwe?Katiba mpya!