Mikoa Arusha na Kilimanjaro sio mikoa ya kuishi binadamuHuu mkoa vijana wavivu wanaongezeka kwa kasi sana
Wanakuja wageni wanafanya kazi wanaondoka na mpunga
Mkoa huu kijana wa kiume anawaza kupata demu ama bibi wa kizungu
Kutwa kufuga rasta akiamini utamtoa
ukitaka kuamini hilo nenda sehemu za starehe kisha akatishe mzungu ukienda sehemu kama the hub huwa vijana wanakaa chooni kabisa kuwinda wadada wa kizungu
Ukija wadada wa arusha ndo balaa dating app zote wapo wanajiuza kwa kigezo cha kufanya models
Unakuta kadada ka miaka 20 kapo na babu wa miaka 75
Hata zanzibar 50% ya wadad wanaojiuza ni wanatokea arusha
Acha ujinga. Tabia za watu wawili watatu siyo tabia jumuishi wa vijana wa Arusha. Njoo takwimu za NBS ndio tujue vijana wa wapi wavivu.Huu mkoa vijana wavivu wanaongezeka kwa kasi sana
Wanakuja wageni wanafanya kazi wanaondoka na mpunga
Mkoa huu kijana wa kiume anawaza kupata demu ama bibi wa kizungu
Kutwa kufuga rasta akiamini utamtoa
ukitaka kuamini hilo nenda sehemu za starehe kisha akatishe mzungu ukienda sehemu kama the hub huwa vijana wanakaa chooni kabisa kuwinda wadada wa kizungu
Ukija wadada wa arusha ndo balaa dating app zote wapo wanajiuza kwa kigezo cha kufanya models
Unakuta kadada ka miaka 20 kapo na babu wa miaka 75
Hata zanzibar 50% ya wadad wanaojiuza ni wanatokea arusha
Mikoa Arusha na Kilimanjaro sio mikoa ya kuishi binadamu
USSR
Hakika watu wa huku ni mdebwedo sanaMikoa Arusha na Kilimanjaro sio mikoa ya kuishi binadamu
USSR
nenda NBS wewe ukaleteAcha ujinga. Tabia za watu wawili watatu siyo tabia jumuishi wa vijana wa Arusha. Njoo takwimu za NBS ndio tujue vijana wa wapi wavivu.
kina balati mpaka wanahongwa discover n majizoHao ndio msingi kiuno
😂 barati dogo mmoja nasikia majizo alimhonga mpaka discover 4Vijana wengi hawana marinda.
Kuna comment naitafuta, isipotajwa hiyo huu uzi ni batili, nipo nimekaa palee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeipata bila shaka.Vijana wengi hawana marinda.
Disco 4 kwa hizi 0713/0717/0653 zenye kutoa kimba?Mnai-underestimate Sana disco 4/mnai-hyper sana hio kitu ya '. express yourself'.Hakika watu wa huku ni mdebwedo sana
nenda NBS wewe ukalete
kina balati mpaka wanahongwa discover n majizo
😂 barati dogo mmoja nasikia majizo alimhonga mpaka discover 4
Tayariii mapema kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeipata bila shaka.
You nailed it all.Huu uzi ni wa chuki mno. Arusha na Moshi kuna vijana wapiga kazi kwa akili na maarifa mengi sana ingawa pia kuna uwepo wa wapumbavu kama ilivyo mikoa mingine. Kimsingi hiyo mikoa ilishapiga hatua kitambo sana ndo maana chuki dhidi yao haziishi. Vijana wengi waliotoka Arusha, Kilimanjaro na hata Manyara wako mbele sana ya muda kiasi kwamba sio rahisi kwenda sawa na vijana waliotoka mikoa mingine hasa wazaliwa wa pwani na CHATO. Washindani wa vijana wa Arusha wako Nairobi. Kwa hapa Tanzania hakuna.
Kuhusu kula vibibi vya kizungu huwa ni mbinu tu ya vijana kujipatia mitaji ili kutimiza ndoto zao. Kutafuna kibibi cha kizungu sio uhalifu. Kuna watu kibao wengine sasa hivi ni wazee walijipatia utajiri kupitia hao bibi. Ikumbukwe kupata hela ni hatua ya kwanza ila kuzimiliki hadi zikufanye kuwa tajiri ndo jambo limewashinda mikoa mingine. Hata kina dada wa Arusha pia baadhi yao wamepata utajiri kupitia papuchi. Na ni matajiri kwelikweli. Kwa kifupi watu wa Arusha wanaweza kumiliki pesa ndo maana chuki dhidi yao haziishi.
Wanafanya Utani na Dungu Jeshi.Disco 4 kwa hizi 0713/0717/0653 zenye kutoa kimba?Mnai-underestimate Sana disco 4/mnai-hyper sana hio kitu ya '. express yourself'.
Kilimanjaro imeingiaje hapo mkuu, acha hizo!, biashara ya utalii huwa na athari fulani fulani kwa vijana, ref. Mauritius, arusha na zanzibar!Mikoa Arusha na Kilimanjaro sio mikoa ya kuishi binadamu
USSR