Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujaishi Arusha ni rahisi sana kudhani wadada wa singida nao ni watu wa ArushaKuhusu wadada wa chuga kujiuza zenji naunga mkono 100% coz nimeona na ushaidi ninao,,nawajua karibu watano nilikutana nao Zanzibar
Hapo umeniweka sawa,pia niliambiwa wanaotokea Singida huwa wanajitambulisha wanatoka ArushaKama hujaishi Arusha ni rahisi sana kudhani wadada wa singida nao ni watu wa Arusha
Maana lafudhi ya watu Arusha,Moshi,Manyara,singida na kondoa inafanana sana hadi uwe umekaa ukanda huo ndo utajua kuwa huyu ni wa Arusha,Moshi,singida au wapi
Vinginevyo utaendelea kudhani kila mmoja katokea arusha
Ficha upumbavu wakoMikoa Arusha na Kilimanjaro sio mikoa ya kuishi binadamu
USSR
Sure. Maana karibia wote wako na gold teethKama hujaishi Arusha ni rahisi sana kudhani wadada wa singida nao ni watu wa Arusha
Maana lafudhi ya watu Arusha,Moshi,Manyara,singida na kondoa inafanana sana hadi uwe umekaa ukanda huo ndo mtu akiongea utajua kuwa huyu ni wa Arusha,Moshi,singida au wapi
Vinginevyo utaendelea kudhani kila mmoja katokea arusha
Lakin pia umalaya ni tabia ya mtu haihusiani na mkoa Wala nini
Hapana bro mikoa karibu mi 5 ya kaskazini yote inaongea lafudhi moja kuna jinsi ya kuwatofautisha pindi wakiongea bila kujitambulisha Kuna namna ya matamshi ya maneno yao tu utagundua tu huyu ni wa singida,au Manyara,au kondoa, au Kilimanjaro au arushaHapo umeniweka sawa,pia niliambiwa wanaotokea Singida huwa wanajitambulisha wanatoka Arusha
Kwa nini uko interested sana na hii kitu?Tayariii kumekuchaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilijua tyuuh
Ndo hapo sasa, jinsi navyopajua Arusha si dhani kama ni sawa kuutambulisha kuwa ni mkoa ambao watoto wa kike wengi Ni malaya hiyo siyo kweli, wako chini ya uangalizi wa wazazi na wanasimamiwa sana katika masomo ya shuleni na masomo ya dini aiseeSure. Maana karibia wote wako na gold teeth
Kutembea kwangu Arusha sijawahi kukutana watu wanacheza bao.Mikoa ya pwani uvivu umetamalaki bwana usituongopee
DAR wavivu???Mikoa ya pwani uvivu umetamalaki bwana usituongopee
Acha kuandika bila kuwa na Evidence ww' hiyo mikoa ndio inaongoza kwa utalii, mikutano ya kimataifa ...huko nje hii mikoa mingne haijulikani zaidi ya hiyo na Dar tu' unatokea wap ww?Mikoa Arusha na Kilimanjaro sio mikoa ya kuishi binadamu
USSR
Na kukaa kuzungumzia supu ya pweza na alkasusu.Kutembea kwangu Arusha sijawahi kukutana watu wanacheza bao.
Vijana wapo bize na Mishe za utalii, machimbo ya madini na biashara.
Primitive society huwa muda wote inawaza kukaza tu, ndio chanzo cha umaskini.Na kukaa kuzungumzia supu ya pweza na alkasusu.
@cocastic una shinga ya upanga jomoniKuna comment naitafuta, isipotajwa hiyo huu uzi ni batili, nipo nimekaa palee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]