Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazamani nimekuona leo, vipi mzee ulipoteza simu nini??Nikija huko nikikaa kwa muda gani nitakutana na wavivu?
Huu mkoa vijana wavivu wanaongezeka kwa kasi sana, wanakuja wageni wanafanya kazi wanaondoka na mpunga. Mkoa huu kijana wa kiume anawaza kupata mwanamke ama bibi wa kizungu kutwa kufuga rasta akiamini utamtoa.
Ukitaka kuamini hilo nenda sehemu za starehe kisha akatishe mzungu, ukienda sehemu kama The Hub huwa vijana wanakaa chooni kabisa kuwinda wadada wa kizungu!
Ukija kwa wasichana wa Arusha ndio balaa, dating app zote wapo wanajiuza kwa kigezo cha kufanya modeling. Unakuta kasichana ka miaka 20 kapo na babu wa miaka 75! Hata Zanzibar 50% ya wasichana wanaojiuza ni wanatokea Arusha.
Nilijigea break mkuu. Nimerudi sasa hiviWazamani nimekuona leo, vipi mzee ulipoteza simu nini??
Ila ni muda huonekani jukwaani sasa hivi ni wageni tu Jf wale wa zamani wamepungua sana, waliosalia ni member wachache.Nilijigea break mkuu. Nimerudi sasa hivi
Mkoa wa Arusha una makabila mengi mchanganyiko bwashee ingawaje kwenye maduka na huko kwenye Utalii wapo wapo wa kutosha...Wachagga ni watafutaji kiasili jomba sasa tusiwage na chuki za kichawi
Nahisi wengi pia tunajaribu kucatch up na aina ya nyuzi za siku hiziIla ni muda huonekani jukwaani sasa hivi ni wageni tu Jf wale wa zamani wamepungua sana, waliosalia ni member wachache.
Nyuzi za siku hizi kivipi??Nahisi wengi pia tunajaribu kucatch up na aina ya nyuzi za siku hizi
Mkoba wa uchawi tulioachiwa na yule baba mwenye chogo utawamaliza ndugu zako bure... Hapa sio kilingeniMikoa Arusha na Kilimanjaro sio mikoa ya kuishi binadamu
USSR
Umemaliza.. Kwamba mtaji utafutwe kwa namna yeyote ileHuu uzi ni wa chuki mno. Arusha na Moshi kuna vijana wapiga kazi kwa akili na maarifa mengi sana ingawa pia kuna uwepo wa wapumbavu kama ilivyo mikoa mingine. Kimsingi hiyo mikoa ilishapiga hatua kitambo sana ndo maana chuki dhidi yao haziishi. Vijana wengi waliotoka Arusha, Kilimanjaro na hata Manyara wako mbele sana ya muda kiasi kwamba sio rahisi kwenda sawa na vijana waliotoka mikoa mingine hasa wazaliwa wa pwani na CHATO. Washindani wa vijana wa Arusha wako Nairobi. Kwa hapa Tanzania hakuna.
Kuhusu kula vibibi vya kizungu huwa ni mbinu tu ya vijana kujipatia mitaji ili kutimiza ndoto zao. Kutafuna kibibi cha kizungu sio uhalifu. Kuna watu kibao wengine sasa hivi ni wazee walijipatia utajiri kupitia hao bibi. Ikumbukwe kupata hela ni hatua ya kwanza ila kuzimiliki hadi zikufanye kuwa tajiri ndo jambo limewashinda mikoa mingine. Hata kina dada wa Arusha pia baadhi yao wamepata utajiri kupitia papuchi. Na ni matajiri kwelikweli. Kwa kifupi watu wa Arusha wanaweza kumiliki pesa ndo maana chuki dhidi yao haziishi.
Naona siku hizi nyingi zinauliza maswali juu ya mtu angefanya nini angekua yeye, nahisi informative threads zimepungua kiasi chake.Nyuzi za siku hizi kivipi??
We pia hunaTayariii kumekuchaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilijua tyuuh
DuhHuu mkoa vijana wavivu wanaongezeka kwa kasi sana, wanakuja wageni wanafanya kazi wanaondoka na mpunga. Mkoa huu kijana wa kiume anawaza kupata mwanamke ama bibi wa kizungu kutwa kufuga rasta akiamini utamtoa.
Ukitaka kuamini hilo nenda sehemu za starehe kisha akatishe mzungu, ukienda sehemu kama The Hub huwa vijana wanakaa chooni kabisa kuwinda wadada wa kizungu!
Ukija kwa wasichana wa Arusha ndio balaa, dating app zote wapo wanajiuza kwa kigezo cha kufanya modeling. Unakuta kasichana ka miaka 20 kapo na babu wa miaka 75! Hata Zanzibar 50% ya wasichana wanaojiuza ni wanatokea Arusha.
Ahaaahaaaaa! Usipokuwa na akili ya pesa huwezi ishi huko ni kwa wachakarikaji, hakuna mambo ya kusubiri nazi zianguke.Mikoa Arusha na Kilimanjaro sio mikoa ya kuishi binadamu
USSR
Wavivu hawawezi kuishi Arusha.Huu uzi ni wa chuki mno. Arusha na Moshi kuna vijana wapiga kazi kwa akili na maarifa mengi sana ingawa pia kuna uwepo wa wapumbavu kama ilivyo mikoa mingine. Kimsingi hiyo mikoa ilishapiga hatua kitambo sana ndo maana chuki dhidi yao haziishi. Vijana wengi waliotoka Arusha, Kilimanjaro na hata Manyara wako mbele sana ya muda kiasi kwamba sio rahisi kwenda sawa na vijana waliotoka mikoa mingine hasa wazaliwa wa pwani na CHATO. Washindani wa vijana wa Arusha wako Nairobi. Kwa hapa Tanzania hakuna.
Kuhusu kula vibibi vya kizungu huwa ni mbinu tu ya vijana kujipatia mitaji ili kutimiza ndoto zao. Kutafuna kibibi cha kizungu sio uhalifu. Kuna watu kibao wengine sasa hivi ni wazee walijipatia utajiri kupitia hao bibi. Ikumbukwe kupata hela ni hatua ya kwanza ila kuzimiliki hadi zikufanye kuwa tajiri ndo jambo limewashinda mikoa mingine. Hata kina dada wa Arusha pia baadhi yao wamepata utajiri kupitia papuchi. Na ni matajiri kwelikweli. Kwa kifupi watu wa Arusha wanaweza kumiliki pesa ndo maana chuki dhidi yao haziishi.