Itoshe kusema Arusha ndio mkoa unaoongoza kuwa na vijana wavivu sana

Mashoga ni wapo mob yani ni kuwapakua tu.
 

Fantasy na story za vijiweni
 
Ila ni muda huonekani jukwaani sasa hivi ni wageni tu Jf wale wa zamani wamepungua sana, waliosalia ni member wachache.
Nahisi wengi pia tunajaribu kucatch up na aina ya nyuzi za siku hizi
 
Mikoa Arusha na Kilimanjaro sio mikoa ya kuishi binadamu

USSR
Mkoba wa uchawi tulioachiwa na yule baba mwenye chogo utawamaliza ndugu zako bure... Hapa sio kilingeni
 
Umemaliza.. Kwamba mtaji utafutwe kwa namna yeyote ile
 
Duh
 
Wavivu hawawezi kuishi Arusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…