Usithubutu rafiki kula kinyeo cha mwenzio,papuchi nyingi mno ndugu,ya nini utoke na harufu ya mavi kwa kujitakia [emoji57]yeyote anae ingiza dudu yake kwenye kinyeo hana tofauti na kinyesi na popote nzi watamfuataMashoga ni wapo mob yani ni kuwapakua tu.
Nakubali. Vijana wa zamani ndo hawa watuhumiwa wakuu wa ufisadi na mambo mengi sana ya hovyo. Ndo wameturithisha ishu za ajabu mno zinazodidimiza taifa.Yaani hili taifa watawala wameshindwa ku-provide opportunities kwa vijana alafu wame-wabrainwash kwamba ugumu wa maisha yao ni uvivu wao....
Amini nakwambia vijana wa sasa ni hardworkers kuliko wazee wa sasa ujana wao (Kipindi kile watu walikuwa wanachagua kazi; vitu kama ualimu, polisi kuwa nurse, usafi, mama lishe n.k. watu walikuwa hawafanyi) leo hii watu wanahonga hata wakawe wajeda au any of the above
ha ha ha sema tabora fursa za watalii hamna njaa kali sana na vijana wanapambana ndio maana idadi ya boda boda ni sawa na baiskeli za kubeba abiria!!!Tabora Jazz ndio viranja aiseeeeee
Uvivu ulianza mwambao wa pwani, wale wanaopenda kushinda vibarazani na vibarakashiaKuna comment naitafuta, isipotajwa hiyo huu uzi ni batili, nipo nimekaa palee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mikoa Arusha na Kilimanjaro sio mikoa ya kuishi binadamu
USSR
WE popoma sema mji wa Arusha siyo mkoaHuu mkoa vijana wavivu wanaongezeka kwa kasi sana, wanakuja wageni wanafanya kazi wanaondoka na mpunga. Mkoa huu kijana wa kiume anawaza kupata mwanamke ama bibi wa kizungu kutwa kufuga rasta akiamini utamtoa.
Ukitaka kuamini hilo nenda sehemu za starehe kisha akatishe mzungu, ukienda sehemu kama The Hub huwa vijana wanakaa chooni kabisa kuwinda wadada wa kizungu!
Ukija kwa wasichana wa Arusha ndio balaa, dating app zote wapo wanajiuza kwa kigezo cha kufanya modeling. Unakuta kasichana ka miaka 20 kapo na babu wa miaka 75! Hata Zanzibar 50% ya wasichana wanaojiuza ni wanatokea Arusha.
we umechanganykiwa.Mkoa wa arusha nenda arusha mjini mpaka mto wa mbu mpaka karatu mpaka namanga mpaka makuyuni mpaka momera huko
ebu tembelea mtwara,tanga,pemba na tanga,bila kusahau tabora alaf nipigie simu namba 27538Huu mkoa vijana wavivu wanaongezeka kwa kasi sana, wanakuja wageni wanafanya kazi wanaondoka na mpunga. Mkoa huu kijana wa kiume anawaza kupata mwanamke ama bibi wa kizungu kutwa kufuga rasta akiamini utamtoa.
Ukitaka kuamini hilo nenda sehemu za starehe kisha akatishe mzungu, ukienda sehemu kama The Hub huwa vijana wanakaa chooni kabisa kuwinda wadada wa kizungu!
Ukija kwa wasichana wa Arusha ndio balaa, dating app zote wapo wanajiuza kwa kigezo cha kufanya modeling. Unakuta kasichana ka miaka 20 kapo na babu wa miaka 75! Hata Zanzibar 50% ya wasichana wanaojiuza ni wanatokea Arusha.
Huyu mleta mada Ni kenge na mtu mjinga tu hajui kuwa tuko maporini tunasaka pesaa uatafiti wake amegemea chuki binafsi wa wanna wa arushaWatu wa Arusha na Moshi kiasili ni watu wanaotafutaga sana hela. Huu utafiti wako sijajua umeufanya vipi japo inafahamika kua kwenye msafala wa mamba na kenge wamo
Shida ni kua mtu akishaona kakikundi fulani ka watu kapo namna flani basi anajua jamii nzima ipo hivyoHuyu mleta mada Ni kenge na mtu mjinga tu hajui kuwa tuko maporini tunasaka pesaa uatafiti wake amegemea chuki binafsi wa wanna wa arusha
Kwa hio unatuthibitishia huko ndio lango la ukahaba TZ. Mmeambukiza na ndugu zenu wanyiramba wanasambaa Tanzania yote kuhudumia kwenye bar na guest.Huu uzi ni wa chuki mno. Arusha na Moshi kuna vijana wapiga kazi kwa akili na maarifa mengi sana ingawa pia kuna uwepo wa wapumbavu kama ilivyo mikoa mingine. Kimsingi hiyo mikoa ilishapiga hatua kitambo sana ndo maana chuki dhidi yao haziishi. Vijana wengi waliotoka Arusha, Kilimanjaro na hata Manyara wako mbele sana ya muda kiasi kwamba sio rahisi kwenda sawa na vijana waliotoka mikoa mingine hasa wazaliwa wa pwani na CHATO. Washindani wa vijana wa Arusha wako Nairobi. Kwa hapa Tanzania hakuna.
Kuhusu kula vibibi vya kizungu huwa ni mbinu tu ya vijana kujipatia mitaji ili kutimiza ndoto zao. Kutafuna kibibi cha kizungu sio uhalifu. Kuna watu kibao wengine sasa hivi ni wazee walijipatia utajiri kupitia hao bibi. Ikumbukwe kupata hela ni hatua ya kwanza ila kuzimiliki hadi zikufanye kuwa tajiri ndo jambo limewashinda mikoa mingine. Hata kina dada wa Arusha pia baadhi yao wamepata utajiri kupitia papuchi. Na ni matajiri kwelikweli. Kwa kifupi watu wa Arusha wanaweza kumiliki pesa ndo maana chuki dhidi yao haziishi.
Nakuunga mkono hakuna vijana wavivu hii ni siasa leo ukienda kila mkoa hakuna kiwanda ambacho kinakosa wafanyakazi .Yaani hili taifa watawala wameshindwa ku-provide opportunities kwa vijana alafu wame-wabrainwash kwamba ugumu wa maisha yao ni uvivu wao....
Amini nakwambia vijana wa sasa ni hardworkers kuliko wazee wa sasa ujana wao (Kipindi kile watu walikuwa wanachagua kazi; vitu kama ualimu, polisi kuwa nurse, usafi, mama lishe n.k. watu walikuwa hawafanyi) leo hii watu wanahonga hata wakawe wajeda au any of the above
Sio kweli hii ni inferiority complex uliyokuwa nayo wabara dhidi ya wapwani.Uvivu ulianza mwambao wa pwani, wale wanaopenda kushinda vibarazani na vibarakashia