Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Sasa achana na yanga na Simba mimi nafatilia EPL,Laliga kipindi kwaresma inaanza hawakupost chochote ila Leo na jana Klabu zote Man U,city,Madrid n.k wotee wamepost Ramadan kareem JE NA WAO NI WADINI??
Ni kweli kuna Udini mkubwa, angalia wameanza kuwarubuni vijana wadogo wa kikristo wabadili dini au kuwasilimisha kilaghaiNajua jf hawapendi muda mwingine tuseme ukweli hasa unaohusu dini ila hili ni kweli
Wakristo walivyoanza kufunga hizi club pendwa hazikutoa post yoyote ya kuwatakia kwaresma njema
Ila waislamu baad ya kuanza kufunga wote wamewatakia mfungo mwema
Huu ni ubaguzi
Hata kama hizi club asili yake ni kariakoo eneo lenye waislamu wengi
Hata kama waweka pesa ni waislamu ila club zina rundo la wanachama na mashabiki wakristoView attachment 2562792
Tena mfungapo msiwe kama wanafiki wafanyavyo, wao hupiga panda ili kila mtu ajue kuwa wamefunga.......Hata haya matimu ya ulaya nayo yana udini saana hayakupost kwaresma ila yamepost Ramadhani.View attachment 2562829View attachment 2562831View attachment 2562832
kumbe ndiyo maana kitimoto imeshuka bei?Hebu lete mchoro kama huo,unaohusu kwaresma.Halafu si mnasema mwafanya ibada kiroho sio kimwili,sasa vipi upewe pongezi za kimwili?.Waislamu wanafanya ibada kiroho na kimwili,ndio ukaona wanapewa pongezi kimwili na kiroho.
[emoji419][emoji419]Unapotilia uzito kwenye jambo lako ndo na wengine wataweka mkazo,,, sasa kama wenyewe mambo yenu mnachukulia oya oya wengine nao itakua hivyo hivyo
Very true hizi club mi nasema ni za makabila ya pwani na waislam wabara na wakristo wanajipendekezaNajua jf hawapendi muda mwingine tuseme ukweli hasa unaohusu dini ila hili ni kweli
Wakristo walivyoanza kufunga hizi club pendwa hazikutoa post yoyote ya kuwatakia kwaresma njema
Ila waislamu baad ya kuanza kufunga wote wamewatakia mfungo mwema
Huu ni ubaguzi
Hata kama hizi club asili yake ni kariakoo eneo lenye waislamu wengi
Hata kama waweka pesa ni waislamu ila club zina rundo la wanachama na mashabiki wakristoView attachment 2562792
Roho inawauma eeNi kweli kuna Udini mkubwa, angalia wameanza kuwarubuni vijana wadogo wa kikristo wabadili dini au kuwasilimisha kilaghai
[emoji419][emoji419]@LOTH HEMA unateseka ukiwa wapi??? Huna kumbukumbu au hutumii smartphone
Mbona Christmas ikikaribia miezi miwili kabla ni promo Kila sehemu Hilo nalo hulioni Kila mwaka??? Yan Simba na yanga kuweka hivyo tu ni nongwa???
Mbona clubs kubwa tu Duniani zimeandika ramadhani mubaraka?? Real Madrid ,Chelsea ,Liverpool
Hizo nazo zipo bias na uislamu???
Acheni roho za kwann basi wenzetu .hata kama mna chuki zenu jaribu kuzificha kwanza basi ,sisi tumechoka kusema Kila siku kuwajibu nyinyi
Acheni upuuzi na vitu vidogo vidogo.
Primitive mythologiesRoho inawauma ee
bangi gani? Hoja inasema kwa nini haikutoa heri za kwaresma kwa wachezaji na mashabiki zao wa upande huo. Mkibwana hamuachi kutokwa povuSimba hai takiwi kufurahisha mashabiki zao acha bangi kijana