Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.
Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani. ITV wakamzimia sauti.
Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey Polepole naye alikuwa Live?
Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi.
Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti.
Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?
Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu
Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.
Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takriban dakika kumi na tano nzima.
Haya mambo ya ajabu sana
Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani. ITV wakamzimia sauti.
Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey Polepole naye alikuwa Live?
Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi.
Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti.
Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?
Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu
Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.
Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takriban dakika kumi na tano nzima.
Haya mambo ya ajabu sana