ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.

Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.

Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mgejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?

Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi

Nineona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti

Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?

Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu

Kama hamtaki kurusha Live matukio ya waoinzani basi acheni.

Leo ITV wamenzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.

Haya mambo ya ajabu sana
Nadhan tungewapa nafas ya wao kujieleza kipi kilitokea na kwa nin kabla hatujatoa hukumu ya kibabe km tunavyotoaga.
 
Hata wewe unatumia cha Mexence Mello mkuu.

Tafuta chako!

Huwezi ukanilinganisha mimi na chama, mimi sina ushindani na yeyote. Lazima uelewe ili kupambana na mshindani wako ni lazima ujitahidi kuwa na vitu muhimu vinavyokusaidia kupambana na ushindani. Vyama vyetu vingi havijitengenezei nyenzo zake na ndio maana vinakuwa na wakati mgumu maana bado vinategemea nyenzo za mshindani kama vile, majengo, vyombo ya habari na vingine! yatupasa tuelewe hili.
 
Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.

Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.

Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mgejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?

Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi

Nineona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti

Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?

Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu

Kama hamtaki kurusha Live matukio ya waoinzani basi acheni.

Leo ITV wamenzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.

Haya mambo ya ajabu sana
Kila chombo cha habari kinachotumika kitavuna kinachopanda baada ya ccm kung'olewa hapo octoba .Wasije kumlilia mtu
 
Ndo maana nasema Membe ni Janja ya CCM kuumaliza upinzani tena kama walivyofanya kwa Lowasa ndo maana ACT mikutano yao hata Vyombo vya habari vinaoneshaa..!! Lakini Chadema hawawezi sababu watanyooshwa
Ina make sense kwa umbali
 
Ndo maana nasema Membe ni Janja ya CCM kuumaliza upinzani tena kama walivyofanya kwa Lowasa ndo maana ACT mikutano yao hata Vyombo vya habari vinaoneshaa..!! Lakini Chadema hawawezi sababu watanyooshwa
We jamaa una akili sana aisee na naunga mkono hoja kwa 100%.

Halafu watu wenye structure ya kichwa kama cha huyo jamaa hua hawaaminiki hata kidogo,hebu tafute picha ya huyo jamaa angalia ile kichwa ilivyokaa then ulete majibu hapa jukwaani.
 
We jamaa una akili sana aisee na naunga mkono hoja kwa 100%.

Halafu watu wenye structure ya kichwa kama cha huyo jamaa hua hawaaminiki hata kidogo,hebu tafute picha ya huyo jamaa angalia ile kichwa ilivyokaa then ulete majibu hapa jukwaani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mzee umeua!
 
Tangu mzee wetu Mengi alipo ondoka basi na ITV wameigeuza ITV kuwa chombo cha propaganda cha ccm.
Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.

Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.

Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mgejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?

Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi

Nineona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti

Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?

Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu

Kama hamtaki kurusha Live matukio ya waoinzani basi acheni.

Leo ITV wamenzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.

Haya mambo ya ajabu sana
 
Back
Top Bottom