Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida sio sauti shida tukumbuke station zote hizo ziko chini ya ccm..jamani maisha ni magumu kila mtu anaangalia ugali wake wa kesho ..ishu sio kumsupport lissu ishu ni maisha baada ya kumsuport lissuHahaa, kumbe sio Mimi peke yangu nimeona Hili
Sema Tundu Lissu naye itabidi apunguze ukali wa speech zake maana mainstream media zote Sasa zitaogopa kumrusha
Mbona magu anaongea utopolo mtupu kila siku hawazimi kumlindia heshima yake?Hahaa, kumbe sio Mimi peke yangu nimeona Hili
Sema Tundu Lissu naye itabidi apunguze ukali wa speech zake maana mainstream media zote Sasa zitaogopa kumrusha
japo nae mmmhhhh utadhani hakoseagi maan khaaaLissu anatisha hoja zake inabidi uwe vizuri kuzijibu la sivyo aibu ya mwaka kama Mtungi
..ila Jpm akitoa lugha za matusi na kudhalilisha wanarusha hivyohivyo.
..baadae watetezi wanakuja wanasema alikuwa anafanya utani.
Lissu mwenyewe hana point ndiyo maana ITV wamekata sauti
lakini pia jamani wana JF unajua station hiyo imekufa muda mrefu ni mazoea ya wananchi kusikiliza habari saa2 usiku basi lakini baada ya hapo mmmhh kimeo tupu..ila Jpm akitoa lugha za matusi na kudhalilisha wanarusha hivyohivyo.
..baadae watetezi wanakuja wanasema alikuwa anafanya utani.
Kusema kuwa msiba wa Moi alizikwa na maraisi wastaafu na walio madarakani wanne,lakinu msiba wa Mkapa,kaja mtu wa rafikiye na Mh. JPM peke yake yataleta taharuki gani?ITV wapo sahihi kabisa.awawezi kubali kurusha maneno yatakayoleta taharuki kwa taifa.
Yeye ana dola mkuuMbona magu anaongea utopolo mtupu kila siku hawazimi kumlindia heshima yake?
watu wanaogopa sana sikuhizi kuambiwa ukweli alafu ukweli huyo unamlenga mwenye nchi kazi inaanzia hapo...watu tumekuwa watumwa kwenye nchi yetu wenyweKwel ujinga na ushamba ni mzigo mzto
[emoji867][emoji867]Sasa kama mtu anaongea Pumba wafanyeje
Kuropoka
lakini pia jamani wana JF unajua station hiyo imekufa muda mrefu ni mazoea ya wananchi kusikiliza habari saa2 usiku basi lakini baada ya hapo mmmhh kimeo tupu
Swali zuri na la msingi sana hili. Nasubiri majibu ya maana toka kwa wanashesheria wetu.Je, Uchaguzi "huru na wa haki" hauwezi kuambatana na fair access to the media kwa vyama vyote sanjari na fair coverage ya mikutano ya siasa ya vyama vyote?!
Cc Pascal Mayalla
Na analitumia vibaya.Yeye ana dola mkuu
Ni kwamba hatuhitaji kumsikia, anapayuka sana. Mwambieni atulie Kama kweli anataka kuikomboa nchi hii..aongee mambo ya maana sio magomvi kila kukichaMnapendwa na wanyonge wa nchi nzima lkn mnakimbilia kuzima speech za watu hahah,kipenzi cha wanyonge bana ni shiida.
shida iko pale pale nani atamfunga paka kengere alafu ukumbuke mwenye station hayupo tena kwahiyo pale wakuu wakisema ipigwe ambush mmmhh itarudio nyuma hata wasafi watawazidi..wajiongeze kipindi hiki cha uchaguzi.
..wakirusha habari ambazo wananchi wanahamu na wanatamani kuzisikia wanaweza kurudi kwenye chati.
..unafikiri wakiamua kutangaza habari za kampeni za kila chama bila kupendelea watakosa watazamaji?