ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

Hii nchi ya ajabu kweli. Wanaemtenga ndiye mtetezi wa uhuru wa habari.
 
Acha kuota mchana kweupe hivi hebu toka usingizini huyo Lissu labda awe Rais wa Gheto
Achana na hivyo vyombo vya habari vya Tanzania ndugu. Wanadhani Magu anashinda uchaguZi wa mwaka huu. Wasichojua ni kwamba Tanzania inaenda kushangaza ulimwengu mwaka huu. Fundi Antipas Lissu anaenda kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka huu na wote waliomdhiaki wataenda kumwomba msamaha
 
Hapana
Magufuli anatakiwa kuyasikia maneno magumu magumu ya Tundu kama yalivyo sio yale yaliyopakwa asali kwa juu.
Kuna mzee wangu mmoja kwa sasa ni marehemu,aliniambia kuwa ili uwe bora zaidi katika kila ukifanyacho,ruhusu masikio yako kusikia yale wasiokutakia mafanikio kusikia.
Naamini kama tungekuwa na uhuru wa mawazo mbadala na kuyaongea yale tunayoyaona kuwa hayaendi sawa,kwa binadamu timamu na aliyekamilika kama kiongozi,lazima tungekuwa tumepiga hatua sana,kwani tungejirekebisha kutokana na hayo mameno ya wapinzani wetu.
 
Achana na hivyo vyombo vya habari vya Tanzania ndugu. Wanadhani Magu anashinda uchaguZi wa mwaka huu. Wasichojua ni kwamba Tanzania inaenda kushangaza ulimwengu mwaka huu. Fundi Antipas Lissu anaenda kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka huu na wote waliomdhiaki wataenda kumwomba msamaha
Hahahaha haha Ndoto kama hizi hata kichaa hawezi kuziota.
 
ITV Super BLUNDER; COWARDS PER EXCELLENCE!



Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.

Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.

Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?

Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi

Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti

Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?

Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu

Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.

Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.

Haya mambo ya ajabu sana
 
Ile hamu ya kutafuta na kuisikiliza taarifa ya habari ya ITV siku hizi haipo kwangu kwa vile sioni tofauti na TBC ya ccm,waliyoipokea kwa watanzania wazalendo
Siyo ITV pekee bali zote za IPP Media Radio na TV zinaunga mkono juhudi mpaka Capital TV inaonyesha vipindi.vya Capital Radio mpaka inakera. Super Brand? My foot, shit!
 
Huwezi ukanilinganisha mimi na chama, mimi sina ushindani na yeyote. Lazima uelewe ili kupambana na mshindani wako ni lazima ujitahidi kuwa na vitu muhimu vinavyokusaidia kupambana na ushindani. Vyama vyetu vingi havijitengenezei nyenzo zake na ndio maana vinakuwa na wakati mgumu maana bado vinategemea nyenzo za mshindani kama vile, majengo, vyombo ya habari na vingine! yatupasa tuelewe hili.
Walikuwa na Tanzania daima limepigwa pini, tena kipindi muhimu cha uchaguzi
 
Raha ya maisha miliki chako usitegemee cha jirani. Kwani shiin ngapi........

Natumia arial
Anza kwanza kufanya utafiti kuhusu masharti ya kumiliki hicho chombo, namna ya kupata hayo mawimbi na umbali wa hayo mawimbi.
 
Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.

Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.

Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?

Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi

Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti

Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?

Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu

Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.

Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.

Haya mambo ya ajabu sana
Uwe mpole nani arushe utumbo ?
 
Nadhan tungewapa nafas ya wao kujieleza kipi kilitokea na kwa nin kabla hatujatoa hukumu ya kibabe km tunavyotoaga.

Mkuu hata radio one walikuwa Live, muda wa Lissu kuongea ulipofika wakakata matangazo.

Yaani hawa ITV na vyombo vyao, kitwndo walichofanya ni kitendo cha kihuni sana.

Cowards!
 
Ndo maana nasema Membe ni Janja ya CCM kuumaliza upinzani tena kama walivyofanya kwa Lowasa ndo maana ACT mikutano yao hata Vyombo vya habari vinaoneshaa..!! Lakini Chadema hawawezi sababu watanyooshwa
Kuonyeshwa live ni mpaka ulipie ,je wamelipia?,wakakataliwa?
 
ITV wapo sahihi kabisa.awawezi kubali kurusha maneno yatakayoleta taharuki kwa taifa.
Mkuu msikalie humu humu Tanzania na kufatilia habari za ccm na Magu tu.tafuteni maarifa ili ujinga uwaondoke,wanaondoka madarakani watu wenye akili zao na hakujawahi kuwa na taharuki,sembuse huyu?
 
Back
Top Bottom