Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Laiti ungejua navokupendaHili tukio litakuwa endelevu. Jiandae kulizoea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laiti ungejua navokupendaHili tukio litakuwa endelevu. Jiandae kulizoea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Achana na hivyo vyombo vya habari vya Tanzania ndugu. Wanadhani Magu anashinda uchaguZi wa mwaka huu. Wasichojua ni kwamba Tanzania inaenda kushangaza ulimwengu mwaka huu. Fundi Antipas Lissu anaenda kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka huu na wote waliomdhiaki wataenda kumwomba msamaha
Hahah kipenzi cha wanyonge lugha zenu za Stiglers,sgr hazisikiki tena hahah.Ni kwamba hatuhitaji kumsikia, anapayuka sana. Mwambieni atulie Kama kweli anataka kuikomboa nchi hii..aongee mambo ya maana sio magomvi kila kukicha
Kama havunji sheria na anaongea ukweli kuna shida gani?Hahaa, kumbe sio Mimi peke yangu nimeona Hili
Sema Tundu Lissu naye itabidi apunguze ukali wa speech zake maana mainstream media zote Sasa zitaogopa kumrusha
Kuna mzee wangu mmoja kwa sasa ni marehemu,aliniambia kuwa ili uwe bora zaidi katika kila ukifanyacho,ruhusu masikio yako kusikia yale wasiokutakia mafanikio kusikia.Hapana
Magufuli anatakiwa kuyasikia maneno magumu magumu ya Tundu kama yalivyo sio yale yaliyopakwa asali kwa juu.
Hahahaha haha Ndoto kama hizi hata kichaa hawezi kuziota.Achana na hivyo vyombo vya habari vya Tanzania ndugu. Wanadhani Magu anashinda uchaguZi wa mwaka huu. Wasichojua ni kwamba Tanzania inaenda kushangaza ulimwengu mwaka huu. Fundi Antipas Lissu anaenda kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka huu na wote waliomdhiaki wataenda kumwomba msamaha
Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.
Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.
Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?
Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi
Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti
Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?
Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu
Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.
Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.
Haya mambo ya ajabu sana
Wautangazie umma wa Tanzania , nani anawatishia kufanya kazi zao kwa uhuru.Mtalaumu bure ITV hata kuonyesha wamejitahidi sana hali ya sasa ni hatarishi kwa vyombo vya habari
Siyo ITV pekee bali zote za IPP Media Radio na TV zinaunga mkono juhudi mpaka Capital TV inaonyesha vipindi.vya Capital Radio mpaka inakera. Super Brand? My foot, shit!Ile hamu ya kutafuta na kuisikiliza taarifa ya habari ya ITV siku hizi haipo kwangu kwa vile sioni tofauti na TBC ya ccm,waliyoipokea kwa watanzania wazalendo
Walikuwa na Tanzania daima limepigwa pini, tena kipindi muhimu cha uchaguziHuwezi ukanilinganisha mimi na chama, mimi sina ushindani na yeyote. Lazima uelewe ili kupambana na mshindani wako ni lazima ujitahidi kuwa na vitu muhimu vinavyokusaidia kupambana na ushindani. Vyama vyetu vingi havijitengenezei nyenzo zake na ndio maana vinakuwa na wakati mgumu maana bado vinategemea nyenzo za mshindani kama vile, majengo, vyombo ya habari na vingine! yatupasa tuelewe hili.
Kichaa yupi?? Yule anayempelekea mama yake mzazi mwanaume baada ya kupewa jogoo???Hahahaha haha Ndoto kama hizi hata kichaa hawezi kuziota.
Anza kwanza kufanya utafiti kuhusu masharti ya kumiliki hicho chombo, namna ya kupata hayo mawimbi na umbali wa hayo mawimbi.Raha ya maisha miliki chako usitegemee cha jirani. Kwani shiin ngapi........
Natumia arial
Jiandae tu ndugu, ndo raisi wako huyo kuanzia October 2020Acha kuota mchana kweupe hivi hebu toka usingizini huyo Lissu labda awe Rais wa Gheto
Uwe mpole nani arushe utumbo ?Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.
Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.
Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?
Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi
Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti
Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?
Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu
Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.
Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.
Haya mambo ya ajabu sana
Nadhan tungewapa nafas ya wao kujieleza kipi kilitokea na kwa nin kabla hatujatoa hukumu ya kibabe km tunavyotoaga.
Kuonyeshwa live ni mpaka ulipie ,je wamelipia?,wakakataliwa?Ndo maana nasema Membe ni Janja ya CCM kuumaliza upinzani tena kama walivyofanya kwa Lowasa ndo maana ACT mikutano yao hata Vyombo vya habari vinaoneshaa..!! Lakini Chadema hawawezi sababu watanyooshwa
Mkuu msikalie humu humu Tanzania na kufatilia habari za ccm na Magu tu.tafuteni maarifa ili ujinga uwaondoke,wanaondoka madarakani watu wenye akili zao na hakujawahi kuwa na taharuki,sembuse huyu?ITV wapo sahihi kabisa.awawezi kubali kurusha maneno yatakayoleta taharuki kwa taifa.
Mambo ya SUPERBLAND hayo mkuu.