ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.

Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.

Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?

Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi

Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti

Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?

Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu

Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.

Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.

Haya mambo ya ajabu sana

Mtoa hoja ujue kuwa mtoa habari (lissu) na msambaza habari ( itv n.k) wote wana wajibu wa kuzingatia miiko, sheria na haki za wengine.

Bila ya hivyo iwapo mzungumzaji atatoa matamshi yanayothibitika kuwa ni ya kashfa, uchochezi, uhaini au uvunjifu wa amani katika jamii, chombo hicho cha utangazaji kitakuwa hatiani kwa uvunjifu wa maadili na sheria kikifikishwa mahakamani, sanjari na aliyetamka maneno hayo.

Kwa kuchelea madhila hayo, ndio maana vyombo vya utangazaji vinachukua maamuzi magumu ya kujidhibiti vyenyewe vinapohisi dalili za kutolewa matamshi kinyume na sheria, maadili, na weledi, vikifahamu kuwa vipandishwa kizimbani hata mtoa habari hatakuwa msaada kwao. Mwanahalisi TV nayo ilijilipua vivyo hivyo.
 
Mtoa hoja ujue kuwa mtoa habari (lissu) na msambaza habari ( itv n.k) wote wana wajibu wa kuzingatia miiko, sheria na haki za wengine.

Bila ya hivyo iwapo mzungumzaji atatoa matamshi yanayothibitika kuwa ni ya kashfa, uchochezi, uhaini au uvunjifu wa amani katika jamii, chombo hicho cha utangazaji kitakuwa hatiani kwa uvunjifu wa maadili na sheria kikifikishwa mahakamani, sanjari na aliyetamka maneno hayo.

Kwa kuchelea madhila hayo, ndio maana vyombo vya utangazaji vinachukua maamuzi magumu ya kujidhibiti vyenyewe vinapohisi dalili za kutolewa matamshi kinyume na sheria, maadili, na weledi, vikifahamu kuwa vipandishwa kizimbani hata mtoa habari hatakuwa msaada kwao. Mwanahalisi TV nayo ilijilipua vivyo hivyo.

Huwezi kutegemea mzungumzaji ataongea nini
 
Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.

Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.

Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?

Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi

Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti

Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?

Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu

Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.

Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.

Haya mambo ya ajabu sana
SIKU HIZI WANATEULIWA PIA
 
Anza kwanza kufanya utafiti kuhusu masharti ya kumiliki hicho chombo, namna ya kupata hayo mawimbi na umbali wa hayo mawimbi.

Mi nifanye utafiti wa nini? Sikihitaji hicho chombo. Vyama vinavyolalamika vingefanya hivyo! Wamuulize hata Chibu atawasaidia!
 
Hahaa, kumbe sio Mimi peke yangu nimeona Hili
Sema Tundu Lissu naye itabidi apunguze ukali wa speech zake maana mainstream media zote Sasa zitaogopa kumrusha
Haitawasaidia, sauti ya mkombozi Lissu itafika tu huko kwa wananchi
 
Mkuu msikalie humu humu Tanzania na kufatilia habari za ccm na Magu tu.tafuteni maarifa ili ujinga uwaondoke,wanaondoka madarakani watu wenye akili zao na hakujawahi kuwa na taharuki,sembuse huyu?
hujijui.
 
Lisu ni mmoja wa Watu risk kwa TV ,ITV walishaponzwa na Chadema kuna siku mchungaji Msigwa walimrusha live akaanza kumporomoshea matusi Naibu Spika Tulia Ackson kitu ambacho Ni kinyume na maadili ya utangazaji wakalipishwa faini mamilioni na TCRA

Lisu hajiheshimu akianza kuropoka aweza ponza chombo Cha habari kikafungiwa ndio maana hata magazeti wanakwepa kaandika anayosema sababu yako kinyume na maadili ya uandishi wa habari .Ukiyaandika Ni at your own risk na hajali hata ufungiwe sawa na mikesi haji mahakamani anakutekezea likesi lako

Yuko so careless when it comes to public speaking .Akili yote huwa anaiacha nyumbani kwake kurusha live Ni kujitakia shida hujui Ni wapi atachomoka na dude lililo kinyume na maadili ya uandishi na kulirusha hewani
Wa mapambio ndio hao
 
Lakini afadhali kuliko umeme ungezimika kabisa mkutanoni Diamond Jubilee Hall.
 
Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.

Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.

Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?

Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi

Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti

Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?

Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu

Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.

Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.

Haya mambo ya ajabu sana
Taifa ulikuwa hujui Ni la wajinga?
 
Kumshauri mh Lissu aseme nini huko ni kutaka kuturudisha kwenye zama za utumwa.

Nini maana ya kuwa chama cha upinzani? Yaani umpangie kiongozi wa chama nini aseme?
Bungeni ndio hovyo kabisa
 
Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.

Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.

Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?

Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi

Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti

Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?

Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu

Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.

Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.

Haya mambo ya ajabu sana
They call themselves "Super Brand Africa". No hope in them indeed.
 
Back
Top Bottom