Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kumshauri mh Lissu aseme nini huko ni kutaka kuturudisha kwenye zama za utumwa.
Nini maana ya kuwa chama cha upinzani? Yaani umpangie kiongozi wa chama nini aseme?
Nini maana ya kuwa chama cha upinzani? Yaani umpangie kiongozi wa chama nini aseme?
Hahaa, kumbe sio Mimi peke yangu nimeona Hili
Sema Tundu Lissu naye itabidi apunguze ukali wa speech zake maana mainstream media zote Sasa zitaogopa kumrusha