ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

Kumshauri mh Lissu aseme nini huko ni kutaka kuturudisha kwenye zama za utumwa.

Nini maana ya kuwa chama cha upinzani? Yaani umpangie kiongozi wa chama nini aseme?
Hahaa, kumbe sio Mimi peke yangu nimeona Hili
Sema Tundu Lissu naye itabidi apunguze ukali wa speech zake maana mainstream media zote Sasa zitaogopa kumrusha
 
Yule mama wa kule Njombe anazidi kuididimiza ITV sasa hivi itakuwa kama tbc
Kama mmefikia hapo basi hakika Ni wazi vyombo vya habari vimeminywa kwa kiwango Cha Lami.

Nadhani wengi mmejionea kilichotokea katika mkutano wa ACT katika ukumbi wa diamond jubilee pale ambapo Bw Tundu Lisu alipokuwa anahitimisha hotuba yake..

Jamaa ITV wameamua kutoa sauti na mwisho wa siku wametuachia manyoya.

Hakika kila rangi zitaonekana.

RIP Dr Reginald Mengi!
 
Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.

Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.

Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?

Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi

Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti

Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?

Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu

Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.

Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.

Haya mambo ya ajabu sana
ITV ishakuwa station ya kilofa na kipumbavu
 
Yaani vyombo vya habari siku hizi vimegeuka nyau kwelikweli

Na huu ni ushahidi kuwa Magufuli kaharibu tasnia ya habari nchini, yaani ITV leo nacho kinakuwa chombo chenye Uwoga wa kurusha tukio kama lilivyo?

Aibu sana hii
Waziri wake wa Habari pekee kati ya Mawaziri wote ndo ametupwa nje kwenye kura za maoni na wanachama wa CCM wa Jimbo lake na kabila lake pamoja na PhD yake. Good riddance, liende zake!
 
Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.

Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.

Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?

Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi

Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti

Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?

Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu

Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.

Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.

Haya mambo ya ajabu sana
Sasa kama anazungumza utumbo unataka waendelee kurusha utumbo wake?
 
Kwa hili wamejishushia sana heshma yao katika jamii ni bora hata wasingerusha matangazo haya...hakika hatuna vyombo vya habari aisee
Ni vizuri chadema mkawa na chombo chenu cha habari. Mnalialia mnatia huruma. Poleni
 
Waziri wake wa Habari pekee kati ya Mawaziri wote ndo ametupwa nje kwenye kura za maoni na wanachama wa CCM wa Jimbo lake na kabila lake pamoja na PhD yake.
Yule mzee nadhani karma itamuandama hadi vumbini..

Hovyo sana na amekipata alichokipa!
Ndagha Kyela!
 
Ni vizuri chadema mkawa na chombo chenu cha habari. Mnalialia mnatia huruma. Poleni
Mnapendwa na wanyonge wa nchi nzima lkn mnakimbilia kuzima speech za watu hahah,kipenzi cha wanyonge bana ni shiida.
 
Back
Top Bottom