ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

Magufuli anapowaita watu weupe mabeberu unamchukuliaje?
Hata sijui symmetry ya nilichoandika na unachojibu.

Kama nawaona huko majimboni wakati wanatafuta kura kila tatizo huko washaambiwa tatizo ni Magufuli na mfumo, mengine baadae. Sasa sijui lina msaidia vipi mwanakijiji ambae anataka kusikia hadithi za soko la mazao yake, maji, umeme; Lissu anadai hayo hayana haraka tatizo kubwa ni Magufuli.
 
Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.

Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani. ITV wakamzimia sauti.

Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey Polepole naye alikuwa Live?

Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi.

Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti.

Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?

Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu

Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.

Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takriban dakika kumi na tano nzima.

Haya mambo ya ajabu sana
Anzisha chadema fm ufungulie sauti yake hadi mwisho
 
Hata wao ITV hawapendi… mbona 2005-2015 walikuwa wapo live sana

Chanzo ni mabadiliko ya hali ya hewa
Uko sahihi kabisa! nyakati ngumu sana hizi kwa wanahabari.
 
Hahaa, kumbe sio Mimi peke yangu nimeona Hili
Sema Tundu Lissu naye itabidi apunguze ukali wa speech zake maana mainstream media zote Sasa zitaogopa kumrusha
Tutarushiana wenyewe kwa wenyewe kwenye michina yetu,kwa mwendo huu imeongeza chachu kwa watu kutaka kujua Lisu kaongea nini,watu wanakiu sana ya kumsikiliza si wazee wala vijana,yaani wenye sim za tochi wako radhi waweke bundle kwenye sim ya mtu ili wapate kumsikia tu
 
Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.

Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani. ITV wakamzimia sauti.

Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey Polepole naye alikuwa Live?

Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi.

Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti.

Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?

Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu

Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.

Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takriban dakika kumi na tano nzima.

Haya mambo ya ajabu sana
1. Kuna hofu ya ndani, kwamba matamshi ya Lissu yananuka kesi? Hizi media zinaogopa sana kesi!
2. Kuna hofu ya watawala, vyombo vya habari karibu vyote vinaishi maisha magumu sana kwa kuwa hazipati matangazo ya serikali. Serikali ndio watangazaji wakubwa. Ukijifanya kusimamia taaluma unakufa njaa, ndio maana unaona magazeti kama Tanzanite yanalamba kurasa za matangazo ya serikali licha ya ukweli kwamba hayasomwi na wananchi wanayapuuza! Siku moja serikali itaulizwa kwanini ilikuwa inapeleka hela kwa magazeti yasiyosomwa?

ITV yenyewe imeishajiishia, sijui rating yake kwa sasa iko ngapi lakini Huu ni wakati mwafaka wa kuishusha kabia kwa kutangaza uasi dhidi yake! Isusiwe tu!
 
Achana na hivyo vyombo vya habari vya Tanzania ndugu. Wanadhani Magu anashinda uchaguZi wa mwaka huu. Wasichojua ni kwamba Tanzania inaenda kushangaza ulimwengu mwaka huu. Fundi Antipas Lissu anaenda kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka huu na wote waliomdhiaki wataenda kumwomba msamaha
Hahaha...unanifanya nipaliwe.....alafu ww....urais wa manzese au
 
Back
Top Bottom