Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutakua tumeisha isikilizaHii post itafutwa mda si mrefu...mtananiambia..
Waende tu hamna mwenye shida nao, hivyo vituo vyote vimekuwa vibaraka vya ccm kisa eti vinaogopa kunyang'anywa leseni au kupigwa fine.Hahaa, kumbe sio Mimi peke yangu nimeona Hili
Sema Tundu Lissu naye itabidi apunguze ukali wa speech zake maana mainstream media zote Sasa zitaogopa kumrusha
Kwa kuri za wizi..Hakuna wakupambana na Na Raisi magufuli atashinda mapema sana
Hahaa, kumbe sio Mimi peke yangu nimeona Hili
Sema Tundu Lissu naye itabidi apunguze ukali wa speech zake maana mainstream media zote Sasa zitaogopa kumrusha
ITV point wanazijulia wapi.Lissu mwenyewe hana point ndiyo maana ITV wamekata sauti
Kwan kama anakosea sheria si zipo?Hahaa, kumbe sio Mimi peke yangu nimeona Hili
Sema Tundu Lissu naye itabidi apunguze ukali wa speech zake maana mainstream media zote Sasa zitaogopa kumrusha
Hivi huwa unausikia utumbo wa mzee baba, kuna siku ameshaongea point yule.Sasa kama anazungumza utumbo unataka waendelee kurusha utumbo wake?
Huo ndio ujima ambao hatuutakiYeye ana dola mkuu
Ila yule wa kwenu ruksa kuongea utopolo na kutukana watuNi kwamba hatuhitaji kumsikia, anapayuka sana. Mwambieni atulie Kama kweli anataka kuikomboa nchi hii..aongee mambo ya maana sio magomvi kila kukicha