Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Hata sijui symmetry ya nilichoandika na unachojibu.Magufuli anapowaita watu weupe mabeberu unamchukuliaje?
Kuna vyombo vya habari chungu mzima online unaweza sikiliza speech yote. Nenda ABC habari YouTube ipo yote.
I T V T B C
HAO WOTE WANAMUOGOPA
M W E N Y E N Y U M B A....!!!!!!
Anzisha chadema fm ufungulie sauti yake hadi mwishoNimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.
Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani. ITV wakamzimia sauti.
Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey Polepole naye alikuwa Live?
Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi.
Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti.
Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?
Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu
Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.
Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takriban dakika kumi na tano nzima.
Haya mambo ya ajabu sana
Uko sahihi kabisa! nyakati ngumu sana hizi kwa wanahabari.Hata wao ITV hawapendi… mbona 2005-2015 walikuwa wapo live sana
Chanzo ni mabadiliko ya hali ya hewa
Wamwache aropoke ili Kama kuna JINAI ijulikane na ushahidi uwe bayana.Sasa kama mtu anaongea Pumba wafanyeje
Kuropoka
Sasa kama mtu anaongea Pumba wafanyeje
Kuropoka
TCRA Ni ya Nani?Raha ya maisha miliki chako usitegemee cha jirani. Kwani shiin ngapi.
Natumia arial
Nasisitiza tena ni BLAND.
Uzuri wagombea hawa watazunguka nchi nzima wilayani na vijijini wengi watafikiwaBado huko Sheria yao ya kipuuzi wameichomeka kuzibana online tv
Huelewi jamaa alichomaanisha.Sema hujui Kiswahili. Usijidai unasisitiza wakati umechapia
Tutarushiana wenyewe kwa wenyewe kwenye michina yetu,kwa mwendo huu imeongeza chachu kwa watu kutaka kujua Lisu kaongea nini,watu wanakiu sana ya kumsikiliza si wazee wala vijana,yaani wenye sim za tochi wako radhi waweke bundle kwenye sim ya mtu ili wapate kumsikia tuHahaa, kumbe sio Mimi peke yangu nimeona Hili
Sema Tundu Lissu naye itabidi apunguze ukali wa speech zake maana mainstream media zote Sasa zitaogopa kumrusha
1. Kuna hofu ya ndani, kwamba matamshi ya Lissu yananuka kesi? Hizi media zinaogopa sana kesi!Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.
Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani. ITV wakamzimia sauti.
Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey Polepole naye alikuwa Live?
Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi.
Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti.
Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?
Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu
Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.
Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takriban dakika kumi na tano nzima.
Haya mambo ya ajabu sana
Ukipona bawasiri rudi tena hapa jamvini.Sema hujui Kiswahili. Usijidai unasisitiza wakati umechapia
Pale Kawe mkuu.Alitia nia kugombea Jimbo gani?
Hahaha...unanifanya nipaliwe.....alafu ww....urais wa manzese auAchana na hivyo vyombo vya habari vya Tanzania ndugu. Wanadhani Magu anashinda uchaguZi wa mwaka huu. Wasichojua ni kwamba Tanzania inaenda kushangaza ulimwengu mwaka huu. Fundi Antipas Lissu anaenda kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka huu na wote waliomdhiaki wataenda kumwomba msamaha
Haha wewe ndo umepigilia msumari wa inchi sita kabisaITV ni TBC iliyochangamka.
Jpm anaongea pumba daily kama kule somanga mbona huwa hawakati?Sasa kama mtu anaongea Pumba wafanyeje
Kuropoka