Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Alitaka achukue zote... Kachemka

Watoto wakubwa wanashea 25%

Mengi na mke wa kwanza walikuwa na shea 75% ... Kwahiyo watoto wakubwa tayari wanashea 37.5 za mama yao.

Shea 37.5 za Mengi ndizo Jackie na watoto wake wanatakiwa wagawane na watoto wakubwa wa Mengi.... Maana nao wana haki kwa baba yao.

Kwa kifupi Jakie hana cha kuambulia kwenye shea 62.5 za watoto wakubwa wa Mengi.
Kukosa elimu ni tatizo kubwa sana.Owa mwenye elimu alipaswa alione hili mapema kuwa wale wakubwa ndiyo majority shareholders na ndiyo watakuwa na maamuzi,hata angepata hiyo shares zote za Mzee Mengi kama alivyotaka,angewezaje kuwa na sauti kwa hayo Makampuni huku akiwa ni Minority? Elimu,elimu,elimu.Wazazi tusomeshe watoto wetu wa kike wasije kuwa vituko mbele ya safari
 
Mirathi sio sheria ya serikali tu.
Ipo kwenye dini,ipo kwenye Mila.
Wewe una mke wako unampenda umekufa umeacha Mali na umemuachia na watoto.
Ungependa kuona huyo mwanamke wako asirithi Mali zako?tena utamu wake unaujua wewe marehemu?
Haya mambo ya mirathi ni mazito.
Sasa hapa kama sio sheria basi busara itumike kwa pande zote. Najua klyn hawezi kutoka patupu ila ugomvi wao ni ule wosia waachane nao waongee kidugu

Wanavyoendelea kujazana hasira baadae itashindikana hata kuyamaliza kindugu
 
Ingekuwa wewe ungekubali.
Ndugu zako wapewe chao mapema?hata Kama umechelewa kuja duniani?
Kweli wewe huna ulijualo,ngoja tukusaidie kufafanua.Ni hivi hilo swala la WATOTO KUWA NA HAKI SAWA lipo hivi,watakuwa na haki sawa tu kwa ile share ya Baba yao basi.Hata kabla Mengi na mkewe mkubwa hawajafariki tayari hao watoto wakubwa walikuwa wana miliki shares 25%.Ile 75% iliyobaki ilimilikiwa na Wazazi wao kwa maana ya nusu kwa nusu.Hawa wakubwa Mama yao alipofariki wakarithi shares za Mama yao pia.Mpaka hapo unaona nani ana majority shares? Ndiyo maana Jack alikuwa anataka hizi za Mengi apewe yeye peke yake na wanae ndiyo maana kwa Millard Ayo alisema wale wakubwa walisharithi kwa Mama yao kitu ambacho hakiwezekani,hapa sasa point yako inakuja Watoto wote wana haki sawa ya kurithi kwa Baba yao.Kwa maana hiyo hawa Wakubwa watachukua na sehemu ya shares za Baba yao,wakichangaya na zile zao kutoka kwa Mama yao na zao nani anakuwa more powerful?

Ndugu yako Jack alijichanganya tu,alipaswa kuwa na mali zake binafsi wakati Mzee yupo hai,ili watoto wake wanachopata kutoka kwa Baba yao angewaongezea na kile alichonacho yeye Mama yao.Sasa hawa wadogo wanapata kwa Baba tu peke yao wakati wale wakubwa wanapata Kote kwa Mama na Baba yao.Mshauri Jack apambane awatafutie pia wanae ili waje kurithi na kwa Mama yao kama wale wakubwa walivyo rithi kwa Mama na Baba.Tumeelewana?
 
Nimekuuliza ingekuwa wewe ungekubali ndugu zako wapewe chao mapema?hata Kama umechelewa kuja duniani?
Wewe mbona unajichanganya? Tangu mwanzo hakuna anaekataa Jack kupewa haki yake kama Mjane na aliyeishi na Mumewe kwa miaka 8 tu.Atapata kile alichochuma na Mengi kwa kipindi hicho,bahati mbaya sana Makampuni ya IPP yote ikiwemo Bonite huko hapati ndiyo maana alikuwa anahaha kutaka ule wosia upite,maana she knows anachokwenda kukipata ni kidogo nnje ya Wosia wake.
 
Umejuaje hawana watoto
Acha mwanasheria wake aendelee kumlia pesa. Ikute atamwambia akate rufaa tena. Labda wataenda kuvutana hivyo hivyo mpaka wamoja wao wafe.Kwanza Jack mjinga angekubali tu kugawiwa urithi kisheria bila hilo will.Kwanza wanae ndo future wamiliki wa IPP ukizingatia Regina na mdogo wake hawana watoto.
 
watoto wa mengi wamechangia Nini kwenye Mali za baba yao?
We nae kama zuzu vile, ngoja nikueleweshe kama mtoto wa miaka mi3, Mengi, Mercy, Abdiel & Regina walikua wanamiliki kampuni ya familia kwa pamoja kila mtu na shares zake ila Mercy na Mengi ni mke na mume, na wao kwa sababu ya ndoa na kwa sababu wao ndio waanzilishi basi lazima shares zao ziwe kubwa, hivyo wao wakachukua 75%, then Abdiel akawa anamiliki 12.5 na Regina 12.5, na hii ni kwa sababu ya mchango wao katika kuanzisha na kuendeleza kampuni hio, ila sababu ni familia, wakaziunganisha zote pamoja kama familia moja na maisha yakaendelea (wanaojua mambo ya mgawanyo wa hisa za makampuni zinavokua waneelewa).

Baada ya kutoelewana kati ya wanandoa wawili(Mengi na Mercy), ikabidi watengane na kuamua kugawanya shares zao, yani kila mtu amiliki kivyake, isiwe tena ya pamoja ambayo ilikua ni 75% for two, sasa wakati wa kutengana, sababu kampuni ina 100% shares za umiliki wa pamoja , ikabidi kwanza kabla ya kugawanywa, kila alie na hisa zake arejeshewe hisa zake ili zibaki za hawa wawili kisha wagawane.

Hivyo Abdiel na Regina wakaondoa shares zao kwanza ambazo Abdiel 12.5 na Regina 12.5 na ukiziunganisha ni 25% walizokua wanamiliki, sio urith ni mali yao binafsi (kama wewe unaponunua nguo zako hapo nyumbani kwenu, siku mzee wako na mama wakiachana, wakati wa ugawaji nguo, za kwako utaziondoa sababu haziwahusu), na ndipo hapo inabaki 75%, ambayo wagawane sasa hao walogombana waachane kwa amani kila mtu abebe chake.

Hivyo wakagawiwa kisheria, sio maamuzi binafsi, mahakama na wanasheria walihusika, hivyo wakagawana hiyo 75% ambayo kila mmoja alipata 37.5%, hivyo Mengi alipata 37.5% na Mercy 37.5%.

Baada ya hapo sasa, Mercy ambae ni mama wa wale watoto walioondoa share zao, akaamua kuwarithisha share zake zote watoto wake wawili, kumbuka kampuni inaendelea, huo ni ugawanywaji tu wa shares ama kwa kiswahili tuite kugawiana uhalali wa umiliki wa kampuni kisheria, hivyo watoto wakaziunganisha shares za mama yao 35.5% na za kwao 25%, zikawa 65%, hivyo watoto ndio wakawa wamiliki number moja wa makampuni wakiwa na share kubwa kuliko baba yao.

Uhusiano kifamilia ukaendelea, na mzee alipoona hawezi tena, akawaachia watoto wake wamuendeshee kampuni na kulinda shares zake, hivyo wao wakaingia mazima kwenye kuendesha shughuli za kampuni hadi baba yao alipopatwa na umauti.

Hivyo kisheria ni haki yao kama watoto kurithi pia 37.5% ya mali za baba yao, ambapo kila mmoja angepata 18.75%. Lakini ikatokea kwamba baba yao alikua na watoto wengine wawili ambao alipata akiwa na mama mwingine, hivyo mgao wa hiyo 37.5% ya baba, itagawiwa kwa watu wa 5, ambao ni watoto wa mke mkubwa walietengana wawili, watoto wawili wa mke mdogo na mke mdogo wa marehemu. Hivyo kila mmoja atapata 7.5%, (inaweza isiwe sawa sababu mke mdogo anaweza akaambulia maybe 3-5% sababu ya muda alioishi na huyo bwana, ila watoto watagawiwa sawia wote wanne na mke mdogo atapewa % zake japo ni ndogo tu.

Sasa cha ajabu kikaja kwenye ule wosia, ambao bila sababu za msingi (tuassume ni kweli marehemu aliuandika yeye), matehemu akaacha kugawa hizi mali zake kwa watoto wake wawili, tena ambao kwa facts kabisa ni wao walioshiriki kikamilifu hadi baba yao kupata mali zote, ni wao wamekua bega kwa bega na baba yao, ni wao wamekua na baba yao for years, ni wao wanajua siri zote za baba yao, alafu anammilikisha mali zote mke mdogo, ambae mahusiano yao yamekubwa na utata mpaka kifo chake, then amerithishwa kiiiiiiiiiiila kitu, tena akipata shida basi arithi ndugu wa mke mdogo.

Kisheria, kama marehemu aliwaondoa watu halali katika urithi wake, ni lazima aandike sababu ya kueleweka kwa nini watu hao hawarithishi chochote, la sivyo wosia unakua batili, na mahakama itautupilia mbali, na kugawa kwa taratibu za kisheria za mirathi za nchi husika.

Nadhani umeelewa. Kinachomuumiza jacky ni kua atapata % ndogo tu, tena atalua kama mtu baki kwenye makampuni ya mzee, na watoto wake pia watakua na shares kidogo sana, tofauti na wale wengine, ila ni haki yao. Angefaa tangu mwanzo akae na familia waamue mambo kifamilia, wala wasingemtupa, pengine angejishusha hata wangeweza kuwapa wadogo zao % zote za baba yao, ama wakaziunganisha pamoja kama watoto, wakaendelea kula maisha, ndio hivyo mtaka vyote kwa pupa, hukosa vyote kwa mkupuo.
 
Story ya [mention]Asprin [/mention] watu hamjaelewa ni hivi mengi alikua na umiliki wa 100% ya mali yake kabla, , Mengi alipoachana na mke wake Mercy mgao ukawa hivi 25% zilienda kwa watoto wawili abdiel na rejina, kwahiyo mengi na mercy wakabaki na asilimia 75% ina maana Mengi akabaki na 37.5% na Mercy akabaki na 37.5% , Mercy mtalaka wa Mengi mama yao rejina akafa inamaana shares zake zikahamishiwa kwa watoto wake wawili abdiel na rejina wakawa jumla wana 62.5% ya mali yote kwahiyo majority share ni watoto wakubwa wawili, kwahiyo Mengi baada ya kufariki tunachukua ile 37.5% ya mzee Mengi tunaigawa mara 2 yaani 18.75% atapata jack na wanae na abdiel na rejina watapata 18.75% , kwahiyo asilimia 81.25% ni mali halali ya abdiel na rejina halafu ile 18.75 ndio jack na watoto wake wagawane hapo tunakamilisha 100% ya mali yote, kwahiyo alichofanya jack alitaka yeye apate shares nyingi kwa ujanja yaani apate 75% ya mali halafu rejina na abdiel wabaki na 25 % zao yeye bila kujua wachaga sio wajinga na hata hiyo 18.75 % lazima ataenda tena mahakamani kudai katengwa hapati chochote mtasikia tu atalambishwa hewa hadi achanganyikiwe mtaona.
 
Mkumbuke mzee mengi baada ya kustaafu ukurugenzi utendaji wa makampuni ya IPP na kubakia kama mwenyekiti wa makampuni hayo rejina na abdiel waliingia kama watendaji kwenye makampuni na biashara za familia hivo wanajua kila kitu na hiyo hufanyika na matajiri wengi wakubwa kama alivofanya Bakhresa yeye kwa sasa ni mwenyekiti watendaji ni vijana wake akina yusufu na wengine , au kama alivofanya marehemu Mzee ASAS akabaki mwenyekiti lakini watendaji wakabakia wanae akina Salim na faraja na ndugu zake kwahiyo watoto wakubwa wapo pale wanaelewa whatsgoing on
 
Mimi nimeelewa
Swali langu kwanini waligawiwa mapema wakati wazazi wao hawajafa?
Au nyie wenzangu 25% mnaona ndogo.?
Wamechangia Nini kwenye Mali za wazazi wao?mpaka wapewe hizo 25%.?
Haya Sasa mzee kaoa na watoto kazaa.unawatoa vipi kwenye hizo 25%?
yaani watoto wakubwa wachukue 63%.
Zibaki 37 bado hapo hapo wanataka wapate.
Hamuoni Kama mnawadhulumu hawa wengine?
Story ya [mention]Asprin [/mention] watu hamjaelewa ni hivi mengi alikua na umiliki wa 100% ya mali yake kabla, , Mengi alipoachana na mke wake Mercy mgao ukawa hivi 25% zilienda kwa watoto wawili abdiel na rejina, kwahiyo mengi na mercy wakabaki na asilimia 75% ina maana Mengi akabaki na 37.5% na Mercy akabaki na 37.5% , Mercy mtalaka wa Mengi mama yao rejina akafa inamaana shares zake zikahamishiwa kwa watoto wake wawili abdiel na rejina wakawa jumla wana 62.5% ya mali yote kwahiyo majority share ni watoto wakubwa wawili, kwahiyo Mengi baada ya kufariki tunachukua ile 37.5% ya mzee Mengi tunaigawa mara 2 yaani 18.75% atapata jack na wanae na abdiel na rejina watapata 18.75% , kwahiyo asilimia 81.25% ni mali halali ya abdiel na rejina halafu ile 18.75 ndio jack na watoto wake wagawane hapo tunakamilisha 100% ya mali yote, kwahiyo alichofanya jack alitaka yeye apate shares nyingi kwa ujanja yaani apate 75% ya mali halafu rejina na abdiel wabaki na 25 % zao yeye bila kujua wachaga sio wajinga na hata hiyo 18.75 % lazima ataenda tena mahakamani kudai katengwa hapati chochote mtasikia tu atalambishwa hewa hadi achanganyikiwe mtaona.
 
Sawa sikatai lakini mbona alifunguliwa miradi ameiua ,au anataka awe CEO wa IPP na associates wake?
Ameachiwa Mali binafsi kma ule mjumba wa Moshi na zingine Bado tu anataka nyonya damu watoto wa Marehemu hivi Hawa akina abdiel Sio washirikina eeehhh!!!angekutana ma wachawi wa Kanda za Ziwa huko wangemtanguliza mbona na yeye mavumbini
Yaani anakomaa na Mali azozikuta hata km mke halali ila Hana uhalali wa Mali za Mengi....!!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sidhan kama nyumba ya Moshi alipewa
 
Mimi nimeelewa
Swali langu kwanini waligawiwa mapema wakati wazazi wao hawajafa?
Au nyie wenzangu 25% mnaona ndogo.?
Wamechangia Nini kwenye Mali za wazazi wao?mpaka wapewe hizo 25%.?
Haya Sasa mzee kaoa na watoto kazaa.unawatoa vipi kwenye hizo 25%?
yaani watoto wakubwa wachukue 63%.
Zibaki 37 bado hapo hapo wanataka wapate.
Hamuoni Kama mnawadhulumu hawa wengine?
Tumia huu ushauri kwa jack ili ashinde kesi, kwa kukusaidia jack ametumia hii point na haijamsaidia mahakamani yaan ameshindwa
 
Jackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.

Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
Hivi kwa nini wasimtangulize tu?. Anakufa kifo cha kawaida tu kama mafua hivi.
Inatia hasira sana. Mtu amekuja tu katikati from no where. Tena alifanya mipango tu kisanii ya kuwa na mzee. Pili inaaminika moja kwa moja yeye ndie aliemtanguliza mzee.
 
Mimi nimeelewa
Swali langu kwanini waligawiwa mapema wakati wazazi wao hawajafa?
Au nyie wenzangu 25% mnaona ndogo.?
Wamechangia Nini kwenye Mali za wazazi wao?mpaka wapewe hizo 25%.?
Haya Sasa mzee kaoa na watoto kazaa.unawatoa vipi kwenye hizo 25%?
yaani watoto wakubwa wachukue 63%.
Zibaki 37 bado hapo hapo wanataka wapate.
Hamuoni Kama mnawadhulumu hawa wengine?

Simple, tena wazo la watoto kupata 25% lilitoka kwa mzee Mengi kwa sababu watoto hao walikua kwenye uendeshaji wa makampuni hayo kitambo, hivo ili waendelee kushiriki ujenzi wa makampuni wakapata na mgao wao kabisa kwani kosa lilikua wapi hapo?
 
We nae kama zuzu vile, ngoja nikueleweshe kama mtoto wa miaka mi3, Mengi, Mercy, Abdiel & Regina walikua wanamiliki kampuni ya familia kwa pamoja kila mtu na shares zake ila Mercy na Mengi ni mke na mume, na wao kwa sababu ya ndoa na kwa sababu wao ndio waanzilishi basi lazima shares zao ziwe kubwa, hivyo wao wakachukua 75%, then Abdiel akawa anamiliki 12.5 na Regina 12.5, na hii ni kwa sababu ya mchango wao katika kuanzisha na kuendeleza kampuni hio, ila sababu ni familia, wakaziunganisha zote pamoja kama familia moja na maisha yakaendelea (wanaojua mambo ya mgawanyo wa hisa za makampuni zinavokua waneelewa).

Baada ya kutoelewana kati ya wanandoa wawili(Mengi na Mercy), ikabidi watengane na kuamua kugawanya shares zao, yani kila mtu amiliki kivyake, isiwe tena ya pamoja ambayo ilikua ni 75% for two, sasa wakati wa kutengana, sababu kampuni ina 100% shares za umiliki wa pamoja , ikabidi kwanza kabla ya kugawanywa, kila alie na hisa zake arejeshewe hisa zake ili zibaki za hawa wawili kisha wagawane.

Hivyo Abdiel na Regina wakaondoa shares zao kwanza ambazo Abdiel 12.5 na Regina 12.5 na ukiziunganisha ni 25% walizokua wanamiliki, sio urith ni mali yao binafsi (kama wewe unaponunua nguo zako hapo nyumbani kwenu, siku mzee wako na mama wakiachana, wakati wa ugawaji nguo, za kwako utaziondoa sababu haziwahusu), na ndipo hapo inabaki 75%, ambayo wagawane sasa hao walogombana waachane kwa amani kila mtu abebe chake.

Hivyo wakagawiwa kisheria, sio maamuzi binafsi, mahakama na wanasheria walihusika, hivyo wakagawana hiyo 75% ambayo kila mmoja alipata 37.5%, hivyo Mengi alipata 37.5% na Mercy 37.5%.

Baada ya hapo sasa, Mercy ambae ni mama wa wale watoto walioondoa share zao, akaamua kuwarithisha share zake zote watoto wake wawili, kumbuka kampuni inaendelea, huo ni ugawanywaji tu wa shares ama kwa kiswahili tuite kugawiana uhalali wa umiliki wa kampuni kisheria, hivyo watoto wakaziunganisha shares za mama yao 35.5% na za kwao 25%, zikawa 65%, hivyo watoto ndio wakawa wamiliki number moja wa makampuni wakiwa na share kubwa kuliko baba yao.

Uhusiano kifamilia ukaendelea, na mzee alipoona hawezi tena, akawaachia watoto wake wamuendeshee kampuni na kulinda shares zake, hivyo wao wakaingia mazima kwenye kuendesha shughuli za kampuni hadi baba yao alipopatwa na umauti.

Hivyo kisheria ni haki yao kama watoto kurithi pia 37.5% ya mali za baba yao, ambapo kila mmoja angepata 18.75%. Lakini ikatokea kwamba baba yao alikua na watoto wengine wawili ambao alipata akiwa na mama mwingine, hivyo mgao wa hiyo 37.5% ya baba, itagawiwa kwa watu wa 5, ambao ni watoto wa mke mkubwa walietengana wawili, watoto wawili wa mke mdogo na mke mdogo wa marehemu. Hivyo kila mmoja atapata 7.5%, (inaweza isiwe sawa sababu mke mdogo anaweza akaambulia maybe 3-5% sababu ya muda alioishi na huyo bwana, ila watoto watagawiwa sawia wote wanne na mke mdogo atapewa % zake japo ni ndogo tu.

Sasa cha ajabu kikaja kwenye ule wosia, ambao bila sababu za msingi (tuassume ni kweli marehemu aliuandika yeye), matehemu akaacha kugawa hizi mali zake kwa watoto wake wawili, tena ambao kwa facts kabisa ni wao walioshiriki kikamilifu hadi baba yao kupata mali zote, ni wao wamekua bega kwa bega na baba yao, ni wao wamekua na baba yao for years, ni wao wanajua siri zote za baba yao, alafu anammilikisha mali zote mke mdogo, ambae mahusiano yao yamekubwa na utata mpaka kifo chake, then amerithishwa kiiiiiiiiiiila kitu, tena akipata shida basi arithi ndugu wa mke mdogo.

Kisheria, kama marehemu aliwaondoa watu halali katika urithi wake, ni lazima aandike sababu ya kueleweka kwa nini watu hao hawarithishi chochote, la sivyo wosia unakua batili, na mahakama itautupilia mbali, na kugawa kwa taratibu za kisheria za mirathi za nchi husika.

Nadhani umeelewa. Kinachomuumiza jacky ni kua atapata % ndogo tu, tena atalua kama mtu baki kwenye makampuni ya mzee, na watoto wake pia watakua na shares kidogo sana, tofauti na wale wengine, ila ni haki yao. Angefaa tangu mwanzo akae na familia waamue mambo kifamilia, wala wasingemtupa, pengine angejishusha hata wangeweza kuwapa wadogo zao % zote za baba yao, ama wakaziunganisha pamoja kama watoto, wakaendelea kula maisha, ndio hivyo mtaka vyote kwa pupa, hukosa vyote kwa mkupuo.
Umeandika vizuri sana, asiyeelewa anaendeshwa na ushabiki tu
 
kushindwa sio sababu kuwa Hana haki maana aliyetoa hukumu ni binadamu Kama wewe.
Tumia huu ushauri kwa jack ili ashinde kesi, kwa kukusaidia jack ametumia hii point na haijamsaidia mahakamani yaan ameshindwa
 
Sasa mbona mzee kagawa 37 zake zote kwa mapacha wake mnapinga?
Simple, tena wazo la watoto kupata 25% lilitoka kwa mzee Mengi kwa sababu watoto hao walikua kwenye uendeshaji wa makampuni hayo kitambo, hivo ili waendelee kushiriki ujenzi wa makampuni wakapata na mgao wao kabisa kwani kosa lilikua wapi hapo?
 
Back
Top Bottom