Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Naomba nikujibu wewe wa mwisho.
Mtego wa kuwapa watoto ulikuwa ni kitanzi kwa mengi bila yeye kujua.
Walipoamua kuachana.
Mercy mengi akawa mjanja na kuwaza atamzidi vipi mengi Mali katika kugawana?ndipo akaja na wazo kuwa wawape watoto 25 %wao wabaki na 75.na Kama unavyojua watoto uegemea kwa mama.
Mama akapiga hesabu yeye akichukua 37.5.na watoto wake wakichukua 25 atakuwa na 63%.
Bado hajamzidi mengi?
Kwa hyo mengi kapigwa bila kujua.
Na uenda alikuja kujua mwishoni ndo maana akaja kuandika wosia wa BUKU BUKU inakuwa tayari ameshachelewa.mali zinarudi upande wa mwanamke.
HAO NDO WANAWAKE WA KICHAGA AKILI KUBWA
MKUU KAMA WALIPEWA NA USHAHIDI UPO HIZO NI ZA KWAO TAYARI HAPO HAKUNA KIPINGAMIZI.
MFANO KAMA KAMA BABA NA MAMA WALIJENGA NYUMBA 3 NA WAKAPATA MTOTO 1, WALIPOACHANA WAZAZI WAKAGAWANA NYUMBA MOJA MOJA , NA YA MWISHO WAKAMPA MTOTO WAO 1.
LAKINI BABA AKAOA MWANAMKE MWINGINE NA KUCHUMA MALI FLANI. LAKINI
BABA AKAFALIKI ,
SASA UNATAKA KUNIAMBIA MKE WA PILI WA HUYO BABA ANAWEZA AKADAI NYUMBA YA HUYO MTOTO WALIOPEWA NA MAMA NA BABA YAKE BAADA YA KUACHANA?
 
Kumbuka aliishi na yule mbjlgaria akamkimbia(tena hapa wana kisa chao mpk interpol ilingilia kati kuwa save)..akampata kinje
Huyu ni mtu wa kutangatanga tu
Alipompata mengi hapo sasa alitakiwa kutulia,ajijengee aache machepele

Ova
Hawezi kutulia na sio mfanyabiashara wa chochote

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Au wale vijana waliokuwa wanapiga picha mjengoni Kinondoni wamekula pozi kabisa utadhani na wao ni The Mengi's kumbe Waha wa Manyovu [emoji3]
[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waha wa Manyovuuuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Jack anafikiri watu wa leo wajinga sana, mali hajachuma hata kiduchu na Mzee Mengi, leo anataka apewe mali za bure bure, huo ni wizi wa kileo hasa kwa hawa wanawake vijana kufuata wanaume wazee wenye mali ili wakifa apewe mali, safii sana mahakama ya rufaa kwa uamuzi sahihi kabisa.
Jamani wazee wanawafuata wenyewe, hivi mzee akute mzigo umezagaa tu atashindwa kuubeba na kwenda kufaidi? Kijana mwenzio hana pesa lakini kitu chakufanya anacho haina shida tutapambana wote, sasa mzee kapuku wanini kwa mfano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aje na pesa zake .
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umenijibia, wazee wenyewe wanawataka mabinti sasa watu wanataka kuwapangia, wakiwa vifuani huko ndiyo hutoa ahadi zote hizo ha ha ha ha ngoja nimsadie mtu kutizama mpira[emoji3]
Mfalme Daudi alipokuwa Mzee sana alitafutiwa mrembo kati ya warembo wa binti Israel amtunze na kumtia joto Mfalme hadi mauti ilipomchukua Mfalme. Mabinti kuwatunza wazee ni jambo la toka enzi. K Lyn alimtunza Mzee wetu.
 
Nachokiona wewe ni ukoo wa Jacky mliokuwa mnakula Bata kwa Mzee kwa mgongo wa Jack.Poleni sana warundi wa Manyovu,kama hamkujipanga kipindi hicho Mzee akiwa hai yale maisha ndiyo basi tena.Muombeeni tena dada yenu apate danga jingine ambayo ni ngumu sana kwa hapa Bongo baada ya kuonyesha ujinga wake wa tamaa iliyopitiliza.Msalimie Aunt yako na usiache kumtia moyo pia katika kipindi hiki anachopitia.
Hivi unajua wababu wakibongo? Watamtaka tu, umesahau wanao fiaga hotel huku mkewe yupo nyumbani, kuna mwingine alifia kwenye gari na kajukuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamna aibu nyie wanume.
 
Naomba nikujibu wewe wa mwisho.
Mtego wa kuwapa watoto ulikuwa ni kitanzi kwa mengi bila yeye kujua.
Walipoamua kuachana.
Mercy mengi akawa mjanja na kuwaza atamzidi vipi mengi Mali katika kugawana?ndipo akaja na wazo kuwa wawape watoto 25 %wao wabaki na 75.na Kama unavyojua watoto uegemea kwa mama.
Mama akapiga hesabu yeye akichukua 37.5.na watoto wake wakichukua 25 atakuwa na 63%.
Bado hajamzidi mengi?
Kwa hyo mengi kapigwa bila kujua.
Na uenda alikuja kujua mwishoni ndo maana akaja kuandika wosia wa BUKU BUKU inakuwa tayari ameshachelewa.mali zinarudi upande wa mwanamke.
HAO NDO WANAWAKE WA KICHAGA AKILI KUBWA
MKUU KWANI HAO WATOTO NI WA NANI , MAANA HATA SHERIA YA TANZANIA INASEMA MTOTO AKIFIKISHA MIAKA 7 ANAKAA KWA BABA,
KWANI HAO WA TOTO SI WA MENGI KWANI SHIDA IPO WAPI HAPO , HIO SIO SHIDA MKUU.
ILA KUMBUKA MDA GUO JACK ALIKUWA SIJUI WAPO HUKO HATA HAKUWEPO HIVYO HAVIMUUSU MKUU.
NA HAO WAKUMBWA NI WATOTO WA MENGI WALA MENGI HAKUPIGWA TOFAUTI NA WEWE UNAVYODHANI 😃😃😃.
KWANI WAZAZI WAKO WAKIACHANA KABLA YA KUGAWANA MALI WAKAKUBALIANA KUKUPA WEWE 30% NA WAO KUGAWANA 70 KILA MMOJA 35% KWA 35% WEWE UNAWEZA KUSEMA UMEMPIGA BABA YAKO MZAZI AU MAMA YAKE KUSEMA NIMEMPIGA MUME WANGU KWA MALI , KWA WEWE SI MTOTO WAKE AU???????
HAHAHA NADHANI WANIELEWA MKUU.
 
Mzee mengi si alikuwa chovyachovya
Na jacky mzee alichomekewa,mission ilitengenezwa wakutane,walijua lzm mzee ataingia kwenye 18 atamnasa
Na alimnasa....

Ova
Basi alaumiwe mzee simrembo jack
 
Mfalme Daudi alipokuwa Mzee sana alitafutiwa mrembo kati ya warembo wa binti Israel amtunze na kumtia joto Mfalme hadi mauti ilipomchukua Mfalme. Mabinti kuwatunza wazee ni jambo la toka enzi. K Lyn alimtunza Mzee wetu.
Sasa kwanini alaumiwe Jack? Si uliona na mzee Mrema alimpata wakumliwaza siku zake za mwisho. Ujue kuolewa na mzee ni ujasiri mkubwa sana,[emoji23]
 
Naona leo. Toka saa 6 mchana mmedondosha point kama zooooooooteeeeee yaaaani dah aseeeeeeeeee. Haya sasa laleni jamani kesho muamke mapema ili muendeleze huu mjadala

Ukiona meanamke mweupe kichwani niajangaaaaaa sanaaaa
 
MKUU KWANI HAO WATOTO NI WA NANI , MAANA HATA SHERIA YA TANZANIA INASEMA MTOTO AKIFIKISHA MIAKA 7 ANAKAA KWA BABA,
KWANI HAO WA TOTO SI WA MENGI KWANI SHIDA IPO WAPI HAPO , HIO SIO SHIDA MKUU.
ILA KUMBUKA MDA GUO JACK ALIKUWA SIJUI WAPO HUKO HATA HAKUWEPO HIVYO HAVIMUUSU MKUU.
NA HAO WAKUMBWA NI WATOTO WA MENGI WALA MENGI HAKUPIGWA TOFAUTI NA WEWE UNAVYODHANI [emoji2][emoji2][emoji2].
KWANI WAZAZI WAKO WAKIACHANA KABLA YA KUGAWANA MALI WAKAKUBALIANA KUKUPA WEWE 30% NA WAO KUGAWANA 70 KILA MMOJA 35% KWA 35% WEWE UNAWEZA KUSEMA UMEMPIGA BABA YAKO MZAZI AU MAMA YAKE KUSEMA NIMEMPIGA MUME WANGU KWA MALI , KWA WEWE SI MTOTO WAKE AU???????
HAHAHA NADHANI WANIELEWA MKUU.
Mkuu, una shout. Andika kwa normal letters. Samahani lakini
 
Shida ya Jack alijua kwa kuwa watoto wakubwa wa Mengi walirithi hisa zote za mama yao akaona itakuwa rahisi kama wakipunjwa kwenye hizi hisa za baba yao na ndio maana alipohojiwa alionekana akisema "anashangaa maana hisa za mama yao walipata zote na hata hizi ambazo watapata wanae sio kwamba hawa wengine hawana maana hela ni nyingi", yeye anaangalia wingi wa hela wakati wenzake wanaangalia uhali wa wosia na mgao wa haki. Angekubali wakae chini walimalize maama wachaga huwa hawatupi damu zao hata wamama waliolewa kwenye familia zao na sidhani hata kama familia imemkataa.
Jamani mbona ni rahisi tu divorce ya Reginald na Mercy ilikuwa ni talaka ya mume na mkewe haina uhusiano wowote kisheria na watoto wao,sio kwamba ukitalikiana na mkeo mali mtakazo gawana pia zinahusika na watoto,talaka ilikuwa ya watu wawili tu mume na mke na sivinginevyo
 
Jamani mbona ni rahisi tu divorce ya Reginald na Mercy ilikuwa ni talaka ya mume na mkewe haina uhusiano wowote kisheria na watoto wao,sio kwamba ukitalikiana na mkeo mali mtakazo gawana pia zinahusika na watoto,talaka ilikuwa ya watu wawili tu mume na mke na sivinginevyo
Ahsante kwa ufafanuzi na elimu pia ila nilichoandika kilikuwa "as according Jack Mengi" alivyohojiwa, it seems like baada ya kufariki mama yao hisa zake walipewa watoto wake na hata Jack hakuwa na shida na hizo, yeye amekomaa na zile za mumewe ila anatumia hizo hisa za marehemu kuonyesha wale watoto wa mke mkubwa wamepata nyingi na kuna element ya watoto wake wa kufikia kuwa na tamaa
 
hyo mahakama inaendeshwa na binadamu Kama wewe.kwani mara ngapi mahakama zimeshindwa kutoa haki?
Ila Mimi binafsi yangu.
Ninavyojua matajiri wengi wanawafanya watoto wao ni wasimamizi wa Mali zao sio WANA HISA.yaani wao wanaendesha kampuni lakini umiliki unabaki kuwa kwa wazazi.
hii baadhi ya watoto una wapa umiliki alafu wanakuja kutokea watoto wako wengine Kama ilivyo kwa mengi utafanya Nini?
Maana hapo watoto wakubwa wanachukua 63%.zinabaki 37.
Kwenye 37 hizo yupo jack na watoto wake 2.na bado hao wakubwa wanataka katika hizo 37.na hapa ndipo naona ule wosia wa mengi kwamba Kama Kuna mtu anataka katika asilimia zake 37 zilizobaki apewe BUKU.ndivyo nilivyoelewa.ila yote kwa yote tuwaachie familia.
Mimi nimemaliza
Ww nae ushaitwa majina kibao ila upo tuu ni hivii suala la HISA ni tofauti na mambo ya urithi.
Hata sasa ivi hapo ukifanikiwa kuwa na co. yako ukaamua kuwapa HISA wanao hakuna atakae kuuliza.Ila suala la urithi litabaki kua pale pale hata kama ulitoa HISA zote maana kuna vitu kama nguo na vingine ambavyo haviko ndani ya co.vitagawiwa kulingana na mila na desturi zenu.
Ivi inaingia akilini kijana wa kichaga asirithi koti la mzee wake hata kama ni trilionea ?
 
Mimi naomba niulize swali kwa wataalamu najua mtanielewesha.

1. Hivi kama
Mke akifa kabla ya mume na mke ndo aliekua amejenga nyumba kwa tabu peke yake na watoto wake huku mume anahangaika na wanawake wa nje. Haki itambeba zaidi baba si ndio? Na what if mama alishirikiana na watoto kujenga na hati ina majina ya mama na watoto wake wote. Bado itatambulika kama matrimonial property as in Baba atakua na haki na hiyo nyumba kwa 100%?

2. Na kwa situation kama Baba amefariki hakukuwa na will ila nyumba ina majina ya watoto wa ndoa tu, je wale wa nje nao wataweza kuirithi?
Naombeni mwenye ujuzi na hili anisaidie
 
Back
Top Bottom