Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Huyu slay queen Kylin hana tofauti kabisa na yule Doreen wa Mrema! Wote wana tabia zinazo fanana!

Mbaya zaidi wote wameangukia kwa Wachaga, ambao kimsingi siyo watu wepesi kuwanyang'anya mali zao kwa wepesi tu.
 
Mkuu mimi ninavyojua SHERIA ya ndoa ya Tanzania unaruhu mwanandoa kumiriki MALI binafsi bila kushirikiana cha msingi uwe na ushaidi tuu.
Kwa HIO hali kama mama alijenga nyumba kwa pesa yake mwenyewe na USHAHIDI uponkwamba mwanaume hakuchangia hata senti 1, basi hii nyumba na ya mama na watakao Ritchie ni WATOTO wa huyo mama, coz USHAHIDI si upo kua alijenga mama pekeake.
Labda mama afariki bila kuacha USHAHIDI wowote hule. Sawa.
Ila kama aliacha USHAHIDI kabisa kwamba nyumba ni ya mama pekeake watitsi hapo ni WATOTO, WAKE WATOTO wa mwanaume wa nje hawahusiki.
Mume humrithi mke na kama ilivyo kwa mke kurithi kwa mume ndivyo sheria inavyoelekeza
 
[emoji16]
Screenshot_20221209-225323.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Sawa sikatai lakini mbona alifunguliwa miradi ameiua ,au anataka awe CEO wa IPP na associates wake?
Ameachiwa Mali binafsi kma ule mjumba wa Moshi na zingine Bado tu anataka nyonya damu watoto wa Marehemu hivi Hawa akina abdiel Sio washirikina eeehhh!!!angekutana ma wachawi wa Kanda za Ziwa huko wangemtanguliza mbona na yeye mavumbini
Yaani anakomaa na Mali azozikuta hata km mke halali ila Hana uhalali wa Mali za Mengi....!!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jifunze kwa yaliyompata dang mwenzio, acha ubishi.
 
Yupo yupo tu....

Ila huyu jacky kuna watu wamemshika akili....ashukuru hata hicho atakacho
Pewa sasa yeye anataka chote

Ova
Kuna uwezekano akapewa matumizi ya watoto tu
 
Kuna wanawake na majini, Ingawa mi ni mwanamke but I can't do that kwa visivyo halali yangu dada mbona mrembo tu angekomaa tu walau apate hata tumilioni milioni tu jamani na wale watoto.

Au ndo anataka awe first woman billionaire in Tanzania? Daaah

Umeongea kitu point kabisa!
 
Sawa.nielimishe sasa.familia ya mengi inamkwepa vipi jack.na ukimbuke kuwa jack kaolewa na ndoa ya kanisani na hawakuachana na watoto wamezaa na mengi.

Ndoa ya kanisani??? Tutajie kanisa gani hilo!
 
Mke wa bilionea, marehemu Reginald Mengi ameendelea kukumbana na vigingi vya sheria baada ya mahakama ya rufaa kuondoa maombi yake ya kupinga uamuzi uliobatilisha wosia wa mwisho wa marehemu Reginald Mengi.

Mahakama imekubali hoja za upande wa watoto wakubwa wa marehemu na kubaini viapo vilivyoletwa na Jacquline Mengi na wakili wake vina makosa.

May mwaka huu Jaji Yose Mlyambina wa mahakama kuu aliukataa wosia unaodaiwa kuandikwa na Reginald Mengi kwa madai haukufata misingi ya kisheria.

Watoto wakubwa wa Reginald Mengi walipinga wosia huo wakisema baba yao hakuwa kwenye nafasi ya kuandika wosia kwasababu alikuwa anakabiliwa na matatizo makubwa ya kiafya tangu 2016.

Familia ya Dkt. Mengi ipo kwenye mgogoro mkubwa wa kisheria juu ya mirathi ya marehemu ambao ulianza punde baada ya kifo chake huku ndugu zake wakitaka kuteuliwa wasimamizi wa mirathi.

Hukumu iliyopita, jisomee=> HAPA


Hivi nyie mmekazana na ndia za akina Jacqueline, zitawasaidia nini? Za kwenu zipoje?
 
  • Thanks
Reactions: Cyn
Saasa tatizo wale watot wa mengi wote hawajao Wala kuolewaa

Mm naona tu wanufaikaji Ni wale watot


Wale watoto wa Mengi wakubwa baadhi ya ndugu zao upande wa Mengi wanachangia na kuchochea wasioe na kuolewa Kwa sababu waendelee kuwachuma

ndugu upande wa The Late Mr Mengi hawana hela asilimia kubwa wamelelewa kusomeshwa na Mke Mkubwa wa Mr Mengi wakiongozwa na Roy. Wamemaliza shule wamekua watu wazima nendeni mkajitafutie kipato chenu mnataka kuendelea kuolewa ajira, kusaidiwa kama watoto walipiwe kodi , walishwe , wavalishwe na wakiumwa hata kichwa panadol inanunua hiyo familia ya watoto wakubwa. Huku mtaani mtu kama Roy anadai na yeye aliandikwa KWENYE mirathi na Mama yake ambae ni Mrs Mercy Mengi hivyo anafurahia kuona binamu zake wanachelewa kuoa na kuolewa hili waendelee kuwachuma na kuwatala wakifa warithi Mali Kwa mjomba hakuna urithi

Akiingia mke au mume hawatapata hiyo nafasi ya kupewa pewa msaada. Ndugu tunaowalea ni wa kua nao makini sana
 
Back
Top Bottom