Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niinusuru roho yangu mimi, roho yangu mimi eeMaliya baba inanitoa roho,Bora nikae pembeni.
Mpeni mali za mme wakeJambazi la kihaya linapotaka kuwapiga wachaga
Mahakama ya Rufani leo October 13, 2021 imetupilia mbali mapingamizi ya mtoto mkubwa wa Reginald Mengi dhidi ya maombi ya mapitio ya kesi kutoka kwa Jacqueline Ntuyabaliwe.
Awali Abdiel mengi na Benjamin Mengi walimuwekea pingamizi la awali la kisheria Jacqueline wakiiomba mahakama iyatupilie mbali maombi yake bila kuyasikiliza.
Anyways, ngozi nyeusi inabidi tufanyie kazi Succession plan.. Si kwa mafukara wala matajiri, nadra misiba kuisha bila habari. Huko Arusha mali
Naona dada kakomalia mali za mzee aisee.
Kwani huyu mwanamama si ana mali zake tu, mbona kuhangaika na mali za Mengi wakati alimkuta nazo. Na huyu mengi umri wote ule hakua ameandika wosia mpaka dakika za mwisho?
Huyo dada kushoto kwa watoto ni nani ana mguu mtam sana wa kunyonyaMahakama ya Rufani leo October 13, 2021 imetupilia mbali mapingamizi ya mtoto mkubwa wa Reginald Mengi dhidi ya maombi ya mapitio ya kesi kutoka kwa Jacqueline Ntuyabaliwe.
Awali Abdiel mengi na Benjamin Mengi walimuwekea pingamizi la awali la kisheria Jacqueline wakiiomba mahakama iyatupilie mbali maombi yake
Regina Mengi, Mkuu unawaza kunyonya mguu wenzio wanaweza wanasumbuliwa na tapeli wa kinyarwandaHuyo dada kushoto kwa watoto ni nani ana mguu mtam sana wa kunyonya
Dah kuna mtu mwenye namba zake au anapatikana wapi huyu aiseeRegina Mengi
Samson mwenyewe alichemka....ile kitu ni tamu hatari..hata Mwenyezi Mungu alimsamehe akamrudishia nguvu zake dakika za mwisho kabisa ...ili awape somo wafilisti.Ila Mzee naye alikuwa kauzu yaani watoto wapate buku kweli...
Unataka ukawe Wakili , njaa mbayaDah kuna mtu mwenye namba zake au anapatikana wapi huyu aisee
Acha unafki mi nimesema nataka ule mguu wa bia niunyonye mbona unanibadilishia maadaUnataka ukawe Wakili , njaa mbaya
Huyo dada jambazi tuHii case Ina public Interest tunataka kuona nguvu ya mama na Sukuma gang
Hii case imekuja kama series hivi full kuifatilia na kutupa raha
Ningekuwa mimi ni Jaji wale watoto wangetunzwa na IPP kwa uangalizi wa mama yao, ila yeye angepata mgawo wake na awe free maana anaweza kuolewa tu...si bado kijana.Huyu dada ni Jambazi kama majambaz mengine,anataka mali zisizo halali kwake?!looh,udangaji huu jaman unatisha,
Samahani Mkuu , kwani ukiwa umeshiba utatamani kula au kunyonya kitu hiyo pia ni njaaAcha unafki mi nimesema nataka ule mguu wa bia niunyonye mbona unanibadilishia maada
Ningekuwa mimi ni Jaji wale watoto wangetunzwa na IPP kwa uangalizi wa mama yao, ila yeye angepata mgawo wake na awe free maana anaweza kuolewa tu...si bado kijana.
Mali za watu za nini wewe dada, kigoma kwetu unageuzwa fisi..tamaa. mbaya.