Unamaanisha aache pesa aende zake?
hahahahahha dada yako kaachwa uchi,kama hakufata maslahi hapo ya nini kudhalilishana kwenye social media?? si asepe tuu...??? kama anadai ana watoto kaachiwa mbona hataki kukubali the fact kwamba Mengi hakua na watoto wakwake peke yake?? kwamba Mengi alikua na watoto wengine besides wa kwake??
Asante mkuu. Nakushukuru kwa uandishi mzuri. Kwanza, sikuchoka kusoma mpk mwisho.
Pili mwandiko unavutia
Tatu umeconvert video kwenda maandishi, hivyo umeokoa bando nililokopa tigo
Nne. NAKUTUNIKIA TUZO YA AMANI YA NOBEL 2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nitakosea mtanisamehe.
"MZEE MENGI ALIKOSEA KUMUOA HUYO MWANAMKE MBAYA ZAIDI AKATEGESHEWA NA MIMBA"
Alafu copy ikatoka ile ile ya mzee mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinje alishawahi chezeshwa sarakasi na huyu binti akakoma
Regina ni mkubwa kwa K-lyn kabisYani sisi wanaume bana. Mbabu yule kaenda kuoa kadogodogo sawa na mtoto wake Regina, unategemea kweli kutakuwa na heshima hapo? ... tayari familia hii ilishajenga concept kwamba msichana huyu kaja kufuata pesa hapa, si kingine, yani kwamba akose wanaume angalau wa rika lake, aje kuangukia kwa mwanaume mwenye rika moja na babaye?
Sent using Jamii Forums mobile app