Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

Date chini ya Address pembeni ya to whom it may concern, naomba kueleweshwa kidogo, tarehe iliyoandikwa mwaka 2016, sasa report ilirudishwa kwa madaktari ili iandikwe na ADDENDUM??
Hilo linawezekana??

Everyday is Saturday............................... 😎
Inaweza kuwa iliombwa mara mbili 2016 na
Date chini ya Address pembeni ya to whom it may concern, naomba kueleweshwa kidogo, tarehe iliyoandikwa mwaka 2016, sasa report ilirudishwa kwa madaktari ili iandikwe na ADDENDUM??
Hilo linawezekana??

Everyday is Saturday............................... 😎
Inaweza kuwa ripoti ya kwanza iliombwa/kuchukuliwa 2016 na ya pili 2019 na mtoaji kuamua kutobadili ama andika entirely report mpya bali kupiga hiyo nyongeza
 
Shule muhimu sana...hizi form four hizi ni ungese mtupu....ona kichwani huyu demu alivyo empty set...utatoaje private medical report public???[emoji848][emoji848] Is she ok upstairs?[emoji2962][emoji2962]

Bora mtoto wangu asiwe tajiri lakini awe msomi, nimejifunza hapa[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Usishangae Elimu yake tu, shangaa hata washauri wake. Hiyo Barua imeandikwa 2016 ila inaelezea habari za 2019

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya hukumu ya mahakama kubatilisha wosia ulioachwa na Reginald Mengi, mjane wake, Jackline amesikitishwa na hali hiyo ikiwemo sababu zilizopelekea mahakama kutokubali wosia huo.

Jackline ameshangazwa na uwezo wa kuandika na kuzindua kitabu kwa mume wake ingali alikuwa na shida ya kiakili. Pia Jackline ameweka rekodi za afya za mume wake katika jitihada za kuthibitishia walimwengu kwamba mume wake alikuwa timamu wakati anaandika wosia.

Jana Mahakama iliwateua watoto wakubwa wa Reginald Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi na kutengua wosia unaodaiwa uliandikwa na Reginald Mengi kwa kukosa sifa za kisheria.

Pia, Soma=> Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

View attachment 1791810
Huyo dada aache utapeli. Atadhalilika bure.
Hata mjinga tuu anajua kwamba alishinikiza maamuzi ya wosia. Yule mzee tulimuona pale mwishoni mwishoni hali yake ilikuwa mbovu kabisa imejaa kutetemeka tetemeka hivi.
 
Jackline hii kesi hawezi kushinda hata aende court of appeal. R.Mengi hakuwa makini kwenye kuandaa na kuhifadhi wosia wake.

Kama haya ni kweli (hata ukiacha hilo la kuwa na akili timamu):
1. Kujumuisha mali alizochuma pamoja na mtaliki wake katika wosia.
2. Kutohusisha ndugu katika wosia (ndugu hata mmoja tu anatakiwa ajue kuwa umeandika wosia). Hata sasa hivi ukitaka kuandika wosia kupitia RITA, ndugu ni sharti mojawapo.
3. Kuwanyima urithi baadhi ya watoto wake bila kutoa sababu za msingi na zinazokubalika kisheria.
4. Saini yake kwenye wosia kutofautiana na nyaraka nyingine.
5. Wosia wenyewe kuhifadhiwa na mojawapo ya wenye haki ya kurithi.

Hayo matano, kama yapo hivyo kweli, hakuna namna anaweza kushinda hiyo kesi. Atulie tu, ili apate mgao wake pamoja na wenzake. Akiwavuruga atakosa vyote!
Kabisa kabisa mkuu kisheria huyu mdada kakosea vingi sana.
Sijui kwasababu ya tamaa ama nini kilimsukuma kukubali wosia wa namna hiyo(nadhani alishiriki kuuandaa), kama alitaka mali angejigawia kiasi na nyingine awaachie ndugu wengine.

Hao watoto wake aliowaweka kama kinga hawana cha kusaidia walau hata wangekua wakubwa wangetetea kidogo kama hao wa mke mwenzie.

Angaufanyia marekebisho kidogo tu saivi angekua anapeta tu. Pesa alikua nayo kweli alishindwa hata kuahirikisha wanasheria makini kwenye kuuandaa huo wosia, wizi wa kipuuzi sana aisee tamaa mbele haya ndo matokeo yake.
 
Mimi niulize swali tu... huyu malaya hajui kwamba kichaa kina msimu ama? Hajui hata saa mbovu kuna muda inasema ukweli?
Hajui kuna mwezi mchanga ama? Alijua ili uwe kichaa lazima iwe full time job ama?[emoji23][emoji23][emoji23] ama alijua ukichaa ni full time job kama ilivyo career yake ya mbususu?

Jamani apewe spana kila kona huyu asiachiwee[emoji23][emoji23] nna uchungu mimi maana sijui kesho yangu. Ila tumpe dozi... ama tuzike hapahapa ama tusafirishe.
 
Back
Top Bottom