Jaji Eliezer Mbuki Feleshi anafaa kuwa AG



Mimi NADHANI TATIZO LETU SI TU UADILIFU KAMA WENGI TUNAVYOTAKA KUAMINISHWA.TUNAHITAJI KIONGOZI/VIONGOZI 'COMPETENT NA CREATIVE'SINA HAKIKA KAWA FELESHI ANAO UWEZO WA KUTOSHA MANA HATA AKIWA DPP AMEKUWA AKITILIWA SHAKA NA WADAU KIUWEZO JAPO N MSOMI MWENYE VYETI.
 
Mpeni toto tundu, ANTIPAS TUNDU LISU, hapo nchi itakuwa imepata mtaalamu hao wengine ni wababaishaji tu
 

Kutiliwa shaka na wadau wa jamiiforums wanaookota taarifa magazetini na kwa wanasiasa? Hizo rushwa kubwa zipi ambazo alipelekewa ushahidi akaacha kushtaki? Dr. Slaa aliwahi sema anao ushahidi akaambiwa apeleke akalala mbele, yule kijana wa Kagoda naye vilevile, TAKUKURU walipolalamika akawahoji waseme ni faili gani hajalishughulikia wakakaa kimya, acheni kutuka mtu kwa vitu msivyovijua.
 
Wewe Laki si pesa utaishia pabaya maana unajiongelesha kama vile unatekenywa unawaza kwa kutumia nini? ??,naona unatumia kinyeo ndo maana maandishi yako yana kichefuchefu, shame on you
 

Wewe NAWE USIWE -----,DPP KUTOKUWA CHOMBO CHA UCHUNGUZI HAINA MAANA KWAMBA YEYE HAWEZI KUHOJI CIRCUMSTANCE NA BADALA YAKE AKAE AKIMSUBIRI DCI.ANAO UWEZO WA KUAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE NA ANAO MAAFISA WA KUSHIRIKIANA NA DCI.
 


alafu wewe jamaa ni mtu flani hv wa pahala flani hivi wanapenda sana kujipendekezapendekeza.tuondolee fenes wako hapa.jamaa hawezi hata ku-argue.kuna wakati flani manfred alimwalika kwenye kipimajoto,dah aibu tupu.nilijiuliza huyu mwanasheria au vitu gani, utadhani katoka nyakahako leo?anaweza jibu hoja hata moja bungeni huyo?muhurumie ndugu yako, atakufa kwa presha akikutana na vchwa vya cdm kama lisu.nafuu awe hata jaji mkuu kuliko ag.hyo nafasi lazima ate na sifa za mwanasiasa,aweze ku_argue.
 

Usione nimekaa kimya ukadhani unayoandika yana maana, nimeamua kukupuuza, we hapa sasa ndo unaona unaweza kuargue yeye hawezi? kwanza unatukana na kuleta midhaha kwenye issue ambayo ni sensitive hii pekee ni sababu tosha ya mtu kupuuza unachoandika, tulikuwa tukimuongelea Jaji Feleshi wewe unamzungumzia "fenes, nakusihi anzisha uzi kumuhusu.

Hoja zako ni za kipuuzi kabisa, eti AG anafaa kuwa mwanasiasa, you can't be serious, hao waliopoliticise uAG huoni walipo sasa?!!!
 

hatuwezi kubinafsisha cheo cha AG tukampa Mchina, Mmarekani au Mkaburu?
 
Uliwahi kuiona profile ya Dr. Balali!?
..na je uliwahi kufuatilia alichodeliver BoT!

Uliwahi kuiona profile ya Prof. Anna Tibaijuka!?
..na je uliwahi kufuatilia alichodeliver wizarani!

Pamoja na ubunifu + compitence, ndio maana Mzee warioba kaja na wazo jipya nalo sio kuangalia watu bali kuangalia mfumo wa ni jinsi gani wanaingia pale.
Wabunge iwe 50/50 lakini kutoka kwa wananchi moja kwa moja sio uteuzi wa kishikaji.
Akina AG, CAG, CJ, mawaziri, wakurugenzi wasiteuliwe na mtu kirafiki bali wateuliwe na taasisi na terms of references zinazoeleweka ili kujua pale watakapoharibu na wakaweza kuwajibika. Yaani vetting iwe ya kihaki zaidi na hapo hata ukipewa wewe hiyo nafasi utaweza kudeliver maana utakaposhindwa utakuwa muungwana na kuuliza wanaojua wakushauri.

Wewe fikiria kauli ya huyu aliyetoka kuwa 'ushauri wangu haukueleweka' na mkuu wake anamshukuru kwa 'utumishi uliotukuka' wakati wananchi wote wanajua pesa za umma zimeliwa kwa makusudi na wala sio bahati mbaya! Hapo hata ukimshusha malaika hawezi kubadilisha chochote kwa mfumo huu!


 
Tatizo sio nani anafaa kuwa pale tatizo lipo kwenye msingi na mfumo mbovu mfano ulio hai tunaiona wenyewe kulikuwa na watu tuliwaamini lakini leo mmejionea wenyewe walivyotusaliti na kuwa sikio la kufa ndani ya ccm hakuna atakae kaa ndani ya mwaka na akitoka lazima awe na skendo.
 

Safari hii tujaribu mwanamke tuone, wanaume huwa wanatutoa mswaki kila siku. Angela Kairuki je? Kwa wanaume Tundu Lissu angetufaa kama lengo letu lingekuwa kuleta utengamano wa kitaifa.
 
Huyo mnyaruanda tumpeleka wapi! Keshaharibu toka alipokua DPP

I don't think you guys know this Fella Dr. Feleshi, ni mchapakazi mno . Anajali wafanyakazi siyo hao akina Werema bora ameondoka. Jamaa alikuwa anawazidi akili akina Werema, Masaju na Hosseah na hakutaka wan wamwingilie katika kazi zake. Wakajenga fallacy kwamba anawachia wala rushwa na hashirikiani na wenzake wakati siyo kweli.
Hata hivyo sipendi mleta mada alivyoileta kwani inaweza kuchangia hata asifikiriwe kwa post hiyo.
 
Hawa unaowataja ni mtazamo ule ule wa siku nyingi kuwa Ukimuelimisha mtu asiye mwaminifu kutunza pesa ni kumpa njia zaidi za kukuibia! Na mtubutu kufanya hivyo muone, mtu ana billion 10 kwenye account na kwa vile alizipata kwa njia isiyo halali anapigana ziwe billion 100 kwa njia zile zile!
Andrew Chenge nae aliimudu vyema hiyo nafasi. Chenge ni msomi mzuri tu wa Havard na ana ushawishi mkubwa kwa jamii
Nimrod Mkono anafaa sana kuwa mwanasheria mkuu wa serikali
Nimemsikia Prof. Lipumba kwenye Nipashe asubuhi (R1) anesema yale maneno ya "rais atumie busara" hayaamini tema na haziamini busara za rais tangu alipopindua mawazo ya Jaji Warioba
Tumuachie MH Rais atamchagua mtu mzuri mwenye busara lkn tukubali tukatae rushwa ipo pale pale
 
Reactions: Ame

Hivi hakuna kipenngele chochote kikatiba kinachoruhusu Rais kuzodolewa? Maaana kuna kitu kinapanda kooni nakosa pa kutemea....msaada please kwa 'wasomi'!
 
Safari hii tujaribu mwanamke tuone, wanaume huwa wanatutoa mswaki kila siku. Angela Kairuki je? Kwa wanaume Tundu Lissu angetufaa kama lengo letu lingekuwa kuleta utengamano wa kitaifa.

Kavulata nimekupa like ya Tundu Lisu, huyo mwingine simfahamu na ni kama vile ametokea ukoo wa maza?
 
Hivi hakuna kipenngele chochote kikatiba kinachoruhusu Rais kuzodolewa? Maaana kuna kitu kinapanda kooni nakosa pa kutemea....msaada please kwa 'wasomi'!

Katiba mpya inaruhusu, ila maccm walibaka haipo tena meza wembe aina topaz hiyo kitu kitashuka fasta....
By the way maoni ya wananchi yako mbioni ila yatasimamiwa na madc, ded, nk
 

Feleshi ni mmoja wa watu wanaowalinda mafisadi. Kumbuka vita kati ya Feleshi na Hosea katika sakata la EPA. Jamaa hafai kabisa huyu.
 
Nafasi ya AG ni mhimu na nyeti. Itangazwe ili walio na sifa waombe na waweze kuhojiwa pamoja na jamii kuwajua vizuri na kwa kina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…