Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... yeye ni mtoa tip; wahusika wafuatilie. Usitake ajiweke kwenye mazingira hatarishi kwa kutoa details zake humu.Kesi namba ngapi ya mwaka gani?Mahakama gani,Ukileta lalamiko kama hilo weka details kamili ili Mheshimiwa Jaji ajue kwamba Pele limepata mkunaji.
Mkuu,Tuspojifunza kulipuka tunapopata Moto tutachingwa kimya kimya,mmoja mmoja.Hukumu ni haki yake,Jaji anao wajibu wa kisheria wa kumpatia nakala ya hukumu ili kama anahitaji kukata rufaa etc aendelee.Aweke kesi no hapa,ni ya lini.The huyo Magimbi akiiona awahi ofisi akaitoe ama la yule mkuu wa utumishi wa mahakama amle kichwa.Sioni shida mana hapa hatafuti huruma.... yeye ni mtoa tip; wahusika wafuatilie. Usitake ajiweke kwenye mazingira hatarishi kwa kutoa details zake humu.
Pole sana, hawa wanalindana, sidhani kama atakusaidia kupitia JF. Tafuta mwanasheria amuandikie barua kuhusu ucheleweshaji huo.Kuna wananchi ambao kesi zao ziliamuliwa August na September wao haraka sana Jaji Maghimbi aliwapatia docs zao zote kwa wakati. Sisi wa toka mwezi wa 5 na 6 mpaka sasa hatujapatiwa nyaraka hizo, na wala hakuna matumaini kuwa ni lini tutapewa nyaraka hizo. Au mpaka tutoe rushwa kama wao ndo tupatee?
Mkuu,ni vyema akiandika barua ila pia ni vyema akaweka full details za kesi hapa maaana tayari hukumu imetolewa which means ni suala la kutoa nakala ya hukumu na jaji analala nayo.Kama wao wanalindana basi sisi tuwalipue tu ili kama kulindana walindane vizuriPole sana, hawa wanalindana, sidhani kama atakusaidia kupitia JF. Tafuta mwanasheria amuandikie barua kuhusu ucheleweshaji huo.
SureImo kwenye DNA.
Sasa huku JF imeletwa ya nini?Nilikuwa mleta maombi kwenye shauri misc civil cause no 334/2021 dhidi ya Godbless Lema na mkewe, ambapo tar 21/06/2023 ulitoa uamuzi. Tar 22/06/2023 niliandika barua kuomba kupatiwa nakala ya hukumu, drawn order na proceedings. Baada ya kuja sana ofisini kwako, wiki jana nilipatiwa nakala ya uamuzi. Bado drawn order na proceedings. Sasa ni miezi 4 nafuatilia nyaraka hizi bila mafanikio. Mh Jaji mimi kwa sasa nakaaa moshi, ninaumia sana kuja dar kufuatilia nyaraka husika na kutumia muda mwingi hivi. Kule kwetu moshi huwa tunaamini JUSTICE DELAYED IS THE JUSTICE DENIED. Naomba unipatie nyaraka hizo niendelee na michakato mingine.
Hawa ni chawa wa CCMSasa huku JF imeletwa ya nini?
Kitu hakieleweki kichwa wala miguu!
Kipi hujaelewa? Amekuwa addressed jaji maghimbi wewe unataka uelewe ili iweje?Sasa huku JF imeletwa ya nini?
Kitu hakieleweki kichwa wala miguu!
CCM imeingiaje hapa?Hawa ni chawa wa CCM
Duuh! tumefikia pabaya, nyaraka za mahakamani zinaombwa JF?Nilikuwa mleta maombi kwenye shauri misc civil cause no 334/2021 dhidi ya Godbless Lema na mkewe, ambapo tar 21/06/2023 ulitoa uamuzi. Tar 22/06/2023 niliandika barua kuomba kupatiwa nakala ya hukumu, drawn order na proceedings. Baada ya kuja sana ofisini kwako, wiki jana nilipatiwa nakala ya uamuzi. Bado drawn order na proceedings. Sasa ni miezi 4 nafuatilia nyaraka hizi bila mafanikio. Mh Jaji mimi kwa sasa nakaaa moshi, ninaumia sana kuja dar kufuatilia nyaraka husika na kutumia muda mwingi hivi. Kule kwetu moshi huwa tunaamini JUSTICE DELAYED IS THE JUSTICE DENIED. Naomba unipatie nyaraka hizo niendelee na michakato mingine.
Ndiyo kwa kuwa njia zote za kawaida imeshindikana. Wasajili nao wanaogopa kumshinikiza jaji. Dawa ni kuja publicDuuh! tumefikia pabaya, nyaraka za mahakamani zinaombwa JF?
Stress zinahusikaje hapo?Stress sio nzuri