Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
90% ya wajinga wanatoka CCMCCM imeingiaje hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
90% ya wajinga wanatoka CCMCCM imeingiaje hapa?
Hahaha90% ya wajinga wanatoka CCM
kweli kabisa. Mimi mwenyewe kanitolea hukumu ya kionevu sanaa. Mpaka mtu unajiuliza huyu mama alipataje huo ujaji? Lakini watu wanamtuhumu kuwa ni mpokea rushwaa. Ifike mahali mahakama itengeneze chombo huru kitakachokuwa kinapitia maamuzi ya hawa majaji na wale watakaoneka maamuzi yao mengi ni ya kimaghumashi basi mahakama iangalie namna ya kuwawajibisha.Simsahau huyu mama alibatilisha hukumu yangu ya CMA bila ya kuwa na msingi wa sababu za kisheria.Yaani unasoma hukumu ilivyoandikwa huwezi amini kama Imeandikwa na jaji!!!ucheleweshaji wa utoaji hukumu unavutià waàjiri kutoa rushwa. TAKUKURU iitishe majaladà aliyotengua maamuzi ya CMA na kuona jinsi anavyominya haki.Na yeye na waajiri wanajua wahanga wengi hawana uwezo wa kìfèdha kuķata rufaa.
HV mtu anaitwa Salma maghimbi ,maghimbi yoka lini yakawa na akiliJaji Salma Maghimbi toa nakala za hukumu na drawn order
Hukn kitu wala sehemu serkali hi imeweza kufanya kwa umahiri makiniK
kweli kabisa. Mimi mwenyewe kanitolea hukumu ya kionevu sanaa. Mpaka mtu unajiuliza huyu mama alipataje huo ujaji? Lakini watu wanamtuhumu kuwa ni mpokea rushwaa. Ifike mahali mahakama itengeneze chombo huru kitakachokuwa kinapitia maamuzi ya hawa majaji na wale watakaoneka maamuzi yao mengi ni ya kimaghumashi basi mahakama iangalie namna ya kuwawajibisha.
Simsahau huyu mama alibatilisha hukumu yangu ya CMA bila ya kuwa na msingi wa sababu za kisheria.Yaani unasoma hukumu ilivyoandikwa huwezi amini kama Imeandikwa na jaji!!!ucheleweshaji wa utoaji hukumu unavutià waàjiri kutoa rushwa. TAKUKURU iitishe majaladà aliyotengua maamuzi ya CMA na kuona jinsi anavyominya haki.Na yeye na waajiri wanajua wahanga wengi hawana uwezo wa kìfèdha kuķata rufaa.
Haya yote nimefanya mkuu. Nimeandika barua 4 na zote hakuna iliyokuwa na positive impact. Mpaka kuja humu ujue tumemalizia visigino vya viatu mahakamani.Inaumiza mnoo.
Kweli tupu mkuuHahaha
Justice delayed is the Justice deniedJustice delayed is the Justice denied
Asili tu ya jina lake linamsemea alipataje uteuzi. Shida inaanzia hapo.Jaji SALMA MUSSA MAGHIMBI Jaji Mfawidhi Mahakama kuu Kanda ya Dar amekuwa akichelewesha kutoa nakala za hukumu pamoja na Drawing Order kwa muda mrefu.
Ninavyoongea kuna hukumu alizotoa toka mwezi wa 5 ila mpaka sasa hajaweza kutoa nakala ya hukumu au drawing orders.
Tunaomba Mahakama immulike na kumshinikia kutoa nakala ya hukumu na drawing order kwa kesi ambazo alishazitolea hukumu/uamuzi.
Roughly 90% ya hukumu zimepotoka. Wenye haki ndiyo wamepelekwa jela wasio haki wako huru kwenye jamii wakiendeleza uhalifu. Dunia inahitaji mfumo mpya usiopotoka wa kutoa haki.Jaji SALMA MUSSA MAGHIMBI Jaji Mfawidhi Mahakama kuu Kanda ya Dar amekuwa akichelewesha kutoa nakala za hukumu pamoja na Drawing Order kwa muda mrefu.
Ninavyoongea kuna hukumu alizotoa toka mwezi wa 5 ila mpaka sasa hajaweza kutoa nakala ya hukumu au drawing orders.
Tunaomba Mahakama immulike na kumshinikia kutoa nakala ya hukumu na drawing order kwa kesi ambazo alishazitolea hukumu/uamuzi.
DRAWN ORDERdrawing orders.
kiukweli, kuwa na wanadamu wenye ubongo kama wa kwako ni hasara sana kwa hii dunia. kwanini umefikiria hivi? umeshafanya kazi mahakamani au huwa unatembelea tu kama mtalii siku chache?Roughly 90% ya hukumu zimepotoka. Wenye haki ndiyo wamepelekwa jela wasio haki wako huru kwenye jamii wakiendeleza uhalifu. Dunia inahitaji mfumo mpya usiopotoka wa kutoa haki.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
uislam ndio suluhishoRoughly 90% ya hukumu zimepotoka. Wenye haki ndiyo wamepelekwa jela wasio haki wako huru kwenye jamii wakiendeleza uhalifu. Dunia inahitaji mfumo mpya usiopotoka wa kutoa haki.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app