Jaji Mkuu na Jaji Kiongozi tunaomba muingilie hili kwa mustakabali wa haki. Jaji Salma Maghimbi ni mzigo kwa Mahakama

Jaji Mkuu na Jaji Kiongozi tunaomba muingilie hili kwa mustakabali wa haki. Jaji Salma Maghimbi ni mzigo kwa Mahakama

Umesema ukweli mtupu...
Hilo haliwezi kuisha sasa hivi hata aje kiongozi gani...
Yaani ni mfumo rasmi ndani ya taasisi nyeti za Serikali
Katiba mpya muhimu!
 
K

kweli kabisa. Mimi mwenyewe kanitolea hukumu ya kionevu sanaa. Mpaka mtu unajiuliza huyu mama alipataje huo ujaji? Lakini watu wanamtuhumu kuwa ni mpokea rushwaa. Ifike mahali mahakama itengeneze chombo huru kitakachokuwa kinapitia maamuzi ya hawa majaji na wale watakaoneka maamuzi yao mengi ni ya kimaghumashi basi mahakama iangalie namna ya kuwawajibisha.
Ni zawadi ya jK kwa familia yao....marafiki wakubwa sana wameshibana....mama mpare baba mpemba.....kila mtu alishangaa mvuta bhangi maarufu ghafla Jaji
 
Unamaanisha Sharia au uislam? Maana anayelalamikiwa ni muislam, jaji mkuu muislam.
swali gani unauliza?
hakuna uislam bila Sharia, uislam ni full package sio part time au single package
 
Wame shiba hao wana ona uvivu ata Kutype siku hizi hata awa fikirii wana fanya kuunganisha judgments tu
 
Nilimtetea huyu Jaji sikuwa sawa….Jaji Mkuu anapaswa amuangalie huyu jaji kwa jicho kali. Hatendi haki.
Afadhalii. Mimi mpaka kupewa nakala ya ruling na proceedings na drawn order ni baada ya kuja JF. Ni jaji wa hovyo mnoo
 
Ni zawadi ya jK kwa familia yao....marafiki wakubwa sana wameshibana....mama mpare baba mpemba.....kila mtu alishangaa mvuta bhangi maarufu ghafla Jaji
Nasikia alikuwa UDSM kama librarian akakutana na prof Maghimbi.......
 
Jaji SALMA MUSSA MAGHIMBI Jaji Mfawidhi Mahakama kuu Kanda ya Dar amekuwa akichelewesha kutoa nakala za hukumu pamoja na Drawing Order kwa muda mrefu.

Ninavyoongea kuna hukumu alizotoa toka mwezi wa 5 ila mpaka sasa hajaweza kutoa nakala ya hukumu au drawing orders.

Tunaomba Mahakama immulike na kumshinikia kutoa nakala ya hukumu na drawing order kwa kesi ambazo alishazitolea hukumu/uamuzi.
Disaster!
Matatizo kila mahali ktk nchi hii.
 
Ni zawadi ya jK kwa familia yao....marafiki wakubwa sana wameshibana....mama mpare baba mpemba.....kila mtu alishangaa mvuta bhangi maarufu ghafla Jaji
Hahaha ha kumbe anatumia cha chuga?
 
Ki ukweli huyu mama anaigombanisha mno Serikali na wananchi wake.
 
Hao unaowaombabwaingilie hata wao ni mizigo kwa mhimili wa mahakama na taifa, Nina uhakika mizigo haiwezi kuingiliana.
 
Back
Top Bottom