Je na yeye ataleta upendeleo au atatoa haki?
Kwa ufupi sana Jaji huyu Mustapha Mohamed Siyani aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma siku ya Ijumaa tarehe 20 April 2018, na Aliyekuwa Rais wa Tanzania wa awamu ya 5 Dr John Magufuli, Baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo tarehe 15 April 2018 .
Pia amewahi kuwa Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma.
NOTE : Jaji wa Mahakama Kuu ni mtumishi wa Umma, kumfahamu haijawahi kuwa kosa kisheria
UPE Judges, ngoja tuone . Ngoj nitafute some of his judgements, yuo can tell his authenticity from his judgementsHuyo nae hakukabidhi ubongo kwa mwendazake kweli?
View attachment 1929663
perfect, kigezo kilikuwa ni kuwa katili, mvunja haki, muuaji, mtekaji and the like.Majaji wote walioteuliwa na marehemu siyo wa kuwaamini. Labda jaji kama alikuwa anafanya matendo anayotaka marehemu ili ateuliwe kuwa jaji.
Marehemu hakuwahi kumpenda mtu anayependa haki. Kigezo chake kikuu kwa uteuzi wowote, ni mteuliwa kumsujudia yeye na kumkubalia yeye kwa kila jambo hata kama jambo hilo ni hovyo kiasi gani.
Inafaa apendekeze kesi ya Mbowe isiendelee kwanza huku akisubiria kwa kukaa ndani mpaka ipatikane Katiba mpya ili apatikane Jaji wanae mridhia atakaetenda haki.
Hawa Majaji wa Magufuli ndiyo si waamini kabisa...!! Hapa inawezekana Mbowe akawa ameruka MKOJO ...... Akakanyaja.....!!
Kwa ufupi sana Jaji huyu Mustapha Mohamed Siyani aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma siku ya Ijumaa tarehe 20 April 2018, na Aliyekuwa Rais wa Tanzania wa awamu ya 5 Dr John Magufuli, Baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo tarehe 15 April 2018 .
Pia amewahi kuwa Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma.
NOTE : Jaji wa Mahakama Kuu ni mtumishi wa Umma, kumfahamu haijawahi kuwa kosa kisheria
KabisaMvinyo ule ule ila chupa tofauti
Ni wabaya haswaHawa Majaji wa Magufuli ndiyo si waamini kabisa...!! Hapa inawezekana Mbowe akawa ameruka MKOJO ...... Akakanyaja.....!!
Hawawajibiki popote paleYou think you are not boring?
1. Hawa vigogo wanalipa kodi?
2. Ule mhimili uliojichimbia zaidi kwa mujibu wa katiba haupo?
3. Hawa vigogo wana wajibika kwa lolote katika maamuzi yao?
I repeat: "you're boring!"
Upeo wako mdogoKwa kumuangalia tu Jaji yuko vizuri!
hapa ndipo tatizo linapoanziaga.Somewhere somehow amewahi kujihusisha na CCM. Jaji hateuliwi hivi hivi!
Nimesoma case yake moja ameonesha kuwa na huruma... reasonable. Alitumia descretion yake kutenda haki katik kesi hii maana alikuwa na upenyo wa kukataa bila kuulizwa. Naiweka mpitie. It is a simple case with no public interest but can give a hint to his reasoning and humility
Kwa ufupi sana Jaji huyu Mustapha Mohamed Siyani aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma siku ya Ijumaa tarehe 20 April 2018, na Aliyekuwa Rais wa Tanzania wa awamu ya 5 Dr John Magufuli, Baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo tarehe 15 April 2018 .
Pia amewahi kuwa Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma.
NOTE : Jaji wa Mahakama Kuu ni mtumishi wa Umma, kumfahamu haijawahi kuwa kosa kisheria
Majaji waombe kuwa judge's sio kusubiria politician akupe fadhilaMnataka jaji atoke wapi?
Kwahiyo mbowe abaki ndani akisubiri hiyo process ikamilike sio?Majaji waombe kuwa judge's sio kusubiria politician akupe fadhila
Kwanini majaji wa Tanzania wanavaa kama majaji wa enzi za ukoloni? Sasa utakuta USA jaji anavaa suti tu.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Hawawajibiki popote pale