Jaji Mustapha Mohamed Siyani aliyekabidhiwa kesi ya Ugaidi ya Mbowe ni nani?

Jaji Mustapha Mohamed Siyani aliyekabidhiwa kesi ya Ugaidi ya Mbowe ni nani?


Kwa ufupi sana Jaji huyu Mustapha Mohamed Siyani aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma siku ya Ijumaa tarehe 20 April 2018, na Aliyekuwa Rais wa Tanzania wa awamu ya 5 Dr John Magufuli, Baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo tarehe 15 April 2018 .

Pia amewahi kuwa Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma.

NOTE : Jaji wa Mahakama Kuu ni mtumishi wa Umma, kumfahamu haijawahi kuwa kosa kisheria

Je na yeye ataleta upendeleo au atatoa haki?
 
Majaji wote walioteuliwa na marehemu siyo wa kuwaamini. Labda jaji kama alikuwa anafanya matendo anayotaka marehemu ili ateuliwe kuwa jaji.

Marehemu hakuwahi kumpenda mtu anayependa haki. Kigezo chake kikuu kwa uteuzi wowote, ni mteuliwa kumsujudia yeye na kumkubalia yeye kwa kila jambo hata kama jambo hilo ni hovyo kiasi gani.
perfect, kigezo kilikuwa ni kuwa katili, mvunja haki, muuaji, mtekaji and the like.
 
Ni lazima ifahamike kwamba;
Kutenda HAKI sio LAZIMA iwe unavyo taka wewe.
Lazima tuelewe kuwa ikitokea;
AMEACHIWA ni HAKI lakini pia ikitokea KAFUNGWA ni HAKI pia.
tusichukulie kuwa Kutendewa HAKI ni kuachiwa huru tu la hasha! tufahamu pia Kufungwa ni sehemu ya kutendewa Haki.
Ushahidi ndio unaamua yote hayo mawili.
Jaji anaagalia ushahidi tu hakuna kingine.
 
Hao majaji wa Magu wote aliwajaza ujinga ....ubongo alichukua akauweka kabatini
 

Kwa ufupi sana Jaji huyu Mustapha Mohamed Siyani aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma siku ya Ijumaa tarehe 20 April 2018, na Aliyekuwa Rais wa Tanzania wa awamu ya 5 Dr John Magufuli, Baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo tarehe 15 April 2018 .

Pia amewahi kuwa Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma.

NOTE : Jaji wa Mahakama Kuu ni mtumishi wa Umma, kumfahamu haijawahi kuwa kosa kisheria

Hawa Majaji wa Magufuli ndiyo si waamini kabisa...!! Hapa inawezekana Mbowe akawa ameruka MKOJO ...... Akakanyaja.....!!
 
You think you are not boring?

1. Hawa vigogo wanalipa kodi?
2. Ule mhimili uliojichimbia zaidi kwa mujibu wa katiba haupo?
3. Hawa vigogo wana wajibika kwa lolote katika maamuzi yao?

I repeat: "you're boring!"
Hawawajibiki popote pale
 
Kuwa Jaji kwa kesi ya uwongo ni kutakana lawana zisizo na msingi na kuvurugiana professionalism, namuomba Jaji asimamie namna sheria inavyosema ili kulinda heshima yake yeye mwenyewe binafsi, familia yake, mhimili wa mahakama na heshima ya Taifa letu kwa ujumla. Mwenyezi Mungu amsimamie ili haki itendeke.
 

Kwa ufupi sana Jaji huyu Mustapha Mohamed Siyani aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma siku ya Ijumaa tarehe 20 April 2018, na Aliyekuwa Rais wa Tanzania wa awamu ya 5 Dr John Magufuli, Baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo tarehe 15 April 2018 .

Pia amewahi kuwa Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma.

NOTE : Jaji wa Mahakama Kuu ni mtumishi wa Umma, kumfahamu haijawahi kuwa kosa kisheria

Nimesoma case yake moja ameonesha kuwa na huruma... reasonable. Alitumia descretion yake kutenda haki katik kesi hii maana alikuwa na upenyo wa kukataa bila kuulizwa. Naiweka mpitie. It is a simple case with no public interest but can give a hint to his reasoning and humility

6 Attributes of Healthy Humility
  • They acknowledge they don't have it all together. ...
  • They know the difference between self-confidence and pride. ...
  • They seek to add value to others. ...
  • They take responsibility for their actions. ...
  • They understand the shadow side of success. ...
  • They are filled with gratitude for what they have.
 

Attachments

Hawawajibiki popote pale

1. Hawawajibiki popote.
2. Wana mteuzi wao (master) wa kumfurahisha.
3. Hawa lipi kodi, hivyo wana maslahi yao ya kuyalinda.
4. Kuna mhimili uliojichimbia zaidi wenye matakwa yake.

Hatusubirii dodo kwenye mnazi hapo?
 
Back
Top Bottom