Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
Ndiyo maana huyo JPM hayupo nasi sasa hivi. Kila zama na kitabu chake. Zama za JPM hazikuwa zama za raia kulinda katiba ya nchi yao bali ya kila mmoja kunusuru uhai wake binafsi. Kwa msingi huo yule mwenye kumpa binadamu uhai na kumuondolewa anapohitaji kufanya hivyo aliachiwa hiyo hukumu. Naye bila kuwahi wala kuchelewa alihukumu kwa wakati wake. Hakika JPM alikuwa mwovu lakini alituaminisha kuwa angalau alikuwa na dhamira njema ya kulinda rasilmali za nchi dhidi ya waporaji. Tatizo lake kubwa: kiakili hakuwa mzima sana, roho mbaya, ushamba, ubinafsi uliopitiliza na alikuwa mbumbumbu wa siasa na uongozi. Kwa sababu hizo alijielekeza vibaya sana na kujikuta anapambana zaidi na raia wenzake kuliko kutoa uongozi. Kwa haya ya zama hizi, mkakati wa kipaumbele ni kupigania kwa nguvu zote utawala bora na utawala wa sheria.
 
Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
Kwahiyo kwakuwa wakati wa JPM hakuongea ndiyo aongee sasahv kwanza wakati wa JPM jaji mkuu hakutaka kuongezewa muda ndiyo maana hakusema chochote.
 
Kwahiyo kwakuwa wakati wa JPM hakuongea ndiyo aongee sasahv kwanza wakati wa JPM jaji mkuu hakutaka kuongezewa muda ndiyo maana hakusema chochote.
Ila vurugu zilio kuwa nda ya mahakama hazijui kwamba serikali ilikua inaingilia maamuzi ya mahakama hakuliona hilo, ambao lilikua hatari kuliko ata hili
 
Hapa tunaondolewa kwenye mjadala wa bandari kijanja, tukijashtuka tayari mwarabu kaweka manowari zake pale bandarini kulinda uwekezaji wake.

Kuna watumishi wengi tu wa umma ambao huwa wanapewa mkataba wa kuendelea kutumika baada ya kufikia umri wa kustaafu, hivyo hilo la jaji mkuu siyo jambo jipya, twendelee tu na mjadala wa bandari tusiondoke kwenye reli.
 
Huyu mama Jaji wa mahakama ya rufani Stella E.A. Mugasha anastaili kupongezwa. Mama amepinga uvunjwaji wa katiba ya nchi kwa kumuongezea jaji mkuu muda wa kukaa madarakani kinyume na matakwa ya katiba. Mama ametaka mamlaka ya uteuzi (Rais) kuheshimu katiba ya nchi. Mungu ambariki
Mama alijuwa nafasi atapokea yeye sasa ni kawaida wa Tz wakitaka kutetea matumbo yao au maslahi yao ndio wanakumbuka sheria na katiba, alikuwa wapi wakati ule JPM anavunja katiba kumtoa GA na kuwaingiza wabunge bila chama alikuwa wapi kukemea kuvunjwa katiba. Sasa mama kaona cheo kiko mbele yake halfu boss wake kaongezewa kaona akachambue katiba na watu humu wataanza kumsifia. Nchi hii mikutano ya siasa ilizimwa kinyume cha katiba alikuwa wapi?
 
Wajinga kama nyinyi ndio nawataka kwahiyo unataka ukitoa maoni kama ni ya hovyo watu wakuchekee.
Suala ni hayo matusi yanayotoka kwako, huenda wewe unaona ni kawaida sana pengine kutokana na malezi uliyopitia. So far USIKUBALI WATOTO WAKO WAWE HIVYO. KIIMANI , KIMAADILI NA KIUSTAARABU
 
Tayari mmetolewa kwenye reli na wataalamu wa stretejia akina RA. Tuendelee na bandari yetu hii ya Jaji ni kitu minor kabisa.
Tusitolewe lerini, tunaitaka bandari yetu.
Uzuri ni kuwa hata Mtaalamu wa Mikataba ya Mambo ya Majini (Maritime), Jaji Warioba - Amesema Mkataba hauko sawa. Sasa sijui tunataka tumsikilize nani? DP World?
 
kwani alishindwa kutoa maoni yake kwenye mamlaka hadi aandike barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamiii?!

nadhani huu ni utovu mkubwa wa nidhamu na anapaswa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa taarifa za kiofisi nje.

tabia hii isiachiliwe ikaendelea, kuna watu wanafiki na wazandiki
Si rahisi kiivyo kumchukulia hatua za kinidhamu Jaji. Huyo ana security of tenure labda umfanyie figisu tu
 
Soma barua vizuri, haiongelei popote kuhusu bandari bali kustaafu kwa jaji Mkuu Augustino Ramadhani.
Pia suala la bandari sio jambo dogo, lina umuhimu mkubwa kwa taifa hivyo lichukuliwe kwa ukubwa huohuo.
Kwa sababu anazungumzia kilichopo kwenye kada yake, wapo watakaotafsiri ya kuwa labda anataka cheo (uteuzi) wa hiyo nafasi.
 
kwani alishindwa kutoa maoni yake kwenye mamlaka hadi aandike barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamiii?!

nadhani huu ni utovu mkubwa wa nidhamu na anapaswa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa taarifa za kiofisi nje.

tabia hii isiachiliwe ikaendelea, kuna watu wanafiki na wazandiki
Aidha hakuiandika yeye anasingiziwa na kama kafanya ashughulikiwe!
 
kwani alishindwa kutoa maoni yake kwenye mamlaka hadi aandike barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamiii?!

nadhani huu ni utovu mkubwa wa nidhamu na anapaswa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa taarifa za kiofisi nje.

tabia hii isiachiliwe ikaendelea, kuna watu wanafiki na wazandiki
Hii ni mojawapo ya njia za kuminya watu wasitoe maoni yao,na nafikiri k.m cjakosea wa nawe unavunja katiba
 
Soma barua vizuri, haiongelei popote kuhusu bandari bali kustaafu kwa jaji Mkuu Augustino Ramadhani.
Pia suala la bandari sio jambo dogo, lina umuhimu mkubwa kwa taifa hivyo lichukuliwe kwa ukubwa huohuo.
Wewe nawe!!! Kwa hiyo Jaji Mkuu ni marehemu na anaongezewa muda!!!
 
Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.

View attachment 2670759

Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.

Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo 👇🏾

View attachment 2670771
Mnyoofu hatakiw kamwee!! Mtu ambae yupo indirect ndie hupendwa!!
 
Hawa ndo wanatumia kodi zetu kwa uhalali kabisa. Hata ingehitajika kuongezea kodi kwa kuwalipa viongozi wazalendo ambao wako tayari kujitoa muhanga kwa ajili ya Taifa, walahi mimi ningekuwa tayari hata kuuza mali zangu binafsi kuongezea!

Tunajivunia watu wa aina hii, siyo wale walamba mikund****
 
Hapa tunaondolewa kwenye mjadala wa bandari kijanja, tukijashtuka tayari mwarabu kaweka manowari zake pale bandarini kulinda uwekezaji wake.

Kuna watumishi wengi tu wa umma ambao huwa wanapewa mkataba wa kuendelea kutumika baada ya kufikia umri wa kustaafu, hivyo hilo la jaji mkuu siyo jambo jipya, twendelee tu na mjadala wa bandari tusiondoke kwenye reli.
Suala jaji ni la kikatiba mkuu, kama haulijui hilo kwenye bandari utaweza kweli?
 
kwani alishindwa kutoa maoni yake kwenye mamlaka hadi aandike barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamiii?!

nadhani huu ni utovu mkubwa wa nidhamu na anapaswa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa taarifa za kiofisi nje.

tabia hii isiachiliwe ikaendelea, kuna watu wanafiki na wazandiki
Pumbafu, huna akili, kama unazo basi unavojisaidia chooni umeziflash jumla jumla
 
Back
Top Bottom