Jaji Warioba: Miaka yote watu wanaelewa kujaza fomu, lakini 2020 ghafla hawajui. Siasa inataka kuingia kwenye Dini

Nchi ina wanasiasa wanafiki sana...
 
Nmefurahi kusikia Kinana anakiri kuwa Haki na Demokrasia havikuwepo, na ndio mwanzo mzuri kupata chaguzi zenye matakwa ya wananchi Ili kuleta viongozi wenye tija kwenye maendeleo yao
Uchaguzi mkuu 2015 Kinana alikuwa katibu mkuu ccm. Demokrasia na haki vilikuwepo wakati huo?!
 
Huko mahakamani si ndio wako akina jaji Tiganga? Au unadhani hao mahakama walikuwa hawajui nguvu ya lile kundi la watu wasiojulikana wa Magu?
Kama aliweza kumtoa CAG mpenda haki na anayechukia ufisadi kinyume cha sheria, basi wale majaji angewafuta dakika sifuri tu, and wahuni wake wangeanza kuwatukana kuwa siyo wazalendo/wapinga maendeleo
 
Mtu muovu sana alipita nchi hii..Diallo alisema ni miaka 5 iliyopita ni doa jeusi katika history ya nchi yetu
Chini ya utawala wa Hayati Magufuli, nchi ilikuwa kwenye laana kubwa. Ni kipindi ambacho haki za watu zilikanyagwa, na nchi ikafanywa kuwa jungle, ambapo fisi, mbweha na dubu waliwashambulia kondoo, bila ya kupatikana wa kuzuia uhalifu.
 
Chini ya utawala wa Hayati Magufuli, nchi ilikuwa kwenye laana kubwa. Ni kipindi ambacho haki za watu zilikanyagwa, na nchi ikafanywa kuwa jungle, ambapo fisi, mbweha na dubu waliwashambulia kondoo, bila ya kupatikana wa kuzuia uhalifu.
Sidhani kama hilo kosa litarudiwa tena, hawa watu wasiojua misingi ya vyama vyao ni hatari sana kuwapa madaraka makubwa! Naanza kumuelewa Mbowe now kwa nini bado anasita kuachia uenyekiti, kuna watu unaweza kuwaachia madaraka na wakavuruga mambo yote mliyoyajenga kama nchi/chama
 
Kwanini hawakuenda mahakamani?

Kubaki unalialia umeonewa wakati hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga uchaguzi ni upuuzi na kupoteza muda.
Mahakama ipi kwa muijibu wa katiba ya JMT inauwezo wa kuchunguza shughuli za Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Kesi unazozisikiaga ni kati ya mgombea dhidi ya mgombea mwenzie na si watendaji wa Tume.
 
Huyo Kinana hayo ameona hayakuwepo 2020 tu?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Anaonekana mlevi hata kwenye picha official ya kazini!!
Siku Mahera alipoteuliwa kuwa mkurugenzi Arusha then Nec nilishangaa sana maana tumepiga naye sana ulabu akiwa principal AIM TANZANIA, Tukiwa na totoz pembeni
 

Mawazo ya Zitto yako kwenye kupiga kura tu. Kama kipofu haoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…