Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..ni mstaafu kwenye chama kinachoharibu uchaguzi na mjumbe kwenye vikao muhim ya chama chake, ni mstaafu wa serikali inayotumia vibaya vyombo ya dola na anashiriki vikao kuongelea mambo ya nchi..ajabu HAJAWAHI kuita aliowaita leo ili atoe angalizo na msimamo wake tabla mambo hayajaharibika, kwa hiyo anasubiri uchaguzi uvurugwe, watu wafe..ndio aongee aliyosema leo, je watu waliouawa watarudi? Uchaguzi ulioharibiwa utarudiwa? Km sio unafiki ni nini hiki anachofanya???Mkuu, una nini na huyu Mzee wetu?
Huyu ana hasira na serikali kwa kuwa familia yake haijapewa nafasiJaji Warioba akiongea na waandishi wa habari leo Desemba 4 amesema haya
Ukiona mjadala wote uliofanywa tangu 2019 mpaka sasa, na imani iliyokuwapo kwamba uchaguzi wa mwaka huu (2024) hautofanana na ule wa mwaka 2019, lakini matokeo yake ni vilevile. Uchaguzi wa mwaka kesho (2025), kama hatutachukua hatua, utakuwa kama huu uliopita (Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024).
Tume itakayosimamia uchaguzi wa mwaka kesho, ni ileile iliyosimamia uchaguzi wa mwaka 2020, maana sioni dalili pamoja na sheria kupitishwa kwamba kuwe na tume tofauti, sioni dalili kama tume hiyo itaanzishwa kabla ya uchaguzi, kwahiyo ni tume hiihii ndiyo itakayoendesha uchaguzi wa mwaka kesho.
Watakaosimamia ni walewale ambao wapo chini ya TAMISEMI, uongozi wa kisiasa ni uleule ndani ya TAMISEMI, hawakusikiliza yote yaliyosemwa katika kipindi chote wakarudia ya zamani, hata mwaka kesho watafanya vilevile, tutakuta watu wanaenguliwa wengi tu, tutakuta kura za bandia na mengineyo.
Check there 👆👆😳 are you serious?
Read more on comparison studies and analysisAkiwa Ikungi Singida Makamu mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lisu alisema 2019 hayati Magufuli hakuuwa Mtu hata Mmoja alifutafuta uchaguzi tu
Leo Jaji Warioba anasema uchaguzi wa 2024 unafanana na ule wa 2019
Tunaendelea kukusanya maoni
Mlale unono 😀
Huna tofauti na MzogaMzee ameona siku zinaenda na Hafi Sasa anachokonoa karakana arudishe namba kilazima.
Hapo sawaCheck there 👆👆
Mbona matusi kwani ukijibu kwa hoja kuna shida yoyote!!We punguani kichaa, hapa siyo mahali pako. Kwenye majalala huko ambako huwa unaokota mabaki ya vyakula, bakia huko huko. Hapa ni kwa wenye akili timamau pekee.
Sawa Shangazi.Huna tofauti na Mzoga
Kwa kweli kabisaHuna tofauti na Mzoga