Pre GE2025 Jaji Warioba: Tusipochukua hatua, uchaguzi mkuu utakuwa kama huu wa Serikali za Mitaa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
mwendazake aliwatengenezea barabara na sasa wanafatisha tu...chadema muingie msituni tu ha ha ha πŸ˜πŸ˜†
 
Mkuu, una nini na huyu Mzee wetu?
..ni mstaafu kwenye chama kinachoharibu uchaguzi na mjumbe kwenye vikao muhim ya chama chake, ni mstaafu wa serikali inayotumia vibaya vyombo ya dola na anashiriki vikao kuongelea mambo ya nchi..ajabu HAJAWAHI kuita aliowaita leo ili atoe angalizo na msimamo wake tabla mambo hayajaharibika, kwa hiyo anasubiri uchaguzi uvurugwe, watu wafe..ndio aongee aliyosema leo, je watu waliouawa watarudi? Uchaguzi ulioharibiwa utarudiwa? Km sio unafiki ni nini hiki anachofanya???
 
Reactions: UCD
Mzee Warioba anatumika kurejesha Imani ya akina Mbowe warudintena kwenye meza ya maridhiano, wapotezewe muda na Kisha warudi kwa wafuasi wao wawahamasishe kujiandikisha ili mwisho wa siku Dona kantriz waone Kuna demokrasia na watoke misaada. Lkn 2025 uchaguzi up utachafuliwa kama kawaida.
 
Huyu ana hasira na serikali kwa kuwa familia yake haijapewa nafasi
 
Pole poleee kilaa mmoja ataongea Kwa wakatii.....

Tafadhali tusikilizaneeee
 
Read more on comparison studies and analysis
 
Mbo
We punguani kichaa, hapa siyo mahali pako. Kwenye majalala huko ambako huwa unaokota mabaki ya vyakula, bakia huko huko. Hapa ni kwa wenye akili timamau pekee.
Mbona matusi kwani ukijibu kwa hoja kuna shida yoyote!!
 
Ndiyo kuna tofauti. Maana Jiwe aliiba uchaguzi tu, lkn huyu bibi katiba uchaguzi na kuuwa watu.
 
Ccm walivyo wapumbavu hawafatagi ushauri wa watu wa maana kama hawa
 
Huyu mzee katumwa kuongea haya, ili akina Mbowe warudi kwenye udanganyifu wa maridhiano.

Huyu mzee ana nafasi ya kuongea na wenye mamlaka ili kuwataka watende anayoyatamani na siyo kulalamika.
 
Mzee kaonya Serikali kutumia jeshi la Police kuisaidia CCM - kasema ni HATARI MNO kwa taifa.

Mwenye akili kasikia.
 
mzee kasema ukweli katika uhalisia uchaguzi sio wa haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…