Hamna mtu ataridi kwenye mazumgumzo yasiyo na tija.Huyu mzee katumwa kuongea haya, ili akina Mbowe warudi kwenye udanganyifu wa maridhiano.
Huyu mzee ana nafasi ya kuongea na wenye mamlaka ili kuwataka watende anayoyatamani na siyo kulalamika.
Labda umemfahamu leo mzee WariobaHuyu mzee katumwa kuongea haya, ili akina Mbowe warudi kwenye udanganyifu wa maridhiano.
Huyu mzee ana nafasi ya kuongea na wenye mamlaka ili kuwataka watende anayoyatamani na siyo kulalamika.
Msimamo wa kinafiki. Trust me anatumika.Labda umemfahamu leo mzee Warioba
Mzee katema nyongo kmmkAlisema Jeshi ni taasisi inayofanya kazi kwa uadilifu sio kama nyingine ambazo zinakula kwa urefu wa kamba.
Dongo hilo.
CCM sababu wamekosa mshipa wa aibu watasema mzee kaanza kukosa kumbukumbu - umri.Mzee ana hoja japokuwa atapuuzwa.
Wenye tamaa zao za madaraka wanam-zoom tu.
Ijapokuwa ukianza kusikia matamko ya wazee kama haya means there something is likely to happen au kuna watu wanapewa taarifa kuwa waache kutumika wasimamie weledi wa kazi zao
Onyesha mambo mawili tu km matokeo ya yale aliyoyasemea baada ya kulalamikiwa na wananchi..km punguani aliyapuuza kuna haja ya kumsikiliza tena?
..ts hard fr you to catch..if the level of ignorance goes beyond normal level..Your argument is too dumb.
Hoja zenye mantiki ndiyo muhimu, hasira za familia kukosa nafasi zitathibitishwa baada ya kupima hoja zake.Huyu ana hasira na serikali kwa kuwa familia yake haijapewa nafasi
Haujui mchango wake kwenye upatikanaji wa katiba mpya?Msimamo wa kinafiki. Trust me anatumika.
Mbona alikuwa waziri mkuu na hakuibadili katiba hii mbovu? Kumbuka yeye ni mwanasheria, iweje atake mabadiliko akiwa nje ya ofisi?
kama hajafanya hayo akiwa ofisini basi Hana haki ya kuyasemea hayo?Msimamo wa kinafiki. Trust me anatumika.
Mbona alikuwa waziri mkuu na hakuibadili katiba hii mbovu? Kumbuka yeye ni mwanasheria, iweje atake mabadiliko akiwa nje ya ofisi?
Angesema haya katika baraza la usalama wa taifa wewe ungesikia maoni yake? Ametumia haki yake ya kikatiba kutoa ,aoni yake. Anayeyapuuza ni kati ya wale wanaojali njaa zao kuliko taifa. Ila mataifa mengi ya ki Africa yamejikuta yakiingia katika machafuko kwa kupuuzia sauti kama hizi. Watu wengine wanamanung`uniko kuhusu chaguzi zetu.Mzee wetu, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Jaji Joseph Sinde Warioba, Nampenda na kumkumbali sana sana,
Maelezo, maoni, tahadhari nk nk alizozitoa mzee wangu je Jukwaa alilotumia ni sahihi kiasi gani?
Je Mzee wangu kwani si member wa Baraza la usalama wa taifa?
Je kama ni member wa Baraza la usalama wa taifa wao kama wazee wastaafu waliolitumikia hili taifa kwa jasho damu na kwa nguvu zao zote na baadaye kutengeneza viongozi hata hawa wa sasa Wameshindwa je kukaa wao kwanza wastaafu wa hilo Baraza, kisha yale ambayo wanaona watawala hawako sawa wakutane ana kwa ana na Rais, Waziri mkuu, Mkurugenzi mkuu wa usalama wa taifa, CDF na IGP waambie ukweli na hali halisi anavyoona wao,
Je hii ya kutoka hadharani tena mstaafu mmoja tu rais na watu wake watafanyia kazi maneno ya mzee wetu?
Mzee wetu Joseph Butiku mwenyekiti wa kigonda cha Mwalimu Nyerere alipiga kelele sana kuhusu swala la Dp World kupewa Bandari yetu, na mimi nakafarijika kuona yupo upande wa wengi tuliokuwa haturidhii DPW kupewa,Angesema haya katika baraza la usalama wa taifa wewe ungesikia maoni yake? Ametumia haki yake ya kikatiba kutoa ,aoni yake. Anayeyapuuza ni kati ya wale wanaojali njaa zao kuliko taifa. Ila mataifa mengi ya ki Africa yamejikuta yakiingia katika machafuko kwa kupuuzia sauti kama hizi. Watu wengine wanamanung`uniko kuhusu chaguzi zetu.
So hatakiwi kuongea? Ukute hana hata nafasi ya kupeleka mawazo Moja Kwa Moja sehemu huska ,..ni mstaafu kwenye chama kinachoharibu uchaguzi na mjumbe kwenye vikao muhim ya chama chake, ni mstaafu wa serikali inayotumia vibaya vyombo ya dola na anashiriki vikao kuongelea mambo ya nchi..ajabu HAJAWAHI kuita aliowaita leo ili atoe angalizo na msimamo wake tabla mambo hayajaharibika, kwa hiyo anasubiri uchaguzi uvurugwe, watu wafe..ndio aongee aliyosema leo, je watu waliouawa watarudi? Uchaguzi ulioharibiwa utarudiwa? Km sio unafiki ni nini hiki anachofanya???
Kila jambo Kwa wakati wake ndugu, kwani wewe huoni yanayoendelea?Hii kasumba ya kupuuzia watu wengine inatokea wapi?Msimamo wa kinafiki. Trust me anatumika.
Mbona alikuwa waziri mkuu na hakuibadili katiba hii mbovu? Kumbuka yeye ni mwanasheria, iweje atake mabadiliko akiwa nje ya ofisi?
..ts hard fr you to catch..if the level of ignorance goes beyond normal level..