Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Na ile trilioni 1.5 nani alihusika?Ukiona hivi jua mzee baba alibanwa sana na awamu ile iliopita. Na hivi pesa za eskrow huyu dingilii alihusika.
Bado haifuti ukweli kuwa tunahitaji katiba mpya itakayo kuwa chachu ya maendeleo na haki.Ukiona hivi jua mzee baba alibanwa sana na awamu ile iliopita. Na hivi pesa za eskrow huyu dingilii alihusika.
TUMAINI UNIVERSITY DAR ES SALAAM COLLEGE.
"TUSIBEZE MJADALA WA KATIBA MPYA, TUANGALIE NI VITU GANI VIONGEZWE NA VIPUNGUZWE" - MWEREMA
4 Jul 2021
"TUSIBEZE MJADALA WA KATIBA MPYA, TUANGALIE NI VITU GANI VIONGEZWE NA VIPUNGUZWE" - MWEREMA Serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha tumaini tawi la dar es salaam (Tudarco) imefanya kongamano la kubadilishana uzoefu kwa wanafunzi wanaosoma masomo ya sheria kwa kuwakutanisha wanafunzi hao na mawakili pamoja na wanasheria wasomi katika fani hiyo akiwemo mwanasheria mkuu mstaafu wa serikali ya tanzania jaji fredrick werema. Kupitia kongamano hilo, wanafunzi wameelezwa uhalisia na changamoto watakazo kutananazo katika mazingira ya kazi ambapo wamesisitizwa kutenda haki katika kazi zao. Aidha, kongamano hilo limetumika kujadili elimu ya sheria na jinsi inavyoweza kuathiri wanafunzi wanapokuwa vyuoni.
Jaji Werema kwa kirefu kabisa miaka 32 afanya kazi ya umma ktk sekta ya sheria serikalini, Wakili daraja 3 Iringa ,mkurugenzi katiba & sheria wizara ya sheria, Jaji Mahakama kuu kanda Iringa, mwanasheria mkuu serikali ya Muungano wa Tanzania, akiwa Nambia niliteuliwa na marais 14 kuwa Jaji wa SADC , niliacha ujaji wa SADC baada ya kuteuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali Tanzania , baada ya kashfa ya ESCROW 2014 nilijiuzulu toka serikalini baada ya baraza la mawaziri kukosa mwelekeo na kumshauri Rais nijiuzulu, JK alikataa lakini nilimuelezea kwa hoja hatimaye akakubali nijiuzulu. Elimu : shule Kwiru, Songea Boys O LEVEL , PCB physics nilipata F, nikabadilisha kombi kwenda Kiingereza HGL , nimesoma UDSM, masters USA, pia kozi ktk nchi za ITALY , BOLIVIA AUSTRALIA CHUO CHA POLISI, MICROFINANCE , JAMAICA, ARGENTINA, UNITED KINGDOM , CHILE, URUGUAY
Kitakacho nwokoa Mama Samia Suluhu ni Katiba Mpya. Kuna maharamia hawapendi hapo alipoJaji Werema kwa kirefu kabisa
Angekuwa madarakani angesema hivyo?Jana niliweka uzi hapa nikasema huenda Mama swuala la Katiba analiunga mkono ila inabidi atumie watu nje ya chama chake kuliibua kwasababu wenzake ndani ya chama hawalitaki.
Nikaongeza ni suala la muda tu makundi mengine yataibuka na kuunga mkono agenda ya Katiba Mpya.
Huyu keshaanza, wengine watafuata soon na Mama ataunga mkono hiyo agenda.
She is a silent killer.
Healer not killerJana niliweka uzi hapa nikasema huenda Mama swuala la Katiba analiunga mkono ila inabidi atumie watu nje ya chama chake kuliibua kwasababu wenzake ndani ya chama hawalitaki.
Nikaongeza ni suala la muda tu makundi mengine yataibuka na kuunga mkono agenda ya Katiba Mpya.
Huyu keshaanza, wengine watafuata soon na Mama ataunga mkono hiyo agenda.
She is a silent killer.
kimuingiacho mtu siyo najisi bali kimtokacho - WeremaToka maktaba : Nondo za Jaji Werema
21 February 2014
Dar es Salaam
Bunge la #Katiba 'haliwezi kuunda serikali moja'
Mwanasheria Mkuu Jaji Frederick Werema akumbushia kuwa hatuna masultani wala machifu.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amewataka wajumbe wa bunge maalum la katiba kutambua kuwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba inawazuia wao kuunda mfumo wa serikali moja , kama inavyodaiwa na baadhi ya watu. Haiwezekani Serikali moja maana lazima serikali ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar lazima iwepo. Tundu Lissu na Zitto Kabwe nao watoa angalizo nyeti kabisa.
Jaji Werema amewasisitiza wajumbe wenzake, kutambua kuwa wanayo haki ya kuongeza kitu kwenye rasimu ya katiba, lakini hawana uwezo wa kuondoa chochote kwani rasimu hiyo imekusanya maoni ya wananchi.
Source : mwananchi digital